Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Soma hapa sijapata muda kufafanua kwa kiswahili "Kids these days ... " At some point in every adult life, we all utter this phrase. No matter how young and hip you think you are -- use of the...
3 Reactions
93 Replies
11K Views
Hali iliyotokea juzi tarehe 5.03.2018 ilinitisha na kuniogofya nisijue nini cha kufanya wala sikujua ni kitu gani kimesababisha Jua kubadirika na kutengeneza hali yenye utisho mpaka sasa...
7 Reactions
223 Replies
21K Views
Salam Sana! Nimekuwa nikijiuliza bila majibu sahihi kwa yanayotokea duniani na jinsi binadamu tunavyoishi!! Kila binadamu anakua na kulazimika kutafuta pesa,bila pesa mtu haishi vizuri-swali ni...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Pombe ilikuwa imemwingia kichwani kiasi flani na kumfanya ajiskie kuwa ni jasiri kwa namna moja ama nyingine, aliamua kunyanyuka na kusogeleaa chumba kingine ambacho ndani yake kulikuwa kuna tukio...
39 Reactions
212 Replies
37K Views
Awali ya yote niwatakie afya njema wana jamvi na Mungu awabariki bila kuwachosha niende kwenye mada. Mwaka 1991 Baba yangu aliomba uhamisho kufanya kazi karibu na kijijini kwao ili aweze kuwa...
10 Reactions
51 Replies
12K Views
Heko kwenu wadau wa ulingo huu mwanana kabisa kwa ajili ya kujuzana mambo kadha wa kadha. Hivi karibuni nimesoma mahali kuwa Navigator wa ile ndege ya Israel iitwayo F-16 iliyotunguliwa na Jeshi...
2 Reactions
36 Replies
5K Views
1. They do not accept that everyone is entitled to rights, and often encourages their supporters they need nothing from the Populist Government. i.e. security. 2. They have a tendency of abusing...
0 Reactions
0 Replies
493 Views
Na ni kweli kuwa na kiongozi wa kudumu kunatuwezesha nchi nzima kufanya kazi kwa kila mtu katika fani na wito wake. So kutatuwezesha kuwa kuwa na fikra kuwa tunae kiongozi basi kila mtu...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
John Kibera lilikuwa jina lilotawala sana katika vichwa vya wanausalama wa Kenya kwa kuwasumbua kwa matukio yake ya kupora raia na kutishia maisha. John Kibera maarufu kama "DK Shah" alibadili...
2 Reactions
19 Replies
7K Views
Kiukweli amenichanganya sana baada ya kusema kwamba 99.9% ya Watoto wanaozaliwa wakiwa na uzito mdogo na wenye kupata / kuugua Ugonjwa wa ' Utapiamlo ' huwa na uwezo mdogo sana wa Kufikiri /...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Poll Poll
A few days ago I happened to be listening to the news in Tanzania and the the minister of Work said something like this " I am glad the opposition now knows that development is brought by ccm and...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Wengi mtakubaliana na mimi kwamba amani na utulivu wetu kama nchi mwisho wake ulikuwa 1995 Baada ya hapo amani na utulivu wetu tuliviweka rehani pale tulipoanza kubinafsisha kila kilicho chetu kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tunapozungumzia uchumi unakuwa tunazungumzuia makusanyo si matumizi, ndio maana uchumi unapimwa kwa GDP (Gross domestic product) kwa maana pato la taifa maana ya pato ni kile unachokusanya aidha...
5 Reactions
26 Replies
9K Views
African Congo (Zaire) – 66------------ ;Congo (Brazzaville) - 73; Ethiopia – 67---------; Ghana – 62; ------------Nigeria – 69; Sierra Leone 67----------; South Africa – 72; Sudan – 72...
0 Reactions
39 Replies
8K Views
Asalaam aleykum! Napenda kwanza kumshukuru ALLAH kwakunijaalia afya njema kwani wala si kwaujanja wanu ila ni kwa rehema zake.Dhumuni la kuletwa duniani ni kumuabudu yeye aliyeumba mbingu na ardhi...
7 Reactions
24 Replies
7K Views
1.Equatorial diameter 6792 km 2.Masa 6.4x²³ kg. 3.Mean distance from sun 228 million km. 4.Rotation period 1.03 day...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sherehe ya Waashanti ya viazi vikuu karne ya 19 kwa mujibu wa Thomas E. Bowdich Ngome ya Cape Coast Kasri la Elmina Historia ya Ghana ilianzia mbali sana, hata kabla ya ukoloni tunaweza...
1 Reactions
3 Replies
5K Views
Familia ya Beaumont ya watoto watatu ambao ni Jane Nartare Beaumont (alizaliwa 10 mwezi wa tisa1956), Arnna Kathleen Beaumont (Alizaliwa 11 mwezi wa kumi na moja1958), na Grant Ellis Beaumont...
4 Reactions
3 Replies
2K Views
Tarehe 18 Januari 2015 Idara ya usalama ya Agentina ilituhumiwa kuhusika na mauaji ya mpelelezi binafsi bwana Alberto Nisman aliyekuwa akitaka kuanika madudu ya serikali hiyo ikiwemo ufisadi...
11 Reactions
39 Replies
6K Views
“Kwa mamilioni ya watu ndani na nje ya Afrika, Kwame Nkrumah ndiye Afrika na Afrika ndiyo Kwame Nkrumah; Kwa Wakoloni na Mabeberu jina la Nkrumah ni laana kwao; kwa Masetla na Walowezi jina lake...
41 Reactions
62 Replies
14K Views
Back
Top Bottom