Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Haya wapendwa wasomaji wa Jamii Forum, Mimi siyo mchokozi, ila napenda kutoa maoni juu ya haya yafuatayo: Baada ya kushuhudia makanisa kuchomwa, Dar es Salaam na Zanzibar na kwingineko, na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hebu tujifunze jambo hapa ili tusitatizike linapotokea.. Nazungumzia kuhusu kuua.. Kutoa uhai wa mtu 1.Ameurter killers.. Wauaji wasio na ujuzi... Huacha alama huua hovyo sio wataalam.. Ni watu...
34 Reactions
222 Replies
37K Views
CountCapone Kabla ya mwaka 1961 hakukuwahi kuwa na nchi inayoitwa Tanzania kwenye ramani 1-1885 Ardhi ya Tanzania haikua na dola moja inayotawala bali jamii nyingi zilizogawanyika 1885-1919...
9 Reactions
43 Replies
3K Views
kwa muda mrefu nimekuwa najaribu kujiuliza asili ya binadamu dunian hasa ni ipi kuna binadamu wa aina tofaut kwa maana ya rangi, muonekano na sifa zao na hata maumbile na nimejaribu kutafakar...
2 Reactions
16 Replies
9K Views
Amani iwe nanyi! Kwa muda sasa kwa baadhi ya wale wanaokaa maeneo ya Ngorongoro kumekuwa na maneno ambayo tungeomba kupata ufafanuzi kuhusu nani hasa anahusika na NCAA (Ngorongoro Conservation...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanajamvi, Hebu nisaidieni kufahamu faida za hii meditation katika maisha yetu ya kawaida. Nimejaribu kuifanya kwa miezi mitano sasa sijaona tofauti yeyote ya maisha yangu kabla ya meditation na...
3 Reactions
149 Replies
41K Views
Introduction Illusion life ni maisha yasiyo halisi ambayo yametengenezwa kwa program maalum iliyopachikwa kwa kiumbe na kumfanya kiumbe huyo aone Anaishi maisha halisia kumbe sio kweli ni program...
11 Reactions
53 Replies
5K Views
Wanaoamani Mungu hutumia uumbaji kama hoja kuu ya kuamini Mungu yupo, siwalaumu because after all bila uumbaji tusingekuwepo kubishana hapa kama mungu yupo au la! Na uwepo wake usingekuwa na...
11 Reactions
225 Replies
8K Views
Msukule ni mtu ambaye anahesabiwa amekufa, lakini ukweli ni kuwa mtu huyo huwa amechukuliwa na Mchawi ili amtumie katika kazi zake maalum au amtumie katika mambo yake mengine anayoyataka. Mchawi...
21 Reactions
133 Replies
30K Views
Umewahi kusikia juu ya mikataba ya kiroho? Inachukua sehemu kubwa katika kuamua jinsi tunavyojiumba kama watu tukiwa hapa Duniani. Kabla ya kila kuzaliwa kwetu duniani, tumepewa chaguo. Ni chaguo...
9 Reactions
55 Replies
5K Views
According to the Koran; Koran 2;191 "Slay the unbelievers wherever you find them." Koran 3;28 "Muslims must not take the infidels as friends." Koran 3;85 "Any religion other than Islam is not...
9 Reactions
69 Replies
2K Views
Gwaiji wa molecular biology, ana miaka 94. Aalifanya ugunduzi muhimu kuhusu muundo wa DNA na usambazaji wa taarifa kupitia nucleic acids katika DNA mwaka 1953, akashinda tuzo ya Nobel mwaka 1962...
13 Reactions
58 Replies
7K Views
I Kulikuwa na ukimya wa kutarajia. NILIWEZA KUHISI watu wakinitazama. Kisha swali fupi, kali, lenye kelele. Nyayo za mshikaji wangu zikija kwa kasi kuelekea kwangu. “Huoni?” Aliuliza...
4 Reactions
38 Replies
7K Views
Sijui why leo nipo kwenye mood ya kuongelea hii Topic , I hope itagusa watu na kuwasaidia kuchukua hatua. Mara nyingi tumekua tukiangalia Film’s za kutisha huko Hollywood kuhusu hizi haunted...
40 Reactions
200 Replies
28K Views
Habari wana Jf poleni na Majukumu ya kikazi, Niende moja kwa moja katika maada yangu kuwahusu Freemasons Nadhani ni wakati mzuri juu ya hawa Masonic kuwa wawazi pengine wanaweza kua huru na kile...
5 Reactions
14 Replies
2K Views
Kila tokeo la kimwili bila kujali kama ni chanya ama hasi asili yake ni roho ama rohoni... Hakuna kitu kisicho asili na roho ama nguvu isiyoonekana.... Hata huyu Mungu mkuu anayebishaniwa kila...
30 Reactions
99 Replies
14K Views
THE GIANTS (SON OF GODS) MELANATED BEINGS ARE WAKING UP FROM THE GREAT SPELL. MWANDISHI; JAMES LORDY KASHIRINA. [emoji3544]TAFADHARI KAZA SURA USOMAPO POST HII [emoji117]Kutambua siri hizi...
10 Reactions
25 Replies
3K Views
Miaka ya nyuma kipindi cha mediaval na reformation of church, kanisa katoliki lilikumbwa na misuko suko mbali mbali iliyolitikisa kanisa kweli kweli. Mojawapo ikiwa ni kuanzishwa kwa kanisa la...
6 Reactions
11 Replies
1K Views
Kwa Afrika, Ujasusi wa "Kidola", Tanzania ndio mwamuzi wa siasa za Afrika. Hil linatazamwa tangu vuguvugu la uhuru wa Afrika mpaka kunako Karne ya 21. Kwa lugha laini ni kuwa TISS ndio idara yenye...
16 Reactions
59 Replies
19K Views
Bonobo! Canis Lupus Familiaris ndiyo jina la hii specie tunayoijua na kuipenda..Almaaruf kama Mbwa!! Wengi mkiulizwa mbwa wametokea wapi kwa haraka haraka mtasema waliumbwa na Mungu. Lakini...
32 Reactions
59 Replies
6K Views
Back
Top Bottom