Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Can we discuss this please? Hypertension is no longer an 'old age' problem'. The rate at which young people collapse and die these days is alarming. Are there doctors in the house that can talk to...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wadu madaktari kwa nn nikinywa pombe kali kma grants, JD na nyinginezo natoka dam puan tena nikiwa na bibie ndio zaidi, what is behind this?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Je, msichana anaweza pata mimba akifanya mapenzi siku 1 kabla ya bleeding au wakati wa bleeding? Mchango wenu tafadhali..
0 Reactions
13 Replies
42K Views
Heshima mbele wanaJF, Nimekuwa na matatizo ya masikio yangu kwa muda wa miezi sita (6) sasa. Siku moja nilikuwa natembelea maeneo ya machimbo, maeneo hayo mara nyingi wanakuwa wanatumia milipuko...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nina mtoto wa mwaka 1 na miezi mi2 todate. For the 1st time,aligundulika na malaria 5 akatibiwa na kupata nafuu kabisa. Miezi mi2 baadaye akaanza kuonekana na dalili za malaria. Alipimwa again...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari za asubuhi wanajf nina maumivu bega la kushoto kwenye mgongo panauma hata ukibonyeza panauma nimepata tiba toka regency hosp lakini bado kwa sasa nachoma sindano 10 za Neurorubine but...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wanajf Nilikua nauliza kama kuna member anamfahamu daktari wa mbwa maeneo ya ukonga. Nikipata contact za huyo docta nitashukuru.
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Wadau wa JF hasa Jf Doctor watu wengi wamekuwa wakitoa matatizo yao ya kuumwa kwenye Jf Doctor na kupewa ushauri wa kitabibu either Hospitali au Tiba mbadala,kitu ninachoona kingekuwa cha manufaa...
1 Reactions
1 Replies
656 Views
Habari madaktari, Mtoto wangu anakuwa kama kuna kitu kinamsumbua kufuani.unapomaliza kumpa maziwa anakuwa km anajinyonga kifuani halafu anacheua..ukiyalamba aliyocheua yana ladha ya uchachu km...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kipi kitumike kuondoa maumivu ya jino lililotoboka ambayo yamesababisha shavu kama sio ufizi kuvimba? Natanguliza shukrani kwa ushauri wako.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Tafadhali nisionekane mshamba...naomba nijulishwe.Hivi,nguvu za kiume ni nini hasa? Je,ni uwezo wa uume kutenda kazi bila kuchoka kwa muda mrefu? Je,ni uwezo wa uume kutema mara nyingi? Ni nini hasa?
0 Reactions
12 Replies
10K Views
Habari wadau, Hivi kuna njia wanandoa mwaweza fanya mkapata watoto mapacha? Au inatokea tu bahati kuwapata Nawakilisha
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mficha uchi maradhi yatamuumbua, Nina uvimbe wa juu Korodani ya Kulia, ni tatizo gani hasa na nini tiba yake. Kuna wakati inasabasha maumivu kwenye hiyo private part.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
NINATIBU MAGONJWA YA TABIA Habari wanajamii Napenda kutangaza huduma yangu kwa wale wenye matatizo yafuatayo: 1. Watu wazima waliopalalaizi, nawafanyia mazoezi (masaji) na kupewa dawa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari zenu wapendwa. Napenda kufahamu hivi ukinyoa sehem za siri hasa kwa wanaume je hakuna madhara ukitumia magic powder? Mimi napenda kutumia hii dawa kunyolea sehem za siri ila nina mashaka...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Wana JF naomba kwa yeyote mwenye kujua tiba ya henia kwenye uti wa mgongo, yaani disk kutoka na kukandamiza neva za fahamu, nateseka, mwenye kujua tiba tofauti na upasuaji tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Cancer is one of the most dangerous Disease, in Action in this modern era. After Research Scientists have Announced yesterday that, Most of the Brain Cancer is Due to Cell Phones. Among the worst...
7 Reactions
20 Replies
3K Views
hebu mwenye uelewa na madhara ya kutumia chuchu bandia kwa watoto atupie hapa
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mimi ni mtoto wa kiume nasumbuliwa na ugonjwa ambao siujui,umeanza gafla baada ya kufanya mapenzi na mwanamke flan,natokwa na maji maji meupe kwenye uume,nikikojoa mkojo upo safi tu,nilienda...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom