Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wadau nipo Iringa Frelimo kuna jamaa hapa ananadi bidhaa za afya(chakula dawa) na hajawahi kuumwa.Mfano wa kuigwa loh!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
habari zenu wana Jamii F jamani naombeni msaada kwa atakayeweza kunisaidia mie mwenzenu nasumbuliwa na tatizo ambalo lilianza tu ghafla mwaka 2006 yaani kutokwa damu bila mpangilio maalumu ni...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari za asubuhi ndugu madaktari na waelimishaji tafadhali naomba mnijuze madhara yanayotokana na matumizi ya earphones kwa muda mrefu.
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Wakuu naomba kujua kama utumbo nao ni red meat.Nimeamua kuacha kula nyama nyekundu kwa muda sasa ila nikikuta utumbo umepikwa kwenye ndizi aaaah huwa nashindwa kujizuia naomba kuelimishwa tafadhali
0 Reactions
1 Replies
3K Views
habari wadau, napenda kuuliza kuhusu ugonjwa wa
0 Reactions
1 Replies
638 Views
Ndugu wana jf mie ninasumbuliwa na tatizo la kujisikia shavu la upande wa kushoto kukosa nguvu au kulegealegea hivi, kuna kipindi ilitokea mishipa ilikuwa inauma nilikaa baada ya muda hali...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna mtu kanishauri kuwa naweza kupunguza uzito kwa kutumia pombe kali e.g. Gordons, na kwamba unakunywa kiasi kidogo kila siku kabla hujala, je kuna ukweli wowote katika hili?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naombeni ushauri juu ya tumbo kujaa gas na kutopata choo, nitumie njia gani kuondokana na adha hii?
0 Reactions
4 Replies
5K Views
habari wadau nimekuwa na tatizo ktk kufanya mapenzi na kushindwa kusimamisha uume au namaliza mapema sana tena goli moja tu nkaenda kwa dr akaniambia sina tatizo ila huwa nakamia tu sasa je...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu wajuzi!?.. Kwakweli kama title inavyojielez, kwangu ni tatizo. Huwa ninapokula chakula iwe breakfast, lunch hata dinner najihisi kuzidiwa ile nguvu zinaniishia kabisa japo huwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habari wakuu. Mdg wangu kapata miscarrage, na akasafishwa anaendelea vyema. Je ni muda gani anatakiwa upite ndipo anaweza kukutana na mumewe tena. Thanx indeed
0 Reactions
7 Replies
1K Views
jaman hii si mara ya kwanza..miaka miwili iliyopita uvimbe ulikaa mda mref nikafanyiwa minor operation ya kuutoa...sasa naona jicho la upande mwingine limevimba kwa juu..na linauma sana hadi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Waziri wa Afya Zanzibar, Juma Duni Haji, ameshangazwa na wimbi la uuzaji wa dawa za nguvu za kiume uliojitokeza katika maeneo ya misikiti visiwani humu. Akifunga mjadala kuhusu ripoti ya Kamati...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jamii!Nahitaj msaada kwa wale wanaojua jinsi ya kutoa tatto,nina mdogo wangu wa kike 17,asubh naona anatembea kainama na kafunika bega la kushoto nimemchunguza vzr ana tatto kasema...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ninaomba msaada wa ngozi ya usoni kuna vipele mfano wa chunusi ndogondogo huwa vinaibuka na kupotea, Bt pale vinapo ibuka huwa vinawasha sana. msaada tafadhari.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habar zenu, eti nataka kujua tatizo la moyo kuwa mkubwa linasababishwa na nini?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ninaomba msaada wa ngozi ya usoni kuna vipele mfano wa chunusi ndogondogo huwa vinaibuka na kupotea, Bt pale vinapo ibuka huwa vinawasha sana. msaada tafadhari.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ninaomba msaada wa ngozi ya usoni kuna vipele mfano wa chunusi ndogondogo huwa vinaibuka na kupotea, Bt pale vinapo ibuka huwa vinawasha sana. msaada tafadhari.
0 Reactions
0 Replies
771 Views
Jamani mtoto wangu ana mwezi mmoja sasa ila anashtuka sana akilala hata akiwa macho anashtukashtuka na kuanza kulia je atakuwa anaumwa?
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu! kuna Clinic mpya ya magonjwa ya moyo imefunguliwa pale Ocean road, sea view, karibu na Protea Hotel (court yard), si mbali kutoka Serenda bridge. inaitwa Doctor's Plaza heart...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom