Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Hiyo ndiyo profile yake ya kwenye mtandao wa X zamani Twitter pia ana akounti Telegram. Mimi ni mfuasi wa makala zake. Kwa nia njema tu najiuliza huyu gwiji yuko smart sana katika kuleta taarifa...
21 Reactions
115 Replies
9K Views
Acheni kuwa wapumbavu. Acheni kusingizia Mungu. Acheni kuwa wajinga! Acheni kujificha katika kivuli cha Mungu, acheni kudanganinyika na neno Mungu. Tatueni matatizo yenu, ondoeni uovu. Hakuna...
2 Reactions
2 Replies
345 Views
Habari za jioni wana JF mada ya leo pia ni sensitive kidogo maana inagusa imani za watu ila kutokana na kuwepo hitaji la kuweka rekodi sawa nimeona nilete uzi huu ili tujifunze zaidi Na sababu...
63 Reactions
507 Replies
132K Views
Binafsi, nimekuwa nikijiuliza, Mfano uvamizi ule wa Idd Amin Tanzania ungeisha kwa Idd Amin kuvishinda vikosi vya Tanzania, hali ingekuwaje? Leo 2024, tungekuwa na nchi ya Namna gani kisiasa...
2 Reactions
26 Replies
1K Views
Tanzania is slowly turning into a brutal Police state right in front of our own very eyes, yet we are doing nothing about it. Police brutality is slowly reaching unbearable limits as witnessed by...
13 Reactions
595 Replies
133K Views
Wakuu, Kutokana na maandiko(Quran na Biblia) Turejee kilichotokea pale Eden Kwa binadamu WA kwanza ADAM na HAWA. Baada ya ushawishi wa SHETANI, Adam na HAWA wanaamua kula tunda la mti wa kati...
30 Reactions
102 Replies
3K Views
Habari za jioni wakubwa zangu? Mimi nimiongoni mwa watu wanao amini kwamba dunia haikutokea yenyewe" Nina kataa. .Isipo kuwa Nina amini Kuna Kiumbe/viumbe/mungu/miungu wenye hakili kuliko sisi...
24 Reactions
77 Replies
3K Views
Habari wana JF. Leo nimeona nikusogezee huu uzi utakusaidia kwa namna moja ama nyingine. Watu wengi hivi leo wamekuwa wakidharaulika sana, kuumizwa sana, wengine kupotezwa kabisa kwenye gemu...
36 Reactions
34 Replies
2K Views
Huwa najiuliza kabla Wakoloni kwa maana ya Wazungu na Waarabu kutuletea dini wakitumia wafanyabiashara, wamishenari na wapelelezi, (traders, missionaries and explorers), wazee wetu huku Afrika...
11 Reactions
72 Replies
2K Views
Chagua tarehe yako ya kuzaliwa kutoka 1 hadi 31 Nambari ambayo ni ya kwanza katika tarehe yako ya kuzaliwa inaashiria msingi, msingi wa kiakili wa utu na inaweza kutuambia kuhusu kile mtu hutoka...
3 Reactions
11 Replies
8K Views
ELIMU YA UUAMBAJI BINADAMU BILA KUJAMIIANA (CLONING) Mchakato wa uumbaji wa binadamu bila kujaamiana (Cloning) ulianza mwaka 1938 na wanajeshi wa Nazi chini ya kamanda Hitler. Ian Wilmut muasisi...
8 Reactions
37 Replies
3K Views
Habari wakuu wana jamii forums[emoji112].. Moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu napenda kuzungumzia suala la mabishano ya kidini baina ya waumini wa dini mbalimbali hasa dini kuu mbili zenye...
16 Reactions
116 Replies
5K Views
Nimeona kushea na watu hii story ni jambo la muhimu. Kama wewe ni muumini wa dini yoyote tafadhali usisome hapa acha, usije ukabadili fikra za misimamo yako na utafunguka macho kisha utaanza...
24 Reactions
114 Replies
18K Views
Siku moja Nyani waliposikia kwamba mtu aliyekuwa akiwafukuza kwenye shamba la mahindi amefariki, walisherehekea kwa furaha kubwa na Shangwe wakijipongeza na kuamini hakuna tena atakae weza...
3 Reactions
3 Replies
406 Views
1.Nataka Nisaidiwe Kuamsha/Kuzindua Kundalini Gharama Shilingi NGAPI? 🗣️JIBU;- Kuamsha Kundalini Hakuna Atakae kusaidia Si mchawi wala mganga Wala mtabiri Wa Nyota, Hakuna Dawa wala Pete ya kuvaa...
15 Reactions
28 Replies
3K Views
Eti wakuu. Ebu mnieleweshe kidogo kuhusu hili. Mfano : Mtu anapotaka kujenga nyumba, lazima kuna kuwa na ramani ya nyumba aliyo iona mahali labda akavutiwa nayo na yeye akaenda kujenga ki...
11 Reactions
233 Replies
5K Views
Habari za kuona siku hii Tena mpya, niwasalimu kwa pendo la dhati kabisa. Nini hasa HATIMA ya Kila kitu Ukiwa hapa ulimwenguni,ukianza kupata majawabu ya haya Maswali yako utaanza kufunguka...
4 Reactions
3 Replies
423 Views
Niliandika mwanzoni mwa mwaka huu kusema "Changamoto za kijamii kwenye jamii yetu zinahitaji wanamageuzi kuliko mageuzi yenyewe", ambapo nilitafakari nanyi pamoja na mambo mengine, mchango wa...
2 Reactions
3 Replies
247 Views
Nikusalimu ndugu yangu Katika utu na uzima wetu, "hakuna mfano nyuma ya mfano nyuma ya mfano Kuna Imani" --------- Nimekuja kugundua jambo moja kubwa tu ambalo kama kundi kubwa tukilielewa basi...
13 Reactions
33 Replies
2K Views
Ndugu zangu wana JF Leo nimeamua kuanza kutoa masomo ya mythology. Iwe kweli au siyo kweli lakini tupate kutambua namna wengine wanavyo iendesha dunia hii. Leo nitaongelea malaika mtoa roho...
7 Reactions
61 Replies
9K Views
Back
Top Bottom