Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

OPERATION WET-I-E COUNTER-COUP; MAPINDUZI PEKEE AFRIKA YALIYO JIRATIBU YENYEWE, YAKAPINDUA NAYO YAKAPINDULIWA KISHA YAKAIGEUZA NIGERIA KUWA UWANJA WA MAPINDUZI. Na. Comred Mbwana Allyamtu...
11 Reactions
22 Replies
5K Views
Wakuu habari zenu.......... Bila shaka wengi wetu tumekuwa tukisikia kuhusu bermuda triangle sehemu ambayo inapatikana bahari ya atlantic na huwa tunasikia kwamba meli yoyote ikipita eneo hilo...
4 Reactions
44 Replies
2K Views
Hizi ni Himizo za mwisho na salamu kwa watu wote. Kwa watanzania, watu wote,viumbe vyote,walio hai na walio pumzika,Ipo kwenu na iwazi sasa,(waebrania12;3), [webrania13;22-25].[/B] Mimi mlango...
4 Reactions
21 Replies
6K Views
Bila-shaka hakuna swali lisilo na jibu japokuwa kila jibu litolewalo si lazima liwe sahihi. Waulize swali moja wanafunzi wa chekeachea, shule ya msingi, sekondari na vyuo kwa nini unasoma shule...
11 Reactions
233 Replies
41K Views
Nina hoja ningependekeza kuileta mbele yenu wanajamvi.. Kama kichwa na habari kinavyojieleza "Mungu sio mwema" Je ni kwanini ninasema haya. Zingatia hili, katika mafundisho yote ya kiimani...
6 Reactions
75 Replies
2K Views
Habari zenu waungwana, binafsi nimekua na maswali ambayo kila nikifikiria majibu yake yamekua hadimu sana kuyapata. Najaribu tu kufikiri kweli mwenyezi mungu anaweza akamuumba binadamu then aje...
13 Reactions
65 Replies
3K Views
Leo nimekaa nimetafakari sana bila kupata jibu, Samahani kwa Tafakuri yangu kama nitaudhi imani za watu wengine basi naombeni mnisamehe sana. "Waungwana mbona Wazungu wao wanahistoria nzuri sana...
9 Reactions
52 Replies
3K Views
Hapo mwanzo mungu alikuwa neno, kila aliyetoa neno kutoka kwenye kinywa chake alijitahidi kuliheshimu bila kujali ni jema au baya. Mtu noble alikuwa akizungumza neno ni lazima ahakikishe...
9 Reactions
117 Replies
2K Views
Jana nikiwa kazini nikawaza 'Nina siku sijaenda kumsalimia bibi, sijui lini niende' Duh aisee nikakumbuka alishafariki mwaka huu miezi yamwanzoni kabisa. Bibi yangu alinipenda sana nayeye ndie...
7 Reactions
28 Replies
5K Views
Hii ni hadithi ambayo ilikuwa ni fumbo ambalo mpaka leo hii Plato hatasahauliwa kwa kuweza kutumia ufahamu wake kuelezea uhalisia wa maisha na ufahamu wa mwanadamu ulivyo kwa ujumla. Ni mfano...
19 Reactions
80 Replies
22K Views
TWIME TUBITE Napenda kuufahamisha umaa na mhariri mkuu kwamba mjadala huu ulifaa uwe kwenye technology,Lakini mantiki yake inafaa kujadiliwa na kusomwa na watu wenye maulizo yasiyo ya kawaida...
14 Reactions
49 Replies
3K Views
Utangulizi Tokea 9/11 vyombo vya usalama wa taifa vimekua vikijihusisha zaidi na masuala ya ulinzi wa mipaka na kutafuta na kuzuia ugaidi. Vyombo vya usalama vya nchi nyingi vimefanya marekebisho...
2 Reactions
22 Replies
14K Views
Kwa nini Siku ya Mwezi? July 20 Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa siku ya kimataifa ya mwezi huadhimisha kumbukumbu ya kutua kwa mara ya kwanza kwa wanadamu kwenye mwezi kama sehemu ya operesheni ya...
1 Reactions
3 Replies
406 Views
Unaweza kufikiria mtu mmoja aliwezaje kufichua siri kubwa za kijasusi za serikali yenye nguvu zaidi duniani? Huyu ni Edward Snowden alithubutu na aliweka maisha yake rehani ili kufichua mpango...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
TUJUZANE: MFAHAMU Eli Cohen JASUSI HODARI WA ISRAELI NCHINI SYRIA Na Mgeni wa Jiji Eli Cohen ni jina lenye heshima ndani ya shirika la kijasusi Israel 'MOSSAD'. Uzalendo, kipaji na uwezo mkubwa...
14 Reactions
26 Replies
10K Views
Ufalme wa giza na ufalme nuru ni falme mbili ambazo mwanadamu akitaka kuingia na kufanya kazi katika moja ya hizi falme ni lazima awe na uwezo wa kuingia Ulimwengu wa Roho. Ulimwengu wa roho...
11 Reactions
30 Replies
5K Views
Wanabodi, Huu ni muendelezo makala zangu kuhusu "works of powers", nguvu za kutenda miujiza, "psychic powers!", leo nitajikita zaidi katika nguvu za uponaji "faith healing!". Nitakuwa na maeneo...
18 Reactions
127 Replies
113K Views
Kwanza kabisa nianze kwa salamu Ndugu watanzania mpaka hapa tulipofikia, tayari tunaishi na makundi matatu ndani ya nchi moja licha ya kudai kuwa sisi ni wamoja Kundi la kwanza ni hawa jamaa...
2 Reactions
9 Replies
636 Views
The Richest Man in Africa: Kila utajiri una ukafiri nyuma yake Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI". kitabu kina kurasa 442 na ndani yake...
114 Reactions
822 Replies
226K Views
1. Je mwezi nao huwa una mizunguko miwili Kama Dunia yetu? 2. Kama mwez hauna rotation bas huwa tunauona sehem ya upande mmoja tu, au mim nko wrong?? 3. Kama mwez haujizungush kweny mhimili wake...
3 Reactions
37 Replies
2K Views
Back
Top Bottom