Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Habari za mchana wakuu kama kawaida huwa nakuja na mada za kuchokoza fikra zetu hasa kwenye mambo ya kiimani hivyo mada hizi sio za kukosoa dini fulani au vitabu vya imani ila ni kuhoji tu ili...
23 Reactions
287 Replies
29K Views
Si lengo wala dhamira yangu kupinga wala kupindisha Imani ya mtu yeyote, bali ni wajibu wangu kama binadamu mwenye akili na upeo wa kudadisi, kuchanganua na kuyaelewa mambo mbalimbali katika namna...
35 Reactions
107 Replies
24K Views
Kitabu.Mossad Mwandishi.Michael Bar Zohar & Nissim Mishal Mchambuzi.Nanyaro EJ Dibaji. mwandishi anasema kuwa hiki kitabu ni mchanganyiko wa kazi za kutukuka zilizofanywa na Mossad,nafanikio na...
20 Reactions
116 Replies
59K Views
𝐓𝐚𝐧𝐳𝐚𝐧𝐢𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐠𝐚𝐢𝐝𝐢 𝐲𝐚 𝐀𝐧𝐬𝐚𝐫 𝐚𝐥-𝐬𝐮𝐧𝐧𝐚. - 𝐍𝐣𝐢𝐚 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐛𝐢𝐭𝐢 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐥𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐲𝐚 𝐂𝐚𝐛𝐨 𝐃𝐞𝐥𝐠𝐚𝐝𝐨. - 𝐖𝐚𝐭𝐮 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐨𝐤𝐨𝐭𝐚 𝐦𝐢𝐢𝐥𝐢 𝐧𝐚 𝐯𝐢𝐜𝐡𝐰𝐚 𝐯𝐲𝐚𝐤𝐞 𝐩𝐞𝐦𝐛𝐞𝐧𝐢. 𝐒𝐄𝐇𝐄𝐌𝐔 𝐘𝐀 𝟬𝟭: Tarehe 20 mwezi huu wa tano, waziri...
94 Reactions
344 Replies
27K Views
Hii ni nukuu maarufu inayohusishwa na Albert Einstein, ikimaanisha kwamba elimu ya kweli siyo tu kukariri au kujifunza mambo kihafidhina, bali ni uwezo wa kutumia maarifa, mantiki, na uelewa ambao...
1 Reactions
2 Replies
336 Views
Mwanafunzi wa neuroendocrinologist aitwaye Robert Sapolsky, profesa katika Chuo Kikuu cha Stanford, ni mtu anayeeleza kuwa hakuna Mungu. Wakati wa kupokea tuzo mwaka 2002 kutoka Uhuru wa Kutoka...
11 Reactions
98 Replies
14K Views
Ukweli ni kwamba tokea mwaka 2023 shilingi ya tanzania imeporomoka kutoka 2330 mpaka 2730 kwa dola moja ya marekani ukilinganisha na shilingi ya majirani zetu KENYA ambao shilingi yao inazidi...
5 Reactions
43 Replies
2K Views
Ndugu zangu wanajamvi. Nimekuwa katika utafiti wa mali kale na mambo ya asili kwa muda mrefu. Katika utafiti wangu nimekuja kugundua wajerumani wameficha mali nyingi sana kawenye ardhi ya...
73 Reactions
893 Replies
182K Views
Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI". kitabu kina kurasa 442 na ndani yake kuna makala 17. Bei ya kitabu hiki ni Tsh 50,000/- Pia waweza kupata...
251 Reactions
694 Replies
133K Views
Ninaomba msaada kueleweshwa katika kutaja jina la Suleiman Mungiya Mzee, ambaye kwasasa ndio Kamishna Jenerali wa Magereza, aliyeapishwa na Mh Rais Dr John. P. Magufuli. Kabla ya kiapo alikuwa ni...
5 Reactions
63 Replies
17K Views
Kila siku hapa duniani kuna habari mbaya za kuteseka kwa binadamu fulani kwa magonjwa, vita, njaa, dhuluma, umaskini n.k kwa viwango tofauti, kuanzia viwango vidogo hadi vikubwa kabisa vya kutisha...
15 Reactions
86 Replies
3K Views
Dunia ya sasa inaendeshwa kupitia kanuni za sayansi na teknolojia ambazo zilivumbuliwa na wanasayansi katika karne zilizopita. Kanuni hizi siamini kuwa zinazima ndoto ya uvumbuzi wa kanuni mpya...
13 Reactions
47 Replies
3K Views
Kuna maada mbalimbali zimeanzishwa humu kuhusu Ushaidi wa uwepo wa Mungu, Mimi leo natoa ushahidi wangu wa uwepo wa Mungu kwa kujenga hoja kutokana na Tofauti ya dini. Swali la Musingi ni ‘kwa...
0 Reactions
2 Replies
547 Views
Binadamu ni project au mpango wa viumbe wa sayari ya mbali ambao walimtengeneza binadamu kwa ajili ya kazi yao ambayo ilikuwa ni kufanya kazi katika migodi ya dhahabu. Sayari ya Dunia Ilivyotokea...
17 Reactions
76 Replies
5K Views
Anaandika, Robert Heriel Kuhani. Leo Taikon atajadili sababu zinazopelekea wayahudi wengi kutokumuamini Yesu Kristo Kama Masihi wao na waulimwengu. Andiko hili lijadiliwe Kwa Hoja zisizo na...
24 Reactions
350 Replies
22K Views
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana. Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa...
118 Reactions
2K Replies
52K Views
Imekuwepo mijadala mingi ya aina hii hapa JF,Kwa hiyo lengo la uzi huu ni kujadili hoja zitakazoletwa bila jazba na hivyo kupanua uwezo wa kujenga hoja.kuna makundi makubwa mawili duniani yaani...
10 Reactions
196 Replies
22K Views
Wakuu, Sina kiswahili sahihi cha neno ''enchweke'' ambalo kwa lugha yangu ya kihaya ni hali ya mzimu wa mtu aliyekufa kumwandama mtu aliye hai na kumfanya aongee kile anachokitaka. Mara nyingi...
5 Reactions
47 Replies
9K Views
Wiki mbili hizi naona kuna VITABU vya kijajusi vimezinduliwa au vitaingizwa DUKANI,binafsi napenda kusoma vitabu hivi,ila najiuliza watu hawa wanaotoa vitabu hivi wanauelewa mkubwa juu ya hayo mambo?
9 Reactions
53 Replies
19K Views
Nyakati,wakati au muda vyovyote unavyoweza kuita kuashiria muendelezo wa hatua au matukio yaliyopita ya sasa na yajayo, hivi ushawahi kujiuliza nini maana ya nyakti je ni kuzama na kuchomoza kwa...
0 Reactions
6 Replies
522 Views
Back
Top Bottom