Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

The sight of French fries, aloo tikkis and samosa's are bound to tickle the taste buds of any Indian. But have you ever wondered the kind of oil that is used to cook these delectable items? In all...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Hii ni wiki ya pili sasa, uso wangu una vipele vidogodogo na unawasha sana, najikuna sana na umeanza kuharibika kwa mikwaruzo ya kujikuna. any help plz
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Nina tatizo jamani naomba msaada,nikijipapasa katika kende zangu kuna kitu kama tezi hivi kwa ndani.Ninapofanya mapenzi natoa mbegu kidogo sana na zinatoka bila kasi ambayo nadhani zinatakiwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
SUMU YA NYUKI HUENDA IKAIUWA VIRUSI VYA UKIMWI WANA SAYANSI WAMESEMA. Researchers at Washington University in St. Louis (WU) say they’ve found a way to effectively destroy the HIV virus using a...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Hello Wanajamii! Bila shaka mnaendelea vema katika michakato ya kimaisha na tunashukuru kwa kuwa sote tupo pamoja. Mimi huwa napenda sana wanajamii wanaoishi kwa ushirikiano katika maisha ya kila...
0 Reactions
0 Replies
10K Views
Jamani wataalamu wa jukwa hili mnisaidie. Kwa sasa hivi kitambi kinanijia kwa kasi sana. Sasa tatizo naloliona ni pingiri kuwa inapungua na kuwa ndogo kila tumbo linapo ongezeka. Je kuna uhusiano...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za asubuh wana JF naomba msaada kwamba utaratibu wa kusafisha tumbo baada ya kujifungua ukoje na dawa zake ni zip?? Ahsante
0 Reactions
1 Replies
13K Views
Can You Believe it ?
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani mi ni kijana wa miaka 18 tatizo langu ni kwamba nimekuwa nikishindwa kuongea maneno kwa mtiririko nimekua nikiongea huku nikiacha maneno mengine mara naanzia kati sentensi ninazoongea...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
By CHRISTABEL LIGAMI Special Correspondent Posted Saturday, February 16 2013 in The East African In Summary •The findings on the MVA85A, which was hyped as the most advanced of more than a...
0 Reactions
0 Replies
766 Views
Acidityunaweza kuelezewa kamahaliambayokunaziada yasecretionasidina tezigastricyatumbo. Kiungulia na malezi ya gesini kubwa dalili ya acidity. Mwili wetu hutoaasidi Digest chakula tunachokula...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Kidney disease 'biggest threat' for diabetics An illustration of the right and left kidneys Kidney disease can be a complication arising from diabetes Keeping your kidneys healthy could be one...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Nimeanagalia vipindi vyake ana advocate vyakula asilia kama tiba. Lakini cha kushangaza anajicontradict vibaya sana. Mara aseme tusile kitimoto, mara tusile samaki, eti wanakula mizoga kwa hiyo...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wataalam mke wangu ana ujauzito wa mienzi minne (4) anapenda sana vyakula vya nafaka (maharage, kunde, mbaazi n.k) je haviwezi kumletea athari yoyote?
0 Reactions
1 Replies
782 Views
Ilorin - A pharmacist, Busayo Idowu of the Department of Pharmacy, University of Ilorin Teaching Hospital (UITH), warned on Saturday that taking drugs with beverages such as soft drinks could...
0 Reactions
0 Replies
790 Views
As our children face treatment-resistant ‘superbugs,' we must ask ourselves, 'Is it better to avoid antibiotics for common infections?' The Centers for Disease Control issued stark...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwenu wataalam mm nina tatizo sugu ambalo linanisumbua huwa nawashwa mwilini,nikijikuna vinatoka vipele vingi vinawasha sana baadae vinapotea yani napata shida sana,niwahi kupima aleji nikaambiwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
SARATANI YA UTUMBO MPANA NI HATARI Habari wadau, Mnaweza shangaa leo kuja na uzi huu wa Saratani ya Utumbo mpana, kifupi mi si tatbibu na wala sina fani yoyote ya namna hiyo, bali mambo haya...
4 Reactions
9 Replies
9K Views
mkuu mzizimkavu nisaidie najua uwezo unao na nia unayo yakusaidia jf nina siku kama mbili hiv kuna vipele vimetokea mguuni nikivikuna vinawasha nimepaka dawa bbe lkn haisaidi je mkuu nitumie dawa...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
New drug being developed using compound found in red wine 'could help humans live until they are 150' Drugs are synthetic versions of resveratrol, found in red wine Research shows drugs which...
0 Reactions
0 Replies
795 Views
Back
Top Bottom