Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Control powers ndizo zilizotujengea misingi na mipaka ya utafiti na matamanio yetu. Dini, Mamlaka kuu za kutawala na Secret Societies ndizo hizi control powers. Hivyo ni vyombo vitatu...
2 Reactions
9 Replies
702 Views
Aliyekuwa Kiongozi wa Jumuiya ya Freemason Tanzania na Afrika Mashariki, Sir Jayantilal Keshavji ‘Andy’ Chande, amefariki dunia. Sir Chande amekuwa mwanachama wa Freemason kwa takribani miongo...
10 Reactions
28 Replies
11K Views
Yesu na Maria Magdalena Watu wengi wanajua hadithi ya Yesu wa Nazareti kutoka kwa Biblia ya Kikristo. Alizaliwa huko Bethlehemu, mwana wa Mariamu, ambaye alikuwa bikira na ambaye alimchukua Yesu...
10 Reactions
49 Replies
5K Views
SOMO: FAHAMU NGUVU ZAKO ZA KUZALIWA KWA UFUNUO WA ROHO MTAKATIFU Kumb 33:1-9, Mwanzo 49:3-7, 1Kor 2:10 Kila mwanadamu aliyeumbwa na Mungu Aliye Hai, ameumbwa na nguvu maalumu kutoka mbinguni...
19 Reactions
96 Replies
36K Views
Soma hii kwanza kabla sijaendelea ili upate msingi wa kile nitakachoandika Mawasiliano ya kiroho katika milango nane ya fahamu - JamiiForums Nitatoa mifano michache lakini kwanza pata picha ya...
9 Reactions
110 Replies
12K Views
SEHEMU YA II Pia soma sehemu ya I Shroud of Turin (sanda aliyovikwa Bwana Yesu inayoonyesha sura yake) ni kweli ilikuwa ya Yesu Kristo? HUENDA LEORNARDO DA VINCI ALIUHADAA( danganya) ULIMWENGU...
8 Reactions
44 Replies
4K Views
MAMBA ni mnyama anayekula nyama, huweza kuishi nchi kavu lakini maisha yake kwa kiasi kikubwa hupendelea kukaa majini, tofauti na fikra za watu wengi ambao hufikiri mamba anazaa ukweli ni kwamba...
29 Reactions
59 Replies
28K Views
Afrika ni Bara la pili kwa ukubwa duniani pamoja na kuwa na wakazi wengi huku likiwa linakaliwa na Waarabu, pamoja na Weusi (Blacks/Negro) wakitenganishwa na Jangwa la Sahara. Waafrika Weusi...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Wale wazee wa "tafuta pesa wewe" Kama sijakosea tumegawanyika katika makundi haya: ■masikini wa kutupwa ■masikini wa kawaida ■mwenye nafuu katika maisha ■mwenye nafuu zaidi ■mwenye nafuu maradufu...
2 Reactions
32 Replies
2K Views
Mmeshindaje wanaJF wenzangu? Tukiangalia kona nyingi ama nchi nyingi za Afrika zipo ndani ya vita vya ndani ambapo wahanga wakuu ni wananchi ambao kila anayepigana anataka kuwwtawala. Riek...
1 Reactions
2 Replies
552 Views
Prolonged exposure to the same work environment can breed stagnation and limit professional growth. Working with the same colleagues for extended periods can lead to ingrained stereotypes and...
2 Reactions
11 Replies
962 Views
kuna vitu vingi vya kushangaza mno, ambavyo kutokana na kutwezwa na mahangaiko ya dunia tunakosa muda wa kuvitafakari 1. Dunia ya Mungu ilikuwa mashariki ya kati? Hapa ndio kama Mungu alipatambua...
89 Reactions
341 Replies
66K Views
Kwanza nianze kwa kuelezea ndoto maana yake, Ndoto ni mkusanyiko wa matukio ambayo binadamu huyaweka kichwani kwake ambayo humjia bila zuio (involuntary) kwenye ubongo wakati akiwa...
26 Reactions
248 Replies
62K Views
Ooh! Sawa kabisa. Usipoelewa sasa, utaelewa baadaye. Basi bhana, Mfalme Nebukadneza katika fahari yake, akawa anatembea kwenye kuta za mji wa Babeli huku akijisifu namna alivyoiboresha Babeli...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Hakuna jambo jipya kuhusu mauaji ya mtu maarufu. Ni miongoni mwa njia zilizotumika kuwaondoa ulimwenguni watu waliokuwa na uwezo mwingi am watu hatari. Lakini wauaji wengine walitumia njia za...
7 Reactions
41 Replies
7K Views
Ni ipi sababu inayofanya sare za polisi na majesh mengine ya wizara ya mambo ya ndani hayavai sare zenye rangi ya mabaka kama sare za jeshi la jwtz, na wakati kiprotoko yote ni majeshi kama...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa kipindi kirefu sasa nimesikia mafundisho ya kwamba dunia hii ni kifungo cha nafsi na roho za watu... na pia wapo watu mahsusi kwa kazi ya kufungua hizi nafsi na roho zilizofungwa. Kwanza...
63 Reactions
281 Replies
34K Views
Hi Kings and Queens. Nimejiuliza swali hili baada ya kusikia nchi kama Ufaransa na Marekani kuwa na majeshi katika ardhi za nchi nyingine. Naomba kujifunza kwa kujibiwa maswali haya:- 1. Hawa...
7 Reactions
20 Replies
2K Views
Namaanisha kabla ya ulimwengu kuumbwa, Mungu aliumba ulimwengu na kila kilichomo akiwa wapi? Je, alikuwa Mbinguni? Na wakati anaumba mbingu, alikuwa anaiumba akiwa wapi...
15 Reactions
197 Replies
14K Views
Pengine unamsikia tu shetani juu juu, humfahamu vizuri na unasema ni adui yako. Unawezaje kupambana na adui usiyeijua nguvu yake? Anafafanua kwa ufupi Mwl . Makungu m.s 0743781910 Kamwe...
84 Reactions
250 Replies
17K Views
Back
Top Bottom