Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Tuifahamu time travel ninini kwanza (si lazima iwe sawa na ile unaifahamu wewe) .... Ni sawa na kurudisha muda nyuma na kuleta uhalisia wa jambo lililipita ulifanye tena ama kupeleka muda mbele na...
28 Reactions
252 Replies
26K Views
Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI". kitabu kina kurasa 442 na ndani yake kuna makala 17. Bei ya kitabu hiki ni Tsh 50,000/- Pia waweza kupata...
79 Reactions
1K Replies
351K Views
MAMBO YA KUFIKRIKA YALIYOPO DUNIANI NI YAPI? Kuna mambo mengi sana ya kufikirika yameundwa na kupewa uhai ambayo yanaleta ugomvi mwingi kwa watu hapa duniani. Katika masomo yangu haya...
9 Reactions
23 Replies
934 Views
Kwanza kabisa nawasalimia. Leo napenda kuongelea makundi haya mawili duniani. Dini na Sayansi. Kumekuwa na mjadala mkubwa mno duniani kuhusu haya makundi. Kwanza kabisa kabla ya kuendelea...
3 Reactions
138 Replies
10K Views
Nawasalimia wote JF. Nimeamua kuandika jumbe mbalimbali kwa lengo la kufundisha na kuwafumbua macho waliotayari. Leo hii nitaongelea suala la huyu anayeitwa shetani. Imetokea kuogopwa sana na...
20 Reactions
62 Replies
7K Views
I appreciate all of you reading this. Katika karne hii ya maendeleo ya kisayansi na kiteknolojia, wazo la kuwa jamii yenye uwezo wa kusafiri angani limekuwa suala lenye umuhimu mkubwa. Licha ya...
2 Reactions
2 Replies
602 Views
Jina la Rothschild linahusishwa na utajiri mkubwa kwa zaidi ya miaka 200, Familia ya Rothschild ndiyo familia yenye nguvu zaidi na yenye utajiri mkubwa kabisa, Inasemekana utajiri wao unathamani...
15 Reactions
148 Replies
29K Views
KUNDALINI "Ni Mfumo wa Mazoezi ya Asili na ya kiroho, mazoezi haya hujumuika kama njia ya kuongeza nishati iitwayo KUNDALINI Wakati wa kufanya mazoezi haya unahitajika kufuata Mlolongo mkali...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Wadau wa fikra, Nafahamu kuwa muongozo wa Jukwaa hili unatutaka tuweke serious reports & discussions on Corruption, Politics na etc kwa ajili ya mijadala yakinifu. Tofauti na Jukwaa la Dini...
27 Reactions
173 Replies
30K Views
Ningependa kujua, je, inawezekana kuwa Rais wa nchi wakati wewe si Raia wa nchi hiyo? Pia ningependa kufahamu, Mungu ni wa dini gani? Je, ni Muislamu au Mkristo? Kwa nini Masheikh na Wachungaji...
8 Reactions
235 Replies
3K Views
Habari za wakati huu wataalam.. Hii ndiyo hesabu kamili ya jina la "JESUS" na jawabu lake ambalo huwa '666' katika numerology. Kumbuka 666 ina idadi au thamani ya namba 9 ambapo 6+6+6 = 18...
11 Reactions
174 Replies
4K Views
Ni uongo gani uliwahi kufanikiwa kukamata akili yako au maisha yako kwa muda mrefu. Mimi binafsi 1. Shule Nilienda kutafuta majibu ya maswali amabayo sikuwa nayo. Kumbe kusoma koote kule ilikuwa...
14 Reactions
90 Replies
7K Views
MwanaJF, Je, umeshawahi kusikia visa na mikasa ya watu wanaotafuta rupia maarufu kama pesa au hazina ya Mjerumani? Binafsi nimekuwa nikisikia kuna watu huwa wanakwenda mahala ambapo wamepewa...
24 Reactions
852 Replies
351K Views
Kwa watu wengi maingiliano ya kwanza wanayoanza kutambua ni kurudia nambari kama 111 au kuona 11:11 kwenye saa kila mara. ⠀ ⠀ Tukio lingine la kawaida ni kuhisi hisia sawa na dejavu wakati...
9 Reactions
53 Replies
8K Views
Maisha ni hatua iliyojaa Mafumbo Mazito na yenye ukweli wa kuweza Kuaminiwa Badae. Yapo Makanisa Mengi ila Kanisa Katoliki duh huwezi Ukalikimbia popote,Utajishebedua tu kumbe wew ni Mkatoliki...
1 Reactions
22 Replies
5K Views
The Imafidons are a Nigerian family of 7 living in England. Their father is Chris Imafidon and their mother is Ann Imafidon. Both parents are from Edo state who emigrated to England more than 30...
2 Reactions
1 Replies
815 Views
Salaam, shalom!! ( Isaya 6:1-10), Mwanzo 1:26-28). (Matendo 9:4) Maandiko ya atwambia Mbingu na Dunia zimejaa utukufu wa Mungu, hii inamaanisha Mungu yupo everywhere. Hapo hapo maandiko...
14 Reactions
493 Replies
11K Views
Waafrika wa leo wamekuwa dhaifu kiasi cha kushukuru na kuthamini viumbe wa mawinguni, ambao hawajawahi hata kuwaona, bali wamesikia tu kupitia watu wengine. Wengi wa watu hao ni wakoloni, wazungu...
1 Reactions
2 Replies
291 Views
Kulingana na evolution inasemekana kulikuwepo na jamii(species) zaidi ya tisa za binadamu ambapo kufikia miaka elfu arobaini iliyopita nane zilitoweka kwa sababu mbalimbali na hatimaye ikabaki...
3 Reactions
13 Replies
565 Views
Kabla ya kuzuka kwa teknolojia hizi mpya, wanadamu walikuwa wakipiga hatua kwa kasi. Sasa ni zamu ya teknolojia kuendelea kwa kasi pia. Kwa nini? Hii ni kwa sababu ni asili ya viumbe wenye akili...
2 Reactions
3 Replies
478 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…