Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Tunatoa huduma kwa wote wanaosumbuliwa na magonjwa sugu au ya tabia.. Magonjwa haya yanatibiwa kwa njia ya kutumia virutubisho mwili vitakavyomwezesha mgonjwa kurudi katika hali ya kawaida ya...
0 Reactions
0 Replies
936 Views
ninatatizo la kucheua kila ninapokula chakula chochote. nmekua nalo kwa muda mrefu si chini ya miaka 25. ukwel nasumbuka mana kila ninapokula mwili umejiweka kubehua si chini ya mara kumi. kero...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Chanjo ya Ukimwi, siyo iliyogunduliwa na marekani KWA UFUPI Katika majaribio ya chanjo hiyo, wanasayansi hao wameelezea kuwa imeonyesha mafanikio kwa kuangamiza kabisa virusi wanaofanana na...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Hivi ni baada ya mda gani mimba inaweza kuonekana baada ya sex? Natanguliza shukrani zangu.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wana JF nilikua nauliza ni hospital gan hapa dar ni nzuri kutahiri mtoto wa kiume na cost zake zikoje, na je kutahiri mtoto akiwa mdogo huleta madhara yoyote kiafya? Sent from my BlackBerry...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Do you know that B vitamins slow progression of Alzheimer's
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi na mke wangu tumekuwa tukitafuta mtoto kwa muda wa miezi 6 sasa. Muda mwingi mimi huwa safarini kwa shughuli za kikazi kwa hiyo kukutana huwa si mara kwa mara. Mara ya mwisho yeye kuona hedhi...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Waungwana nisaidieni Nasumbuliwa sana na kiungulia hasa ninapotumia chakula chenye maharage (beans) na nyanya.... *Na ni jinsi gani ya kupambana na kiungulia?
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Habari wana jamvi,naomba nisaidiwe kuna madhara gani kujamiiana na mwanaume ambaye hajatahiriwa?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari wana jf......mm ni kobonge kdg nina tatizo la kuwa na rangi nyeuc sana katikati ya mapaja nliwahi kuambiwa cream ya gentrison nimeitumia sana ila cjpata ufumbuzi tatizo hili lipo na...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mke wangu amekata tamaa ya maisha kisa hatna mtoto tunalea WA wengine,tumejaribu njia zote za kisasa na kienyeji kwa miaka6 bila mafanikio,kila anapopata siku zake ni kilio kiukweli hana tatizo...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Operesheni ondosha vitambi kwa kina mama. Wamama wengi siku izi ukikutana nao wanaonekana kama ni wajawazito, lakini si wajawazito, wana vitambi ama viriba tumbo kama wanaume, hii si hali ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wadada wenzangu, Inasemekana kwamba tatizo la viginal candidiasis kwa wanawake ni jambo la kawaida ingawa halina maambukizi,na mara nyingi husababishwa na kutumia sabuni na water gel...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msaada tafadhali, kuna mahusiano gani Kati ya kuhalisha kwa mtoto na kuanza kuota meno? Tafadhali nisaidien Submitted
0 Reactions
0 Replies
3K Views
KWA UFUPI Ugonjwa huu unatajwa kuwapata wanawake wakati wa ujauzito, pasipo wao wenyewe kujua na matokeo yake hujifungua watoto wenye uzito mkubwa, walio na matatizo ya kimaumbile na wengine...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
40 Tips for Happy and Healthly Life Health: 1. Drink plenty of water. 2. Eat breakfast like a king, lunch like a prince and dinner like a beggar. 3. Eat more foods that grow on trees and...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Hi all, mada yangu ni kuhusu kovu lililosababishwa na moto or maji ya moto au kitu kingine! Je, wadau/doctors kuna cream or natural herb that can get rid of it. Lengo ni kwamba vinyweleo viote...
1 Reactions
0 Replies
9K Views
Nina umri wa miaka 28 mzunguko wangu ni siku 30,cha kushangaza nilipata hedh tarh 24 mwez wa 8 na jana tareh 13 nimeanza tena kubleed. Je ni tatizo gan? Maana sijabadil mazingira.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
msaada anaejua dawa mpya ya kutibu kisonono
0 Reactions
0 Replies
937 Views
Back
Top Bottom