Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

nINI CHANZO CHA KUWA NA MPANGILIO USIO RASMI KATK HEDHI?
0 Reactions
17 Replies
9K Views
ndugu wana jf kuna tatizo limetokea miongoni mwa jamii yetu kila ukienda kupima moyo umetanuka napenda kujua nini chanzo na tiba kwa wale wanaofahamu.ahsanteni
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Hello The JF Drs. Naomba ushauri kuhusi hili tatizo: Ni kama miezi miwili sasa I am experiencing kama naungua moto hivi sehemu ya nyuma mugongoni kuanzia sehemu ya shingo hadi mitaa ya kiunoni...
0 Reactions
0 Replies
921 Views
Tafadhali, naomba msaada. My wife anatatizo la nyonga ie pale ule mfupa wa femur unapo join na pelvis, Upande wa kulia na huhisi maumivu akilalia upande wa kulia. Hata akitembea ameanza...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Hello! Habari zenu, tafadhari naomba kwa mtu yeyote anayefahamu datrari bingwa anipatie maelekezo maana nina tatizo hili na nimeshafayiwa operation mara moja bila mafanikio. Au kwa yeyote...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Naomba kujua hasara zake wakuu
0 Reactions
26 Replies
20K Views
Weight Loss Water TherapyPosted on April 7, 2012 by admin In a time when more and more people are becoming conscious of their health and weight, countless methods and concepts are popping up...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Processed meat 'early death' link By James Gallagher Health and science reporter, BBC News...
0 Reactions
0 Replies
865 Views
Utafiti wasema unywaji wa angalau soda mbili kwa wiki huongeza hatari ya kupata kansa ya tezi kongosho; viwanda vyadai utafiti una walakini. Mapema mwaka huu iliripotiwa na majarida kadhaa sehemu...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Red Palm Oil, the staple oil in the Africa and Asia continents, naturally contains unique phytonutrients that are proven to be beneficial to human health. The oil palm (Elaeis guineensis), from...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
​ WAKATI kondomu feki zilizopigwa marufuku Uingereza mwaka jana zikiwa katika mzunguko nchini Tanzania, kesi za gonjwa la ngono hatari lisilotibika zimeongezeka kwa asilimia 25...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau. Naomba kuuliza, kama kuna member anaejua gym yoyote ya wanawake watupu iliyoko mitaa ya Kinondoni A au B anifahamishe. Nataka nianze gym maana dawa zote nimemaliza, lakini mwili...
4 Reactions
87 Replies
10K Views
Zaidi ya watu million 34 wanaugua ukimwi dunia nzima, kama haupo hapo mshukuru Mungu na ujichunge. Kusini mwa Africa kunaongoza.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Heshima kwenu wadau, Njia ipi ni nzuri na safe ya kujifungua kati ya normal way ya kupush mtoto au surgery.. Msaada please kwa mnaoelewa vizuri hizo mambo
0 Reactions
1 Replies
1K Views
NINATIBU MAGONJWA YA TABIA Habari wanajamii Napenda kutangaza huduma yangu kwa wale wenye matatizo yafuatayo: 1. Watu wazima waliopalalaizi, nawafanyia mazoezi (masaji) na kupewa dawa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Naombeni msaada wenu,nina ujauzito wa wiki tatu lakini tumbo linaniuma mara kwa mara,je inaweza ikawa ni nini? Na je nifanyeje?
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Habari wana JF Mimi ni kijana wa kiume...kwa muda wa wiki kadhaa sasa nimekuwa nawashwa kwenye korodani,hali hii imezidi na sasa kumetokea michubuko upande wa pembe za korodani (kulia na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
habari ndugu zangu....nimekuwa nikiongezeka uzito kwa haraka na kwa muda mfupi...nahisi kuna tatizo katika ulaji wangu naombeni msaada wa jinsi ya kupangilia vyakula na njia nyingine yoyote mbadala
0 Reactions
0 Replies
911 Views
jameni ukombozi unakaribia! soma hii hapa chini! The toddler, now two and a half, was taken off standard medication a year ago, with no signs of infection. Under the...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana jamvi naomba mwenye kujua tiba ya mgongo kwa diski zilizokaukiwa maji na zilitoka sehemu zake. Nipo DSM. Tiba mbadala tafadhali. Asanteni
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom