Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

ILIKUWA Oktoba 10, 1465 - siku ya harusi iliyotarajiwa kuwa ya kufana sana ya Mfalme Alfonso II wa Naples. Alipanga kufunga ndoa ya kisasa na Ippolita Maria Sforza, mwanamke kutoka Milan, katika...
9 Reactions
2 Replies
3K Views
Wana ukumbi, Naomba awali ya yote nisionekane kama ni mtu ambae nimekuja kwa choko choko ama ni mtu mwenye mtazamo wa ubaguz.,la hasha nimekutwa na hili wazo na naomba nilete kwenu tulijadili...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Kati ya vitu ambavyo mpka leo vinanipa shida ni kushindwa kujua ni mechanism gani iko ndani ya risasi (bullet) kiasi cha kuua kwa kasi, kwa sababu kuna vitu mfano kisu ni kikubwa kinaweza kukita...
15 Reactions
111 Replies
32K Views
Coca-Cola ni moja ya kampuni maarufu duniani, ambayo hutengenezwa soda maarufu ya Coke na vinywaji vingine vya soda. Lakini, ilikuwaje hadi ikawa na jina hilo? Labda umewahi kusikia kwamba...
7 Reactions
17 Replies
10K Views
Bila kwenda mbali jambo hili nalipeleka moja kwa moja kwenye mifumo ya ulinzi ya dunia hasa angahewa(atmosphere). Angahewa ni kama blanket ambalo limeizunguka dunia huku likiwa na hewa...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Kwa vile Balali alipelekwa kwenye matibabu huko Marekani, matibabu ambayo yalisababisha alazwe kwa muda mrefu; Kwa vile hali yake haikuwa nzuri na iliendelea kuwa mbaya hadi kumlazimisha...
0 Reactions
171 Replies
27K Views
Mnamo mwaka 1998 Jan Koum [Kulia kwenye picha ] alikutana kwa mara ya kwanza kabisa na Brian Acton [ Kushoto ] wote wakiwa wafanyakazi katika shirika la Yahoo. Walifanya kazi hapo kwa miaka 9...
14 Reactions
20 Replies
4K Views
Habari WanaJF, Siku chache zilizopita niliota nimepigwa risasi,na hakika nikaiona mauti, na hata nilipoamka baada ya ndoto, nilikuwa nikiyajua maumivu ya mauti yalivyo. Suala hili...
0 Reactions
40 Replies
11K Views
Awali ya yote niwatakieni heri ya chrismas na mwaka mpya. Ndugu wanaJF kuna mada huwa naiona lakini nmeshindwa kabisa kuielewa, kama wengi tunavyofahamu kani ya uvutano ndio huvivuta vitu vyote...
1 Reactions
44 Replies
4K Views
Serikali na mamlaka zake inadai inaendelea kupambana na vitendo vya kuchakachua mafuta ya dizeli na petroli, lakini ufuatiliaji niliofanya unaashiria kuwa baadhi ya watendaji ndani ya serikali na...
2 Reactions
39 Replies
7K Views
Madai ya Waisraeli yanaanzia katika misingi ya kidini ambapo katika Biblia (kitabu kitakatifu wa Wakristu na Wayahudi), Kitabu cha Kwanza cha Nabii Musa kiitwacho Mwanzo (sura ya 12), kinaonesha...
10 Reactions
238 Replies
36K Views
Natumaiii m wazima wote humu Leo tulichungize kidogo Bomu ya Hiroshima Bomu lilolipua miji Japan hadi leo limeleta athari Baada ya kulipuka cheche za bomu zilisambaa zaidi km 900 yaani kama...
10 Reactions
37 Replies
10K Views
Habari wana JF Kuna story nyingi mtaani kwetu kuwa banking soda au chapa maandashi inaweza kupambana na ( UTI ) kifupi ni kwamba UTI ni ugonjwa wa njia ya mkojo unaosababishwa na bacteria anaeenda...
6 Reactions
21 Replies
5K Views
Natumai mko poa wakuu. Leo tunaendelea tena na kufahamishana juu ya madude yaliyo ktk mfumo wetu wa jua, hebu tuiangalie sayari ya Mars kwa undani zaidi. 1. Sayari ya Mars ni ya nne (4)...
13 Reactions
93 Replies
26K Views
Vitabu vitakatifu, Quran na Biblia vyote vinasema Mungu wakati wa mwanzo wa uumbaji wake, aliumba mbingu na nchi (dunia). Kuna jambo moja linalonisumbua kwa muda mrefu ambalo ningependa wajuzi wa...
2 Reactions
25 Replies
6K Views
Nimefatilia thread nyingi hapa mjengoni na hili linahusu ishu ya DNA kuna baadhi ya nyuzi zili zungumzia upelelezi kwa wahusika wa matukio mbali mbali na kukamatwa kwa njia ya kupima vinasaba...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Huwa wakuu wote wa nchi wanapoenda nchi zingine kwa ziara rasmi wanapewa ceremonial aide de camp na host country ,nimefuatilia ziara ya jana sioni aide de camp wa TPDF nyuma ya PK as practiced.je...
1 Reactions
109 Replies
19K Views
Katika hali ya kushangaza, mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Ali, mkazi wa Mwananyamala jijini Dar, amekamatwa na polisi baada ya kudaiwa kuunganisha visivyo halali, mitambo ambayo iliwawezesha...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
ASUBUHI NA MAPEMA KWA MTAALAMU WA KUREMBA NA KUTENGENEZA SURA. Ni tarehe 6 mwezi August mwaka 2009 jamaa wawili wanaingia saluni kwa mtaalamu wa make up. Ni wachangamfu hawana wasiwasi. Mmoja ni...
17 Reactions
30 Replies
6K Views
Back
Top Bottom