Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

1. Kwanini MUNGU aliumba vitu vingine asibaki yeye Tu? 2. Kwa nini Mungu Atumie Miaka Mingi Kukomboa dunia hii wakati angeweza Kuumba Nyingine? 3. Kwa nini Mungu anataka Tutoe sadaka wakati...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Right from the beginning of human settlement, a lot of people came up with ideas, philosophies, beliefs, experiments, research, redesigning of thoughts, and surveys to bring myths to reality...
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Hivi Adamu na Eva (Hawa) walikuwa na vitovu? Kwa jinsi inavyo onekana Adam hakuwa na kitovu na hata Eva hakuwa na kitovu. Maana kivotu ni alama ya kuwa ulikuwa attached na mama kipindi upo tumboni...
4 Reactions
54 Replies
16K Views
Hatimaye Zika imezika mtu na taaluma yake.Huu ugonjwa wa ZIKA matamko yake huzua taharuki,sio Tanzania tu,bali hata nje ya mipaka ya Tanzania.Wanasema imetoka misitu ya Uganda toka miaka hiyooo na...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Helmoed-Römer Heitman, Pretoria - IHS Jane's Defence Weekly The Tanzanian People's Defence Force (TPDF) Air Wing has quietly replaced its 12 old CAC J-7 fighters with 14 new J-7s, a usually...
4 Reactions
75 Replies
18K Views
Wakuu heshima mbele, Nakuombeni mnisaidie sana ktk jambo hili. Mimi ninaumri wa wastani tu japo unatosha(ni kijana). Mpaka sasa, sijawahi kwenda kwa mganga kutafuta uchawi wa kujiganga, sina...
3 Reactions
89 Replies
15K Views
Why Jamani Wachambuzi wa mambo .. Dunia Ya Zamani Ipo wapi tena..Dunia Iliyokuwa imejaa Maajabu kila baada hata ya Miaka 100 au 200 Jambo kubwa Linatokea.. Ile Dunia ya kina farao.... Dunia ya...
9 Reactions
100 Replies
10K Views
Habari za Jioni Wakuu, Naomba nitumie kiswahili na kiingereza ili kueleweka zaidi. Mimi naji'consider ni atheist nayeamini zaidi katika facts more than hearsay , ila kuna swali limekua...
3 Reactions
70 Replies
50K Views
Kutokana na habari zilizodhibitishwa ni kuwa UINGEREZA imekuwa ikiwafanyia UJASUSI marais 20 wa nchi za Afrika na zaidi ikiwa ni pamoja na KUSIKILIZA MAONGEZI yao na ya WASAIDIZI wao karibu na...
9 Reactions
193 Replies
17K Views
Dunia ina Maajabu..... Habari, nimeileta mada hii jukwaa hili kwa sababu najua ndio sehemu husika. Nakumbuka ni kama wiki tatu hivi zimepita nikiwa na rafiki zangu kwenye kiosk fulani hivi...
3 Reactions
74 Replies
10K Views
Anas Aremeyaw Anas Mwandishi wa habari za kiuchunguzi aliyezaliwa Ghana mwishoni mwa miaka ya 1970. Maudhui yake makuu ni WATAJE, WAUMBUE na WAFUNGE. Anas ni maarufu sana kwa namna yake ya...
2 Reactions
4 Replies
39K Views
Wakuu, nimejaribu ku trace mawazo ya huyu jamaa wa kwanza alipo kunywa pombe akalewa, na bila shaka alipoteza network. Pia nahisi alivyoamka alikua hoi na pia nahisi aliliendeleza siku...
1 Reactions
21 Replies
8K Views
Kuna mtazamo kuwa MTIHANI sio njia sahihi sana ya kupima uwezo wa wanafunzi/wanachuo nk. Kama wewe ndio unafundisha wanafunzi wa ngazi/fani au kozi yoyote ile ni dalili zipi mbali na mtihani...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Hello Jamii Forums, how are you? Mimi leo naleta huu uzi nipate angalau majibu ya maswali haya kwa yeyote anayeweza kujua. 1. Who created "Nothing''? 2. Kabla ya kuwa Nothingness, kulikuwa na...
2 Reactions
36 Replies
4K Views
Wale wataalamu wa mambo ya kidini awe Muislam au Mkristo au hata Mhindu naomba kueleweshwa kuhusu Peponi na Jehanamu. Imekua kawaida ya binadamu kujizungumzia yeye mwenyewe kwamba ndio ataenda...
3 Reactions
54 Replies
7K Views
Karibu tena katika mwendelezo wa Sayansi ya kiroho. Wanadamu na vitu vyote vilivyo hapa duniani ni Energy. Tunaweza kusema kuwa ni vibration. Na katika kwa mfumo wa consciousness hapa duniani...
7 Reactions
30 Replies
9K Views
Kama nilivyosema wakati nafungua huu mjadala kuwa nadharia ya uwepo wa binadamu imejaa utata mtupu. Katika dini tulifundishwa kwamba binadamu wa kwanza kuumbwa alikuwa Adam na Eva, na nilipokuwa...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Natafuta kitabu kilichoandikwa na J.K. Nyerere, "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania" kwa Kiswahili au Kiingereza. Jitihada za kukipata mitaa ya Dar zilishindikana baada ya kuambiwa 'udaku' kwamba...
3 Reactions
267 Replies
50K Views
Wataalamu wa mambo ya vita tuambieni vita kati ya China na USA itapigwaje maana wako mbali sana maelfu ya kms Je watatumia IBM intercontinental ballistic missiles au maana hata Yale mameli...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
KIKOSI cha wabunge kikiongozwa na Naibu Spika, Job Ndugai, kimesafiri kwenda jijini London, Uingereza, kukutana na Bunge la makabwela la nchi hiyo, ili kuongeza ushawishi na hatimaye mabilioni ya...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Back
Top Bottom