Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Hbr za mida Wakuu, Hivi kuna sababu zipi zilizopelekea kushindwa kwa India katika vita ya 1962.Kwa sababu ya Mpaka kati ya China na India, Japo mgogoro bado Upo chini chini, mwenye sababu...
1 Reactions
78 Replies
10K Views
Iodine ni madini yanayozalishwa baharini na kumwagwa nchi kavu ambako yanaingia chini kwenye miamba, hivyo upatikanaji wake unategemea zaidi aina ya udongo na vyakula vya baharini. Kutokana na...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Asubuhi moja ya Januari 15, 1947, mama mmoja akiwa na mwanae katika misele ya hapa na pale jijini Los Angeles alikutana uso kwa uso na mwili wa binadamu ambao ulikua umetenganishwa katika sehemu...
1 Reactions
49 Replies
8K Views
Salaam Wakuu! Naleta kwenu hii hoja, yamkini wapo wengi wanajiuliza swali kama hili. Kiukweli sina jibu, ila nimeleta huku kuna watu watasaidia kulifumbua hili. Jambo la kujiuliza je Kuna watu...
1 Reactions
23 Replies
5K Views
Niseme ukweli nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa mada mbalimbali katika jukwaa hili na nikatamani nami kuleta bandiko moja ila kutokana na ratiba kuingiliana muda ukawa hautoshi. Kuna maneno nimekosa...
59 Reactions
118 Replies
16K Views
JUZI TAREHE 14/06/2011ASKARI WA ESALAMA BARABARANI "Traffik" wakiwa hawakuvaa sare zaowaliingia kijiji cha Murunyinya (Nyakiziba) wilayani Ngara "eti kukamata pikipiki zisizohalali nyumba kwa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ni aghalabu sana kiongoz wa kiimani kuruhusu waumini na wasio waumini kuuliza maswali baada ya mada. Pengine utamaduni wa kuuliza maswali magumu ungekuwa ni Lazima, tusingeshuhudia utitiri wa...
6 Reactions
368 Replies
52K Views
Musa, Yesu, Paulo wote Ni watu mashuhuri katika Dunia ya leo, hata Muhamadi aliwatambua Musa na Yesu, Biblia na Kurani Ni vitabu mashuhuri pengine kuliko vyote dunia hii ya leo, viini vyake ni...
4 Reactions
146 Replies
12K Views
Wadau niko njiandaa kuandika historia ya komandoo wa kitanzania aliye kuwa akitwa Tarimo, kijana huyu alipata mafunzo yake kule Cuba, na baadae kurejea nyumbani Tanzania. Je kuna mtu awaye yeyote...
4 Reactions
201 Replies
67K Views
(mode hii ni ya ki intelijensia zaidi, usiihamishe plse) Usiku Yesu alipokamatwa alifikishwa mbele ya wafuatao kwa mashtaka, Caiaphas - Kuhani mkuu (na aliye agiza yesu akamatwe na pia ndiye...
28 Reactions
194 Replies
27K Views
Sababu hasa za kuwindwa, kungolewa madarakani na hatimae kuuawa kwa Muammar Gaddafi zawekwa wazi kupitia mtandao wa Wikileaks
7 Reactions
54 Replies
11K Views
1. Linguistic intelligence reflects the ability to read, write, tell stories, and learn languages, grammar, and syntax. Strengthen this ability by studying a new language, improving vocabulary...
5 Reactions
51 Replies
15K Views
Wakuu natumai mko wazima wa afya! Leo nimeleta mada hii ili tuweze kujua historia ya hii jamii ya maninja. Maninja ni moja ya jamii zilizokuwa hatari sana miaka hiyo... Sasa wakuu aka GREAT...
1 Reactions
39 Replies
11K Views
TURUDI MOJA KWA MOJA KWENYE MADA ILIYONIRUDIA TENA HAPA JUKWAANI Baada ya kuona watu wengi sana waJF wakiwa interested na masuala ya kijeshi nimeamua kuvutika kwa wote katika mada hii nzuri...
25 Reactions
113 Replies
29K Views
Generation au Kizazi inawezekana haujui lakini kisayansi, kisiasa, kijamii, kidini, kibiashara na kiutafiti kina maana kubwa sana kwani ndio huamua kwenye kizazi husika nini wanataka kwa kuangalia...
4 Reactions
30 Replies
5K Views
12 Apr 2018On this night, we pay tribute to the founding fathers of the Somali Studies Dr. Hussein Adam 'Tanzania' and Said Sheikh Samatar. Kayd is proud to bring together some of the leading...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Inakadiriwa kuwa mnyama huyo huishi kwa kipindi cha miaka 20 akiwa katika pori. Lakini hiyo ilikuwa inafahamika zamani kipindi ambacho mnyama huyo alikuwa anaonekana tofauti na sasa. 1:KUNA...
10 Reactions
18 Replies
20K Views
Pope Francis does it again! Huyu Papa huyu...hahahaaa. Kiranga make your way here. Pay attention to the bolded text at the bottom. A tearful little boy grappling with big existential questions...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Todate in the circle of powers and Zambaa intelligence , its is believed that’s Michael Sata demise was an inside job to cover up intelligence failure to stop him from ascending to power ...
2 Reactions
46 Replies
8K Views
jamani naomba kupata mawazo yenu kwa pamoja tukae tufikiri kitu ambacho ni cha kawaida sana lakini hatukifahamu undani wake,wakati ni kitu gani? what is time? tujaribu kutoa michango ya hisia...
5 Reactions
45 Replies
9K Views
Back
Top Bottom