MATE,
Mwaka 33AD baada ya Kristo kuondoka duniani aliliacha kanisa mikononi mwa Peter kama papa/baba wa kwanza katika kueneza Imani na ushuhuda wa Kristo, Paulo akishirikiana na mitume/wanafunzi...
Hi to all of you here , my hope is that you are at least thinking of lockdown for yoour own good(I do not mean the situation has gone wild). Let me take it slow, currently there have been fishy...
Muhimu: Makala hii ndani yake ina maelezo na picha zenye kuogofya na ukatili. Soma kwa tahadhari binafsi. (reader’s discretion is strongly advised)
LA ULTIMA LETRA.
Sasa, unaweza kupata...
Majasusi ambao wanakuwa ni double agent wanakuwa changamoto sana kwa idara nyingi za usalama duniani ingawaje wanatumiwa sana mpaka sasa. Wengi wao hujifanya kuifanyia kazi kitengo Cha nchi yake...
Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI".
kitabu kina kurasa 442 na ndani yake kuna makala 17.
Bei ya kitabu hiki ni Tsh 50,000/-
Pia waweza kupata...
Wadau naamini kuna watu wenye uelewa na na michezo ya mazingaombwe au viini macho, naomba kujua hatua gani na taratibu zinatakiwa kufuatwa? Na wapi naweza jifunza?, je kunausiano wa mambo ya...
YAFUATAYO NI MAUAJI TISA (9) YA HALAIKI MAKUBWA ZAIDI KUWAHI KUTOKEA AMBAYO HAYAZUNGUMZWI SANA.
Ukisikia mauaji ya Halaiki (genocide) akili inakimbilia Rwanda , Soweto na Holocaust (waisrael...
Habari Wanabodi
Nimeona quotes mbalimbali kuhusu complex person, je hawa ni watu wenye traits zipi?
Je umeshawahi washuhudia? Inasemekana ni watu wenye kuvutia at the same time ni dangerous...
Je wajua kuwa Sikio ndio kiungo cha kwanza kuumbwa kwa mwanadamu?
وَهُوَ الَّذِي أَنشَأَ لَكُمُ السَّمْعَ وَالْأَبْصَارَ وَالْأَفْئِدَةَ ۚ قَلِيلًا مَّا تَشْكُرُونَ
[ AL - MUUMINUN - 78 ]
Na...
Na:A.M KITOTA
ASWHAABUL KAHF: A SCIENTIFIC APPROACH
Ni takribani karne 14 sasa tangu hali za watu wa pangoni zilipofunuliwa ndani ya Qur’an.
Na ni hivi punde tu katika kizazi hiki (mwaka 1923...
Huenda watu wengi hufikiri kwamba wanapoliona jua angani, ndivyo hivyo, na wengine hata hufikiri kwamba ndege hupita inaporuka.
Lakini sivyo ilivyo, jua linazama na kuzama huku likiwa na habari za...
Hello y’all..
NB: Naomba moderator mada hii msiihamishie jukwaa la dini maana huko itakosa wachangiaji na lengo langu la kutaka kujuzwa jambo hili halitatimia and that will leave me frustrated...
Nimekua najiuliza ni kwa nini mala nyingi hasa mwisho wa mwaka utasikia watu wengi wanakimbia majumbani mwao hasa vijijini na lengo ni kwenda kuwaomba ndugu walioishatangulia kwa maana ya kufa...
Imethibitishwa kuwa mwanga unasafiri kwa spidi ya km laki tatu kwa sekunde moja tu(300,000km/s), Yani kwa sekunde tu mwanga unaizunguka dunia mara Nane(08)
kuna nadharia nyingine(Hii sio yangu...
Habari wakuu!
Nafikiri kila mmoja hapa anachangamoto yake, poleni katika hayo, maisha ni lazima yaendelee tu
Ila leo nataka nijue niwangapi walishawahi kujiuliza haya maswali:
(1) Mungu ni nini...
Biblia ni kitabu kinachojumuisha vitabu mbalimbali vilivyoandikwa na watu mbalimbali katika nyakati tofauti na sehemu tofauti.
Biblia ni mkusanyiko wa hivi vitabu ambavyo viliandikwa na waandishi...
Salute..
kuna msemo sijui tulifundishwa au tulisoma wenyewe kwenye vitabu vyetu vya dini (Bibble & Qu'ran) msemo huo unasema kua Miaka elfu moja duniani ni sawa na siku moja mbingu, kiukweli kwa...
Ule msemo wa kwamba kila nafsi itakufa ni uzushi tu. Ni uzushi ambao umekubalika sana kiasi ambacho umeshakuwa kipande-cha-ukweli. Mbadala wa kipande-hicho-cha ukweli hata kama ni kweli kabisa...
Moja kati ya mambo ambayo yatakuchanganya sana akili yako ni kudhani kwamba unaweza kumbadilisha mtu fulani tabia ili awe kama unavotaka wewe.
Nikupe taarifa tu rafiki kwamba jambo hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.