Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Wandugu jana nilienda kumpokea mgeni wangu toka Sri Lanka pale Julius Nyerere international Airort (Dar es Salaam). Saa 9.06 mchana Ndege ya shirika maarufu duniani Emirates iliwasili lakini...
2 Reactions
87 Replies
20K Views
Wakuu, Najaribu kutafakari kwa kina, hivi ni nini kinaweza kutokea endapo hawa watafariki ghafla? Japo watu hawapendi kuongelea kifo, lakini kipo kwa ajili yetu wanadamu na hakikwepeki. Wewe...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nina swali moja la kiintelijensia, hivi ni rahisi kwa mgombea uraisi kuukwaa uraisi wa nchi fulani pasipo yeye kuwahi kutumikia idara yoyote ya kijasusi/ulinzi ya nchi husika.? Kwa mfano, TISS, MI...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Katika "Trending now" ya Yahoo leo kwa mujibu wa Jarida moja la Kinigeria Afrika in Mabilionia 55, Kati yao 20 ni wanigeria. Mabilionia wazee ni wawili Mohammed El fayed (Baba yake Dodi) na Manu...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hii inatokea sana kwa walimwengu wa leo walio na dini na wasio na dini, hapa kwetu kwa mfano kuna jamaa anauwezo wa kuongea na wadudu hasa wale wakali Nyoka, Nyuki Nk kutokana na uwezo huo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Huu ni msemo ambao uko na ukweli mwingi ndani yake. Leo ningependa kupima validity ya huu msemo kwa kutumia kauli za viongozi wa Tanzania. Kimsingi watz wengi hatuna ushirikiano na tuko kibinafsi...
1 Reactions
1 Replies
972 Views
Ati leo wanatishia kuandamana kwa sababu wataondolewa misamaha ya kodi! Leo wamecharuka na kugundua kuwa serikali inaweza kuwafanyizia wakiendelea kupiga kelele. Ati, kwa vile sasa misamaha ya...
0 Reactions
106 Replies
13K Views
Katika Miaka ya karibuni kumeeibuka mmomonyoko wa maadili kwenye utumishi wa umma ...kati ya mambo yalioshauriwa ili kuondoa mmomonyoko huo ,ilikuwa ni kurudisha JKT ,kwa kuanzia miaka ya mwanzo...
2 Reactions
23 Replies
17K Views
When Not Being the Smartest Is an Advantage View Photo "Never be the smartest person in the room," many have said. Michael Dell once suggested...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
naota kuwa mabadiliko ya katiba yatapelekea kuwa na nchi mpya muda si mrefu ujao... naota pia kuwa nchi hiyo itakuwa kwenye mipaka ya iliyokuwa Tanganyika kabla ya Muungano Naota... kuwapo kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
The Chinese Almanac, also known as the Tung Shu, is commonly known as a book of auspicious and inauspicious dates, but there is so much more to the Tung Shu than that. It is a vast mine of...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nini chanzo cha kuyeyuka kwa barafu katika maeneo ya arctict na antarcticta? Nadhani jibu litakua rahisi sana kama ku muuliza motto wa darasa la tano. Nalo ni kuongezeka kwa joto duniani...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna mambo mawili ukizaliwa na kuishi yatakuhusu Ni ama wewe utazaliwa mwanaume au mwanamke Kama wewe utazaliwa mwanamke uko salama, Lakini kama wewe utazaliwa mwanaume kuna mambo mawili...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Kwa machungu niliyoyapata ilinibidi nikae kimya bila kusema chochote, nimeugulia kipindi chote maumivu ambayo naamini kabisa yamesababishwa na utendaji kazi mbovu wa Jeshi letu la polisi nchini...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hapa juzi tumesikia kuwa yule lutenkanali aliyetoroka apasua vichwa ndani ya JWTZ, Lakini kutokana na maelezo ya Meja Komba ambaye ni msemaji wa JWTZ aliwahakikishia watanzania kuwa huyo...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Nimesoma humu eti jukumu dhidi ya tishio la M23 na Al Shabab ni la serikali,hii dhana napingana nayo kabisa. Nionavyo mimi jukumu hili ni la kila raia wa Tanzania,kwa maana kila raia ni mlinzi wa...
0 Reactions
1 Replies
971 Views
HELL? Churches of Christendom have misled Christians on virtually every teaching in the Bible. The church either misinterprets, misunderstands, or mistranslates, and generally misleads the...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
jamani Watanzania wenzangu mnaosafiri.au mliokuwa na mpango wa kuingia nchini Rwanda kwenye kipindi hiki, Chukuweni Tahadhari kubwa kuna Usumbufu na mateso ya hali ya juu.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom