Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

MATE, Mwaka 33AD baada ya Kristo kuondoka duniani aliliacha kanisa mikononi mwa Peter kama papa/baba wa kwanza katika kueneza Imani na ushuhuda wa Kristo, Paulo akishirikiana na mitume/wanafunzi...
26 Reactions
60 Replies
12K Views
Hi to all of you here , my hope is that you are at least thinking of lockdown for yoour own good(I do not mean the situation has gone wild). Let me take it slow, currently there have been fishy...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Muhimu: Makala hii ndani yake ina maelezo na picha zenye kuogofya na ukatili. Soma kwa tahadhari binafsi. (reader’s discretion is strongly advised) LA ULTIMA LETRA. Sasa, unaweza kupata...
163 Reactions
439 Replies
91K Views
Majasusi ambao wanakuwa ni double agent wanakuwa changamoto sana kwa idara nyingi za usalama duniani ingawaje wanatumiwa sana mpaka sasa. Wengi wao hujifanya kuifanyia kazi kitengo Cha nchi yake...
32 Reactions
66 Replies
7K Views
Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI". kitabu kina kurasa 442 na ndani yake kuna makala 17. Bei ya kitabu hiki ni Tsh 50,000/- Pia waweza kupata...
160 Reactions
716 Replies
122K Views
  • Poll Poll
Wadau naamini kuna watu wenye uelewa na na michezo ya mazingaombwe au viini macho, naomba kujua hatua gani na taratibu zinatakiwa kufuatwa? Na wapi naweza jifunza?, je kunausiano wa mambo ya...
1 Reactions
87 Replies
27K Views
YAFUATAYO NI MAUAJI TISA (9) YA HALAIKI MAKUBWA ZAIDI KUWAHI KUTOKEA AMBAYO HAYAZUNGUMZWI SANA. Ukisikia mauaji ya Halaiki (genocide) akili inakimbilia Rwanda , Soweto na Holocaust (waisrael...
20 Reactions
60 Replies
15K Views
Habari Wanabodi Nimeona quotes mbalimbali kuhusu complex person, je hawa ni watu wenye traits zipi? Je umeshawahi washuhudia? Inasemekana ni watu wenye kuvutia at the same time ni dangerous...
6 Reactions
63 Replies
6K Views
Je wajua kuwa Sikio ndio kiungo cha kwanza kuumbwa kwa mwanadamu? وَهُوَ الَّذِي أَنشَأَ لَكُمُ السَّمْعَ وَالْأَبْصَارَ وَالْأَفْئِدَةَ ۚ قَلِيلًا مَّا تَشْكُرُونَ [ AL - MUUMINUN - 78 ] Na...
24 Reactions
261 Replies
29K Views
Na:A.M KITOTA ASWHAABUL KAHF: A SCIENTIFIC APPROACH Ni takribani karne 14 sasa tangu hali za watu wa pangoni zilipofunuliwa ndani ya Qur’an. Na ni hivi punde tu katika kizazi hiki (mwaka 1923...
22 Reactions
89 Replies
21K Views
Huenda watu wengi hufikiri kwamba wanapoliona jua angani, ndivyo hivyo, na wengine hata hufikiri kwamba ndege hupita inaporuka. Lakini sivyo ilivyo, jua linazama na kuzama huku likiwa na habari za...
11 Reactions
62 Replies
9K Views
Hello y’all.. NB: Naomba moderator mada hii msiihamishie jukwaa la dini maana huko itakosa wachangiaji na lengo langu la kutaka kujuzwa jambo hili halitatimia and that will leave me frustrated...
39 Reactions
1K Replies
41K Views
Nimekua najiuliza ni kwa nini mala nyingi hasa mwisho wa mwaka utasikia watu wengi wanakimbia majumbani mwao hasa vijijini na lengo ni kwenda kuwaomba ndugu walioishatangulia kwa maana ya kufa...
6 Reactions
223 Replies
59K Views
  • Poll Poll
Imethibitishwa kuwa mwanga unasafiri kwa spidi ya km laki tatu kwa sekunde moja tu(300,000km/s), Yani kwa sekunde tu mwanga unaizunguka dunia mara Nane(08) kuna nadharia nyingine(Hii sio yangu...
13 Reactions
153 Replies
17K Views
I am currently reading "Why? : The Purpose of The Universe". 66% through. https://youtu.be/Wes6Bsvs674?si=evUZqx0Ow0v86Dq6 Post yours.
4 Reactions
9 Replies
883 Views
Habari wakuu! Nafikiri kila mmoja hapa anachangamoto yake, poleni katika hayo, maisha ni lazima yaendelee tu Ila leo nataka nijue niwangapi walishawahi kujiuliza haya maswali: (1) Mungu ni nini...
6 Reactions
32 Replies
3K Views
Biblia ni kitabu kinachojumuisha vitabu mbalimbali vilivyoandikwa na watu mbalimbali katika nyakati tofauti na sehemu tofauti. Biblia ni mkusanyiko wa hivi vitabu ambavyo viliandikwa na waandishi...
1 Reactions
93 Replies
22K Views
Salute.. kuna msemo sijui tulifundishwa au tulisoma wenyewe kwenye vitabu vyetu vya dini (Bibble & Qu'ran) msemo huo unasema kua Miaka elfu moja duniani ni sawa na siku moja mbingu, kiukweli kwa...
26 Reactions
339 Replies
44K Views
Ule msemo wa kwamba kila nafsi itakufa ni uzushi tu. Ni uzushi ambao umekubalika sana kiasi ambacho umeshakuwa kipande-cha-ukweli. Mbadala wa kipande-hicho-cha ukweli hata kama ni kweli kabisa...
3 Reactions
1 Replies
611 Views
Moja kati ya mambo ambayo yatakuchanganya sana akili yako ni kudhani kwamba unaweza kumbadilisha mtu fulani tabia ili awe kama unavotaka wewe. Nikupe taarifa tu rafiki kwamba jambo hilo...
10 Reactions
7 Replies
962 Views
Back
Top Bottom