Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Kwanini B-2 Spirit ni ndege vita nzuri sana kwa ndege za kizazi cha 4 ? B-2 Spirit, pia inajulikana kama Stealth Bomber, ni ndege ya hali ya juu na yenye uwezo iliyoundwa kwa ajili ya misheni...
4 Reactions
27 Replies
2K Views
Dunia yetu inakwama kwasababu tunakataa uhalisia ambao umekuwepo tokea kitambo, binadamu hatufanani. Kuna wanadamu ambao huzaliwa wakiwa na akili kubwa kuliko wengine, kimtazamo, kiutendaji na...
27 Reactions
73 Replies
5K Views
Hii ndiyo nadharia inayosemwa inatakiwa kukubaliwa na kila binadamu na ndiyo nadharia inayoitwa na baadhi ya watu kuwa ni kamilifu na timilifu. Kuwa hakuna ajue wewe binadamu umetokea wapi na kwa...
37 Reactions
722 Replies
27K Views
Fahamu kipande Kidogo cha nyama ya mwili wako chenye thamani zaidi duniani. Kipande kidogo cha nyama hiki ndicho rasilimali yenye thamani zaidi duniani. Ubongo, na haswa, ubongo wa binadamu, ndio...
4 Reactions
45 Replies
11K Views
Miongoni mwa wafalme waliokuwa na nguvu sana kipindi hicho alikuwa mfalme Daudi. Nguvu kubwa na alikuwa mzee wa totozi sana lakini pamoja na hayo mungu alimpenda sana, kwa sababu gani? Ni kwa...
1 Reactions
2 Replies
516 Views
Salaam, Shalom!! Imeandikwa katika siku za mwisho, kutainuka ufalme/ utawala uliofananishwa na CHUMA kilichojaribu kushikamana na udongo, lakini ilishindikana kuchanganyika na kushikamana...
3 Reactions
31 Replies
1K Views
Habari,Afrika !!! Kwanza Nianze kwa Kusema,Yupo Njiwa mpya, katika Nyumba mpya, aliyetolewa mbawa zake Ili apajue kwa mtunzaji wake,aliyebakiziwa mbili kulia na kushoto,Ategemeaye kupaa kila...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Walokole wote duniani nakupeni za ndani kuwa Shetani hafanyi vita na binadamu. Shetani ni Philosopher hivyo kwa sisi binadamu kwake tunaonekana wadudu fulani hivi. Shetani hana umri wala hana...
21 Reactions
192 Replies
6K Views
natumaini wote wazima ndugu zangu wa jf intelligence, bila kupoteza muda naomba niende moja kwa moja kwenye kichwa husika cha mada kwanza kabisa naomba kujua kwanini injili ya barnaba...
10 Reactions
217 Replies
36K Views
Kwa muda mrefu nimekua nikisikia watu wengi wakikanusha uwepo wa Mungu na wakatoa evidence nyingi tu katika ukanushaji huo especially Jamii inteligence. Sasa kwenye hili bandiko mi nataka kufaham...
7 Reactions
460 Replies
45K Views
Wapenzi wasomaji wangu leo ninaendelea na kufumbua macho watu. Mwenye macho haambiwi tanzama, na mwenye akili zake ataweza kung'amua na kuelewa ukweli wa mambo. Leo katika bandiko langu hili...
5 Reactions
34 Replies
7K Views
Imenilazimu nianzishe thread kabisa kuhusu hili taifa la israeli la sasa baada ya kuona baadhi ya thread zilizotangulia nyingi tu zinazo elezea umahiri na ushupavu wa hili taifa la israeli la...
61 Reactions
645 Replies
134K Views
Naombeni msaada kwa wenye ufahamu zaidi juu ya eneo la maajabu liitwalo Bermuda Triangle. ======================================= Pembe tatu ya Bemuda ni eneo lililoko bahari ya Atlantiki ikiwa...
0 Reactions
359 Replies
92K Views
MAUAJI YA MAHMOUD AL-MABHOUH MMOJA WA VIONGOZI WA KUNDI LA HAMAS LA PALESTINA: SEHEMU YA KWANZA: Mahmoud al-Mabhouh (kwa Kiarabu: محمود المبحوح‎, Maḥmūd al-Mabḥūḥ); alizaliwa tarehe 14...
5 Reactions
9 Replies
4K Views
UTANGULIZI Maisha tunayoishi yamegawanyika katika namna mbili. Ulimwengu wa Mwili na Ulimwengu wa Pepo. Binadamu ni manifestation yetu katika ulimwengu wa mwili kutokea katika ulimwengu wa pepo...
8 Reactions
32 Replies
3K Views
Hello bosses and roses. Nimekua napokea maswali mengi kiasi kutokana na maandiko yangu kadhaa nioandika hapa siku za nyuma. Lakini maswali mengi yanajikita kwenye haya mawili, Je Taoism ni...
37 Reactions
173 Replies
10K Views
Habari wanaJF..! Kwa muda sasa kumekuwa na mijadala mingi ikiilenga Rwanda, Paul Kagame na hususani kabila la Watutsi..! Na hili suala limekolezwa zaidi na mch.Christopher Mtikilia ambaye ni...
5 Reactions
107 Replies
34K Views
Huwa mara nyingi nacheka sana mtu akinitishia kuwa siku nikifa ndiyo mwisho wa kiburi changu cha uzima. Jibu langu ni moja tu, hakuna kifo kibaya kama ujinga maana umeshakufa na umebaki mwili...
7 Reactions
22 Replies
2K Views
Zamani kipindi cha Nyerere na Mwinyi tuliona cheo cha Meja na Luteni kanali, akaja Mkapa na Kikwete na JPM natukaona imesogea hadi Kanali. Sasa tunashuhudia Burigedia. Hii imekaaje wadau
8 Reactions
43 Replies
3K Views
Ni rahisi sana kulinda mzigo ama mfu wakati mkifanya michakato mingine ili kuweka mambo sawa! Ni ngumu mno kulinda mtu aliye hai hasa akiwa mateka ama mfungwa....kwa muktadha wa mada hii...
55 Reactions
120 Replies
21K Views
Back
Top Bottom