Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Heshima kwenu waungana, Jaman mwenzenu nina tatizo maana mke wangu anataka kuondoka endapo mwez huu hatapata ujauzito maana limekuwa ni ombi lake la muda mrefu,ni kwamba mimi na yeye haituishi...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
heshima mbele wana MMU kwa anayemfaham Dr.Omary wa St.Francis Hospital Ifakara anisaidie mawasiliano naye mimi niko Moshi
0 Reactions
1 Replies
906 Views
UTAFITI mpya wa kitabibu umebaini kuwa saratani ya shingo ya kizazi, inasababishwa pamoja na mambo mengine na ngono kama ilivyo kwa ugonjwa wa Ukimwi, madaktari bingwa wa magonjwa ya maradhi hayo...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba kueleweshwa nini madhara au Faida ya kutumia Vinywaji baridi mfano Maji,soda,bia nk Sent from my BlackBerry 9900 using Jamii forums
0 Reactions
1 Replies
4K Views
habari yenu wapendwa,, ni matumaini yangu mko salama kabisa poleni kwa wale tunaosumbuliwa na maradhi,,, nadhani asili MAFUTA YA UBUYU Ni mafuta ya asali yalifanyiwa utafiti wa kina wa...
3 Reactions
20 Replies
14K Views
Jamani nina ndugu yangu ni mmoja kati ya hawa waliopata sufuri ya miaka minne. nahisi moja ya sababu zilizopelekea ni kubwia ugolo. kifupi ni kwamba huyu dogo anaubwia kwa fujo kiasi kuwa huwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
NDUGU WANA JAMII, NISAIDIENI NIFANYEJE ILI NIPOMNE HILI TATIZO! KIPINDI NIPO MDOGO, KABLA SIJAFIKISHA MIAKA 18, NILITOLEWA DAMU KTK HARAKATI ZA KUCHANGIA DAMU SALAMA, BILA KUJUA, NA KWA ELIMU...
0 Reactions
32 Replies
7K Views
wana jamii, usikurupuke kuponda, nahitaji msaada kwa niaba. mlengwa jicho lake ni kubwa kimtindo kutokana na ugojwa (njia ya haja kubwa) nini kifanyike ili kupunguza huo ukubwa
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu,nina mtoto wa mdogo wangu mvivu kula na anacheza sana hata chakula tunampelekea achezako.Hana hamu kula nifanyeje?
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Inasemakana kuwa mtu akifanyiwa operation ya kuondoa INGUNIAL HENIA, nguvu za kiume hupungua je ni kweli?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
IZ IT TRUE? PARTICIPANTS at the 4th Allure Vanguard Women on Wellness, WOW, seminar, got a shocker recently when they learnt that foods eaten after 8.00pm, were essentially poisonous to their...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndg zangu naombeni msaada nina mdogo wangu amepata tatzo la kuvuta hewa chafu ya dawa ya mbu baada ya kupata huduma icu AMEPATWA TATZO LA KUTO ONA KABISA MWENYE KUJUA DAWA ANISAIDIE TAFADHAR
0 Reactions
1 Replies
979 Views
JF Doctor Mimi ni Kijana wa Miaka 29 kwa week mbili sasa nimekumbwa na tatizo ambalo sijui ni nini,Ila for the last two weeks nilikuwa na matatizo{Stress} na nilikuwa najitahidi kujilazimisha kula...
0 Reactions
10 Replies
9K Views
Vyombo vya habari vimekuwa vikiripoti mara kwa mara yakuwa; mabinti wengi hawahitimu masomo yao kwasababu ya kupata ujauzito (mimba za utotoni). Mtoto anaweza pata ujauzito? Wanabaiologia; hii...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Dear JF Members Greetings in abundantly. Today, lets talk a little bit about causes, and healthy effects/ risks of Obesity/Overweight, and the way we can get rid off through Meal Replacement...
0 Reactions
2 Replies
21K Views
Muscle cramps facts A muscle cramp is an involuntarily and forcibly contracted muscle that does not relax. Almost everyone experiences a muscle cramp at some time in their life. There are a...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Salaam wakuu, hivi hapa dar kuna kituo cha kuwatibu waathirika wa madawa ya kulevya? Kwa maana ya kambi maana nina shemeji yangu hashikiki kwa hayo madawa licha ya kwamba anatibiwa muhimbili na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimepata mdada wa kazi kwang, nimchapakazi sana, msafi na mwang umpenda sanaaa kwa ufupi anasifa nzuri. But anatatizo moja tu, kinywa chake ( mdomo) Unanuka harufu kali mara kwa mara pindi...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Jamani anayeweza anipe msaada wa haraka,nasumbuliwa na tumbo,nkikaa kwa muda bila kula,tumbo laniuma sana,pia najisaidia choo chenye damu,meenda hospitali nkaambiwa ni vidonda vya tumbo,metumia...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
SIKU moja baada ya Hospitali za Aga Khan na Muhimbili kutangaza kuanza kutoa huduma za matibabu na upasuaji wa moyo ndani ya nchi, Chuo Kikuu cha Mtakatifu Joseph (STJUT), kilichopo Chini ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom