Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wana JF naomba mwenye kujua namba za simu za Dr. Emmanuel Boaz anayetibu mifupa kiasili tafadhali nipatie, au maelekezo ya kuelekea kliniki yake. Asanteni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimekutana mara kadhaa na hawa MaDr wa mitipori wa Kimasai wakinadi dawa ya kuotesha nywele kwa wenye vipara! Ninachopenda kujua kama kuna mdau ameisha tumia hizi dawa na kweli zikaotesha nyweleze...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
jamani huu mwaka takribani wa tano kichwa changu kinawasha, nimejaribu kumeza dozi ya mwezi(vidonge 30) bila nafuu, nimepaka mafuta ya asili lkn wapi! Km kuna mtu anajua dawa anisaidie kunitajia.
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Nipo Mbeya baba yangu anashida ya mtoto wa jicho (cataract) na sina uwezo wa kufika Dar es salaam CCBRT naomba msaada kwa yeyote anyejua wapi naweza kupata matibabu ya baba yangu hapa Mbeya
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wakuu,wataalam, nisaidieni hapa Nina anko wangu wa kike yuko form 4 na bado mpaka sasa anakojoa sana kitandani! Karibu kila siku tunatoa godoro nje. Naomba ushauri na tiba,
0 Reactions
32 Replies
6K Views
nimepata taarifa kua, takwimu zinaonesha kua Tabata inaongoza kwa maambukizi ya Ukimwi kwa wilaya ya ilala na takwimu hizi zipo kwa mganga mkuu wa wilaya ya Ilala kwenye ofisi yake, Hospital ya Amana
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimekua nikisumbuka kupata mtoto,ila majuzi tu nimegundua nina ujauzito wa mwezi baada ya muda mrefu,niepuke dawa gani katika safari hii? Nahofia isitoke
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Uume unadunda kama mapigo ya moyo. Hii inamaanisha nini?
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Wakuu,naomba tupeane ushauri na uzoefu.Je kwa mtu mwenye uwezo wa kwenda round moja tu wakati wa kufanya mapenzi,anaweza kutunga mimba kwa mwanamke?Au kuna wakati goli moja halitoshi?Naomba tupane...
1 Reactions
11 Replies
10K Views
Mimi ni mwananchama wa NHIF (NATIONAL HEALTH INSURANCE FUND) dukuduku langu ni kutaka kujua eti huduma ya matibabu ya meno hailipiwi na huu mfuko. Mn nimetembele hospitali moja leo nikiwa na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
za asubuhi wapendwa.....nahitaji kumconsult daktari wa meno....ni wapi naweza pata daktari mzuri wa meno hapa dar-es-salaam?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Abir, It is called masturbation. Of course, it is very bad for health. It makes you "dry, loose, skinny, weak, and impotent" day by day. I am a doctor. You will require nearly five minutes to...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana jf naomben ushaur mi korodan yang moja inaingia ndan na uume wang mfup inanipa waswas,mawazo naomben ushauri au ti
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna hizi dawa/vidonge, VITA CAP NA STROM-50. Je hizi mtu akitumia zinaweza kushusha presha na mgojwa kuishiwa nguvu. Sababu kila akizitumia ndo anakuwa hivyo ni sababu ya hizi dawa ama kuna...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dr Hussein Mwinyi. KWA UFUPI "Katika utafiti wa Kitaifa uliofanywa mwaka 2010, umeonyesha kuwa kiwango cha ukatili wa nyumbani kati ya wanawake wenye umri wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naona humu ndani kuna wataalamu wa vyakula kila aina lakini sioni vyakula vya mfano wenye vidonda vya tumbo? au wenye kisukari na kadhalika nahisi mtu akitunga hata kitabu tu kitauza sana since...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa kutumia Dawa ya kienyeji utatibiwa kabisa KIFUA KIKUU.Cont.0763323534 au 0779909120 au anaweza akani-PM.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za leo. Naomba msaada wa namna ya kum introduce mtoto kwa chakula. I mean mtoto wangu amekuwa aki breastfeed exclusively for 5 months and I would like to introduce him to other foods...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mtoto wangu anaumri wa miezi mitatu.. ila ameanza kutokwa udenda akiwa na miezi miwili. Ila huu udenda umezidi kawaida na anakuwa anatema mate sana! tatizo ni nini? je ni kutokuweza kumsafisha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba kuja sababu mwanaume kuwa na sauti nyembamba kwa mtu mzima na matibu yake ni yapi. Asante
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom