Sabalkheri wanaJamii Forums!
Ni Jumapili tulivu kabisa iliyo na Neema kwetu binadamu, kama una siha njema ni Jambo la kumshukuru Mungu.Poleni na Ibada na pia poleni ndugu zangu wa Madhehebu ya...
Toka nikiwa mdogo huwa najiuliza swali hili je chanzo cha mmea mhindi ni nini? Na kwanini binadamu Tunapenda sana kuutumia yaani hata ukibadilisha chakula lazima utarudi tu kwenye ugali. Natamani...
Bunduki fupi, nene, nyeusi kutoka Israeli iliyokuwa ikitumiwa na kikosi cha usalama cha rais wa Marekani cha ‘Secret Service’ kabla ya bunduki ya Kibelgiji ya FNP90 yenye uwezo wa kutoboa kinga ya...
Free-Will ,does it really make sense ?
How can there be Free Will if God has already decided in advance who gets hell and who gets heaven with no regard for actual conduct throughout their life...
Kuna hili swala la kusema Mungu kashatupangia kesho yetu ipoje pia anajua wewe utafanya nini kesho kwa mantiki hiyo, Mungu ni muweza wa yote hata sisi atheist kashapanga tusikubali uwepo wake kama...
USHUHUDA WA THEOFLIDA WA YESU : NILIMLISHA MUME WA MTU, LIMBWATA LA NYAMA YA BUNDI.
Nawasalimu wa jina la YESU, jina kuu kupita majina yote. Jina langu ninaitwa Theoflida...
Last week, President John Magufuli was again an unhappy man with companies who do not pay their taxes.
He made it very clear that the time has come to really toughen up and crackdown on tax...
Naomba kujua kuna watumishi waliondolewa kwenye utumishi ili kupisha zoezi la uhakiki baada ya hilo zoezi kukamilika walilejeshwa sasa imetoka orodha ya watumishi waliohakikiwa ya kila mkoa je na...
Nchi inaporomoka tena kwa kasi, kasi ya ajabu. Imeshaporomoka katika Elimu, Afya,, Kilimo, Ukusanyaji kodi, matumizi ya fedha iliyopo, na mengine mengi.
Hili la uraia ndo litaimaliza nchi yangu...
Wakuu salaam sana. Nimekuwa nikjuliza bila majibu. Huwa Viongozi wanapigiwa mizinga 21 kwa mujibu itifaki. Sasa je, kwa nini ni mizinga 21 na siyo 22 au 20? Naomba mwenye kufaham anijuze
Habari za mchana wanajamvi, kuna jambo naliona na kulifananisha na wizi ambao tunafanyiwa waajiriwa huku waajiri na ma bank wakishilikiana kutuibia, kwa mfano si taasisi binafsi au serikalini...
Habari zenu wana jamvi,
Nimefikiri namna kompyuta inavyofanya kazi, hasa CPU. Kwa ujuzi wangu mdogo nimeona kuna uwezekano CPU ikaonyesha utofauti fulani kuashiria imetumika sana(imefanya kazi...
Madiwani nchini sweden wametaka serikali itoe muda wa saa moja tuu kila mwezi kwa ajili ya kufanya ngono, wakifafanua madiwani hao wamesema kuna wakati watu wanakuwa na stress sana hivyo kufanya...
Kuanzia mwaka 1968 mpaka mwanzoni ya miaka ya 70 taifa kubwa la Marekani lilikubwa na mtu mmoja hatari sana,si mwingine bali ni muuaji tambulishi(serial killer) ambaye yeye kama yeye alipendelea...
Wale wenye imani ya dini ya wakristo naomba mnisaidie vitabu vya dini vinatuambia yesu alikufa December ndo maana wakapanga maadhimisho ya kufa kwake.
Baada ya siku tatu alifufuka na kurejea...
I hope these videos will help warn people in Africa about the dangerous LGBT radical agenda. What's happened in the USA is very sad. I hope Africa can avoid this.
Powerful videos from...
Habari za Leo wanajamvi
Katika maisha kuna vipindi mbalimbali ambavyo mtu anaweza kupitia
Ila kuna kipindi hiki ambacho ni "No option" hiki ni kipindi ambacho unavitu vingi sana kichwani ambavyo...
Habarini!
Moja ya mambo ambayo ni telezi basi bila Shaka ni asili ya binadamu. Zipo nadharia nyingi kama mchanga wa bahari zinazoelezea asili ya kiumbe huyu ambaye ni mtawala wa hii dunia.
Moja...
Message showing the infected computer.
Several countries in the world have been hit by a ‘cyber attack’ throwing hospitals and several organisations IT systems into chaos...