Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Nimefika Muhimbili jana muda mbili asubuhi. Nilimabiwa kuna utaratibu mpya. Nilipanga foleni kupewa namba. uipewa namba unapanga foleni kuitwa kupeleka kadi ya bima au kama unalipa cash. baada ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
How to know if my immunity is weak Because Revivo is the leading Immune supplement we often get a lot of worried readers of our email newsletter who are either: 1) not really sure whether...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
nILIKUWA NAOMBA NAMBA YA MANaging director wa msd maana sisi wagonjwa wa kansa wa hospital ya ocean road cancer institute ( ORCI), Hamna dawa za kansa tangu DECEMBER 4, sasa wagonjwa wanakufa. pls...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habari zenu wanajf! naombeni kuuliza,ivi is it pocbo kupata kumpa mwanamke mimba(ujauzito) endapo kila siku unasex nae bila kupumzika japo siku moja?msaada ndugu wajuzi wa mambo
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wataalamu wa afya wanasema kuwa wanawake barani Ulaya wanafariki zaidi kutokana na saratani ya mapafu kuliko saratani ya matiti. Wanaelezea kuwa saratani ya mapafu ndio imekuwa sasa saratani...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wataalam nimemeza Dawa za mmmaleria na nimetapika baada ya muda mfupi je naweza rudia kumeza nyingine na je kuna muda maalum ukipita siwezi rudia tena msaada tafadhali
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Asalamu waleykumu waungwana!poleni kwa majukumu waungwana..... Kuna mtu kanijia juzi anadai yeye ni hiv+ na boy friend wake ni hiv- sasa yeye anahitaji mtoto na mtoto wake asiwe na virusi vya...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndg wadau, naomba kuuliza km bima ya afya (nhif) ina.cover na gharama ya miwani ya macho na km haijumuishi ni wapi naweza kuipata kwa bei ya kupoa kidogo na bila zengwe. Mi natumia photocromic...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
MUST READ! The Danger Of Using A Mobile Phone While Charging Many people are guilty of this! I guess you should stop it after reading this and please tell others about it... A few days ago...
1 Reactions
4 Replies
7K Views
Ninaishi na mtoto wa kike wa miaka 12, alikuwa anaishi kijijini na bibi yake na kwa sasa naishi nae huku mjini. Huyu mtoto kifupi kakulia mazingira magumu kimaisha na amedumaa pia, ana miaka 12...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimekuwa nikisikia baadhi ya watu wakitamba kuwa wamepona Malaria, Typhoid na magonjwa yote yanayo husiana na tumbo baada ya kutumia kinywaji cha KONYAGI. Naomba wataalam mseme neno juu ya hili...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
nimekuwa nikisikia na kukuta baadhi ya watu wakiunga mkono kugida vinywaji kama valeur, konyagi, Regency, viroba,na vingine laini kama amarula.wakidai inasaidia kutibu na kumfanya mwanaume katika...
0 Reactions
18 Replies
25K Views
Wataalamu wa tiba wameshauri kua watu ambao afya yao inakabiliwa na uwezekano wa kukumbwa na saratani ya kibofu, wapewe dozi ya aspirini. Jarida linalochapisha habari za utafiti wa wataalamu...
1 Reactions
2 Replies
770 Views
(NaturalNews) Microwaves absolutely decimate the nutritional value of your food, destroying the very vitamins and phytonutrients that prevent disease and support good health. Previous studies have...
1 Reactions
0 Replies
945 Views
Me ni kijana nina mpenzi wangu tuko katika mahusiano miaka minne sasa hapa katkat alisumbuliwa sana na kifua lakin hakuwa anatkwa na makohoz,hospital walikua wanampa dawa za kulainisha hadi...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
ninmwezi mmoja tu tambu ni fanye mapenzi na dada ambaye baada kumfanya tulienda maabara kupima maana nilimuona anavutia sana na alikuwa na umri wa miaka 19 tu hivyo nikaamini atakuwa mzima. Baada...
0 Reactions
103 Replies
19K Views
TUWE WAANGALIFU SANA KUIKUMBATIA LAPTOP ITAKULETEA MARADHI YA NGOZI NA HATA UKAPATA UGONJWA WA SARATANI YA NGOZI.
7 Reactions
22 Replies
11K Views
Habari zenu wadau, nina mtoto mwenye umri wa miezi 5, alizaliwa dar, baada ya mwezi na nusu akahamia kondoa ndo tunakoishi mpaka leo, baada ya mwezi mmoja ngozi ya mgongoni ikaanza kukakamaa na...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
AFYA bora ndiyo msingi wa maisha ya kila binadamu, bila kuwa na afya bora hakuna maisha. Kwa sababu maradhi hukaa mbali na mtu mwenye afya bora na maradhi hukaa karibu na mtu mwenye afya mbovu...
5 Reactions
0 Replies
7K Views
NINATIBU MAGONJWA YA TABIA Habari wanajamii Napenda kutangaza huduma yangu kwa wale wenye matatizo yafuatayo: 1. Watu wazima waliopalalaizi, nawafanyia mazoezi (masaji) na kupewa dawa...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom