Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Top 10 Painful Illnesses When, it comes to feeling sick we are not all equal in our abilities to cope with distress and discomfort, however there are certain types of pains that tend to reduce...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hongera kwa majukumu na pole kwa uchovu wa wikiend. Mie ni mwanamke wa miaka thelathini na mmjo 31). Nimevunja ungo nikiwa na umri wa miaka 16 na nikiwa kidato cha tatu. Sasa tangu nivunje ungo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba ushauri, mlango wa haja kubwa unaniwasha Mara kwa Mara sijui dawa yake ni nini? Nimetibiwa sana za minyoo, na fungus lakini wapi!! Msaada jamani. Sent from my BlackBerry 8520 using...
0 Reactions
31 Replies
8K Views
Not only does it rot your teeth and add inches to your waistline, but now researchers have discovered that junk food actually hurts your brain. By consuming trans fats, found often in fried or...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
wadau naomba msaada wa jinsi ya kukomesha vipele usoni, na apia jinsi ya kuondoa mabaka meusi usoni, Je kuna uwezekano wa kuzuia au kupunguza kasi ya ndevu kuota? msaada wenu tafadhali
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habar wapendwa,,nadhani wote tuu wazima,,ninaomba ushauri wenu nifanye njia gani zisizo na madhara kupunguza mwili na uzito?hasa kupunguza mwili,,naombeni msaaa wenu katika hili,,
0 Reactions
4 Replies
10K Views
Leo mchumba wangu amekuja kunitembelea sasa swali langu ni namna ya kuepusha mimba,kwani alianza monthly period tarehe 29.04.2012 sasa je leo tukifanya mapenzi bila kutumia kinga anaweza...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Jamani napata maumivu ya mifupa ya kwenye ugoko miguu yote,nashindwa kuelewa ni kitu gani kinasababisha hii kitu maana cjakimbia wala kufanya zoezi lolote cku za karibuni
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jaman mm nna tatizo,mm bado c jaoa lakini nataka tatizo hili ata nikataka kuoa niwe tayar nimelisha lipatia ufumbuz,,,,, tatizo lenyewe ni samahanini lakini 'endapo nitafanya mapenz bac baada...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Heshima mbele wakuu wa jamvi. Hapa nyumbani kuna dada angu yupo darasa la nne, Juzi alikuwa anaumwa akapelekwa haospitali. Akapima mkojo kwa ajili ya UTI. Majibu yakatoka Daktari akasema mkojo...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kuna jirani leo nisiku ya pili analalamika kwamba mtoto tomboni hamsikii akicheza hata kujitikisa pia anasikia maumivu chini ya kitovu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
baada ya masaa mangapi tokea kumaliza dozi ya UTI unaruhusiwa kunywa pombe. Nakala: MziziMkavu
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Wakuu wana jf, leo nakuja hapa kupata jambo moja tu!,ninae mgonjwa mtu mzima above 40 ana jipu shingon limetimbuliwa toka last year had sasa ndo linakauka na limeleta uvimbe wa tezi. Pia wiki 2...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu, Nina rafiki ambaye amekuwa akisumbuliwa na kifua kubana hasa anapokuwa na msongo wa mawazo(ni kwa muda usiopungua miaka minne sasa), maumivu hayo hayatokei mara kwa mara ila...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Hivi nikweli kuwa mtu mwenye matatizo ya ugonjwa wa moyo na presha hapaswi kudungwa sindano ya DICLOFENAC?. Tafadhali naomba wanajamvi mnijuze juu ya kadhia hii. Natanguliza shukrani zangu za dhati,
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jaman mimi ninashida jins ya kutumia kondomu kwa usahihi, eti unaweza ukapiga bao zaid ya moja kwenye kondomu moja? kwan nimeona kwenye maelezo ya namna ya kutumia kondomu kwenye pakiti...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu zangu naomba ushauri, mtoto wangu anawiki moja tangu azaliwe,analia kwanguvu mara kwa mara. Akisha lia tu,hujisaidia haja kubwa. Pia hutikiswa mara kwa mara(hustuka). Nisaidieni kwa ushauri.
0 Reactions
22 Replies
20K Views
Wakuu, naomba kuwasilisha kwenu tatizo hili, wakati wa baridi, sehemu za korodani hujaa vimaji kidogo, ambavyo hupelekea kuhisi kaama kichomi, na kuuma, tiba yake hasa ni nini? wengine huita...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
LATEST CANCER INFORMATION from Johns Hopkins AFTER YEARS OF TELLING PEOPLE CHEMOTHERAPY IS THE ONLY WAY TO TRY AND ELIMINATE CANCER, JOHNS HOPKINS IS FINALLY STARTING TO TELL YOU THERE IS AN...
0 Reactions
0 Replies
987 Views
Kwa yeyote anayemjua Nutritionist mzuri hasa wa watoto. Msaada tafadhali.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom