Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Hallo Jf, Katika mambo yanayoumiza vichwa hapa duniani ni kuwa Binadamu na ulimwengu mwanzo wetu ni upi hasa?? Wanasayansi Na vitabu vya dini vinatupa majibu yanayoongeza zaidi maswali kuliko...
4 Reactions
22 Replies
4K Views
Tanzania na Kenya zinajitenga na Afrika? Ufa waibuka Bonde la Ufa na kuongeza uwezekano Afrika kugawanyika Kuibuka kwa ufa mkubwa katika eneo la Suswa katika Bonde la Ufa kusini magharibi mwa...
1 Reactions
27 Replies
8K Views
Imesemekana kuwa kuna mwanamke mmoja amekamatwa ambaye anajihusisha na masuala ya madawa ya kulevya, kakamatwa ila ni baada ya msaada wa Barack Obama ambaye aliiambia nchi yetu kuwa kuna mwanamke...
2 Reactions
54 Replies
21K Views
China ni miongoni mwa mataifa yenye teknolojia ya hali ya juu ulimwenguni lakini wamekuwa na USIRI mkubwa na kuthibitisha hili China hawakuwa nyuma katika mageuzi ya teknolojia ya uchunguzi wa...
4 Reactions
3 Replies
3K Views
Rais Magufuli alipokuwa anafungua kiwanda mjini Morogoro alipata nafasi ya pia ya kumpokea Mwanamuziki maarufu mjini hapo Afande Sele kutoka chama cha ACT na kujiunga na CCM. Lakini wakati Afande...
5 Reactions
100 Replies
16K Views
Mimea sita yenye sifa za kushangaza zaidi duniani Duniani huwa kuna mimea ya aina nyingi, lakini kunayo baadhi ambayo inashangaza kwa sifa zake za kipekee. Hapa, tutaangazia sita kati ya mimea...
18 Reactions
35 Replies
10K Views
Laiti kama ungefahamu hisia ya sita inanguvu kubwa katika mwili wako kukuwezesha kufanya mambo makubwa hata mashetani yakakuogopa. Unaweza kumshawishi mtu kitu bila kuongea naye chochote kwa...
1 Reactions
33 Replies
10K Views
Lengo langu ni kumjibu chipa GM na kumfafanulia kidogo kuhusu uzi wake aliodai ni Utoto mtandaoni. Kwanza nataka ujue kuwa, lisemwalo lipo, Kama halipo linakuja. Wewe humjui vizuri Mr...
26 Reactions
287 Replies
28K Views
Balozi Job Masima ameanza kazi rasmi ya kuiwakilisha Tanzania nchini Israel akiwa balozi wa kwanza nchini humo tangu Tanzania (wakati huo ikiitwa Tanganyika) ivunje uhusiano wake na taIfa hilo...
20 Reactions
200 Replies
35K Views
Habari za majukumu wakuu, nimeona tujuzane mawili matatu juu ya mwanasayansi huyu Victor Frankeistein ambaye kwangu ktk kumsoma nimeona ni moja kati ya wanasayansi walio very UNDERRATED sana...
7 Reactions
22 Replies
40K Views
Wakuu, Salaam! Mara kadhaa nimesikia watu mbalimbali hasa watu wa dini wakizungumzia kuhusu ulimwengu unaoitwa wa roho! Sijaelewa hasa nini maana ya kitu hiki. Kwamba kuna ulimwengu mwingine nje...
3 Reactions
27 Replies
21K Views
<iframe width="420" height="315" src="http://www.youtube.com/embed/0UP1OU9uQ2k" frameborder="0" allowfullscreen></iframe> are we alone? probably not, what do you think?
3 Reactions
29 Replies
7K Views
Baada ya dunia kushuhudia anguko LA mfumo wa kijamaa baada ya vita baridi, sasa ni wakati wa kuona anguko lingine LA mfumo wa kidemokrasia wa vyama vingi. Baba wa demokrasia hii, US...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Miaka 50 ya Uhuru: Tunahitaji mfumo mpya wa kijasusi Godfrey Dilunga TAKRIBAN miaka 17 iliyopita, Januari...
19 Reactions
125 Replies
30K Views
“When an old man dies, a library burns to the ground.” – African proverb In the wake of more than 50 holistic doctors dying in questionable circumstances few years ago, Dr. Sebi — known as the...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Imefika wakati wa kupima ubora wa elimu yetu kwa kuangalia idadi ya watu wanaokutwa na hatia na kwenda jela. Idadi ya wafungwa na magereza yanatosha kutuonyesha tuna ubora wa elimu kiasi gani...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Miaka kadhaa nyuma baada ya Kenya kupeleka majeshi somalia kupambana na Al shabaab ili kuisaidia serikali iliyokuwa imeelemewa na mzigo huo ndio Al shabaab wakaanza kuingia ndani ya Kenya kufanya...
22 Reactions
73 Replies
12K Views
Wapendwa naomba kujua ni kweli fisi anajinsia mbili (jinsia ya kiume na ya kike). Ndugu zangu habari zenu Si kweli kuwa fisi ana jinsia mbili isipokuwa fisi tuliyemzoea aitwae spotted hyena...
0 Reactions
14 Replies
24K Views
Salute comrades, Wakuu napenda sana kufuatilia Dunia na maisha ya wanadamu ilipotoka, ilipo na inapoelekea (Past,present & Future events) Sasa katika soma soma yangu kwenye vyanzo mbali mbali...
3 Reactions
36 Replies
5K Views
Habari za muda wanaJamvi Nyanja ya usafiri imekuwa ikikumbwa na kasumba mbalimbali ulimwenguni kutokana na hali za uchumi za watumiaji lakini pia ongezeko la watu ambalo huongeza uhitaji wa...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom