Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

According to sauti ninayopigaga nayo story kichwani, Mtu yani mimi na wewe tunakamilishwa na sehemu kuu mbili sehemu, sehemu ya kwanza ni UZIMA (UMUNGU/KUSUDI) na sehemu ya pili ni UHAI...
7 Reactions
6 Replies
708 Views
Kuanzia 1999 mpaka sasa zaidi ya miaka 16 nimekuwa nikifanya utafiti wapi yalipo makazi ya Mwenyezi Mungu Kisayansi na Kutumia Vitabu vitakatifu hasahasa Biblia Takatifu nimepata majibu pasina...
32 Reactions
1K Replies
121K Views
Dunia yetu inapitia mageuzo mbalimbali yenye maendeleo. Kuanzia mifumo ya kijamii, uchumi na maendeleo mpaka teknolojia. Kwa hakika, tangu kuanza kwa dunia takribani miaka bilioni nne hivi...
1 Reactions
2 Replies
364 Views
Mi najiuliza maswali mengi. Mungu Ni Nini, anataka Nini na Yuko wapi. Ukifuatilia historia ya binadamu tokea tukiwa wawindaji maporini miungu ilikuwepo. Wazee walikuwa wanaongoza vijana kwa...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Salute.. Maisha yanakwenda kwa kasi mno mengi hayawezekani hayapo wenzetu huko wanakesha kutuonyesha jinsi kila kitu kinawezekana kama ukiwa na nia thabiti na mipango. Huko duniani kuna vitu...
114 Reactions
520 Replies
63K Views
Mwaka 1973 Israeli ilishambuliwa na Misri na Syria kwa kushtukizwa wakati wa majira ya sikukuu ya Yom Kippur. Misri walivuka mfereji wa Suez na kuingia Israel(Sinai). Wasyria nao wakaingia huko...
5 Reactions
22 Replies
4K Views
Mates, Wakati wengi tukiwa tunajua kwaba ubongo wa mwanadamu umegawanyika sehemu tatu ambazo ni ubongo wa mbele,katikati na nyuma tu, kuna wataalamu wa masuala ya akili (Neuorologist) na wataalamu...
70 Reactions
117 Replies
22K Views
Utata umeibuka kuhusiana na kifo cha Ofisa Usalama wa Taifa, Peter Tyenyi, ambaye mwili wake umekutwa ndani ya kisima cha maji kilichopo eneo la ofisi za idara zilizopo Kijitonyama, jijini Dar...
8 Reactions
313 Replies
96K Views
Fikiria kidogo na namna dunia ilivyo na namna unavyoiishi. Ni kama (VIDEOGAME) isiyo na maana wala uhalisia wowote katika maisha halisi. Hauwezi nielewa kama wewe ni mtu usiyependa ishughulisha...
6 Reactions
17 Replies
1K Views
#MASTORISTORIYAMWALIMUNAMZEEABDALLAH Mwanangu tambua maisha yako ya leo yaweza yasiwe kama ya kesho! Ishikilie leo, ifurahie leo maana nani aijuaye kesho itakuja na nini? Juzi tu nilikuwa...
2 Reactions
0 Replies
359 Views
Katibu wa Halmshauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda , ametimiza ahadi yake ya kumchangia Tsh Milioni 10 kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la...
1 Reactions
4 Replies
436 Views
Mpaka leo ukiwauliza waNAMIBIA kuhusiana na unyama ambao walitendewa na wajerumani miaka hiyo hasa kwa haya makabila mawili ya Herero na Nama Usishangae kwaunayemuuliza akianza kulia kwa kwikwi na...
7 Reactions
14 Replies
6K Views
Naomba kufahamu kwa nini zinaa inakuwa dhambi? Vitabu vyote vya dini vinapiga maarufu zinaa. Hata mila karibu zote zinakataza zinaa. Naamini hakuna kinachotokea bila sababu, lazima kuna sababu ya...
5 Reactions
46 Replies
7K Views
Habari za jioni wakuu, niende moja kwa moja kwenye mada.... Kama Kichwa cha habari kinavyojieleza nimekuwa nikijiuliza sana kwa muda mrefu hili swali je wayahudi halisi wamekwenda wapi na je hawa...
5 Reactions
34 Replies
8K Views
HISTORIA YA FREEMASONS Kwa kuanzia tujifunze kidogo historia ya kikundi hicho: Freemasons tafsiri yake kwa lugha ya kiswahili ni “wajenzi huru” ingawa hawatambuliki kwa jina hilo, lakini kwa...
5 Reactions
50 Replies
4K Views
Habari wanaJF! Natumaini Jumapili imeanza vyema. Katika pitapita zangu, nimekutana na mawaidha yafuatayo yanaweza kukusaidia wewe mwajiri kuwa na mwisho mzuri na kufurahia maisha ndani (na baada)...
12 Reactions
22 Replies
3K Views
ANGALIZO: Yote yaliyoandikwa humu yatabaki kuwa ni maoni binafsi ya mwandishi wa makala ambayo baada ya kukamilika hii habari references na citations zitawekwa. Kutokana na maada hii kuwa...
12 Reactions
56 Replies
9K Views
Miaka ya 1960 Shirikia la Ujasusi la Marekani lilikuww linapambana na Urusi katika vita baridi. Katika kipindi hiko Marekani ilianzisha program na miradi mbalimbali dhidi ya kupambana na Ujamaa...
8 Reactions
8 Replies
2K Views
Lilith anayesemekana ni mke wa kwanza wa Adam. Hatajwi popote kwenye Biblia takatifu zaidi ya kwenye kitabu cha Isaya 34 : 14, na ambapo hata hivyo kutajwa kwake hakuna mahusiano kabisa na Adam...
68 Reactions
1K Replies
178K Views
Tunamaliza mwaka 2019 na taharuki za kutisha na kutosha. Kwa akili za wastani ni rahisi sana kuwanyooshea vidole wengine lakini kiroho tafsiri ni kubwa kuliko hilo. Mojawapo ya 'case sensitive '...
30 Reactions
91 Replies
16K Views
Back
Top Bottom