Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Katika kitabu cha Gideon Spies kilichowekwa na mdau mmoja wa JF nimejaribu kukisoma na nimeona nishirikishe wadau mambo kadhaa yaliyonivutia hasa katika kuundwa kwa taasisi maarufu ya kijasusi...
3 Reactions
17 Replies
5K Views
Ndugu zangu, Jeshi la Wachina linakuja, wako wengi. Kwenye moja ya picha za magazetini hii leo, inamwonyesha Rais wetu akiwa amezungukwa na Wachina. Rais amevalia ' Kijamaa', lakini Wachina...
6 Reactions
24 Replies
4K Views
Wachawi Mandondocha Na Misukule ya Kisiasa Wengi wanaweza kukishangaa kichwa cha habari hapo juu, kiukweli ninachotaka kukizungumzia ni hao hao Mandondocha na Misukule wa Kisiasa. Wengi wetu...
3 Reactions
6 Replies
6K Views
Ndio waliweza (wazungu) kuunda vitu wakiwa hawana hata picha ya "kugerezea" lakini sisi waafrika/watz tunashindwa kuunda vitu wakati tunaweza kuunda kwa "kugerezea" vya wenzetu! hii wewe...
4 Reactions
39 Replies
4K Views
Wakuu, Hivi ni kwa nini baada ya shambulio la sept 11 kule Marekani, kuna taarifa kuwa watoto wa mfalme wa SaudI Arabia walikufa vifo tata katka matukio matatu tofauti ndani ya saudia...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Na Happiness Katabazi ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Majengo nchini (TBA,) Togolai Kimweri anayekabiliwa na mashtaka matano ya matumizi mabaya ya ofisi na mwenzake, ameieleza...
8 Reactions
150 Replies
25K Views
Nilikuwa naangalia Documentary moja inaitwa Zero Days. inaelezea namna Marekani na washirika wake waliweza kushambulia mitambo ya nyuklia ya Iran kwa kutuma kirusi cha kompyuta (STUXnet). kirusi...
15 Reactions
84 Replies
7K Views
Happy New Year wana JF, Utaratibu ukoje wa kuripoti kuwa kuna jasusi au mtu unayeshuku au una uhakika kuwa ni spy anakusanya taarifa nchini kwa manufaa ya taarifa nchi anayoitumikia? Je usalama...
1 Reactions
29 Replies
9K Views
Tender: Printing of Bank notes General Information Country: International Publication Date: Dec 18, 2008 Deadline: Jan 13, 2009 Funding Agency: World Bank Buyer: BANK OF TANZANIA SECRETARY TO THE...
0 Reactions
69 Replies
18K Views
Mbukwenyi. Jf Wajuvi wa mambo wanijuze maana ninavyojua mimi kanisa katoliki duniani lina serikali yake katika mji wa Vatican nchini italia, na lina kiongozi wake mwenye wadhifa wa urais au...
3 Reactions
181 Replies
25K Views
Nimekaa nukajiuliza hivi baada ya kifo cha Field Marshal Fidel Castro kufariki, rais aliyopo madarakani Raul castro atasimamia msimamo wa kulinda ujamaa ulio zao la mapinduzi yaliyoongozwa na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
 Chama cha watu wasioamini uwepo wa Mungu (Atheists) nchini Kenya kimetaka kuondolewa kwa neno ‘God’ kwenye wimbo wa taifa. Wanadai kuwa neno ‘God” kwenye mstari wa kwanza wa wimbo huo...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
CIA imechemka mara 643 kumuua raisi huyu Raisi wa tatu(3) duniani kukaa muda mrefu madarakani Avunja rekodi kuhutubia saa 7 bila kupumzika.
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Dear JF members, greetings unto you. Direct to the point. I have been puzzled by the word intelligence leading to more questions than answers in my mind. I wish therefore to share this with you...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Ieleweke hivi muda ni uwepo/the existance of space.. Muda hupimwa kwenye space i mean the way space exist it's the way we can get time/time existance. Space kama ilivyo haionyeshi kwenda mbele...
2 Reactions
55 Replies
6K Views
Tizama video hii na uchangie ila naomba utumie akili zaidi na ustarabu ktk comments zako
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wanajamvi ningependa kujua uhusiano wa hao watu wa 2... wanamapinduzi wa cuba na argentine.... kama sijakosea majina yao hapo juu
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Problems are the part of our planet earth, I'm not talking from academic context but the daily life which we live on. If you tackle normal life problems either automatically (with a some how...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Ni kawaida sana kuona watu wana majini, mashetani, mapepo, maruwani ambapo ikitokea hivyo hutafutwa kiongozi wa dini mwenye uwezo wa kuyatoa au kuyakemea sasa kwa wale kina Ngombale Mwiru huwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habari za jumapili wakuu, naomba kuwasilisha hapa kwenu nikijua wapo wajuvi wa mambo kama akina eiyer,the bold na wengine wengi mseza mkulu. ninajiuliza hili swala la elimu rasmi je limetoka...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom