Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Unaweza kuita uchawi au ushirikina lakini sigils ni alama za kishetani ambazo ukizichanga kwa kufuata mifumo yake hukupa matokeo unayotaka iwe ni kwenye ishu za mapenzi ngekewa bahati mali...
34 Reactions
249 Replies
61K Views
UTANGULIZI. Uzi huu unalengo la kuelezea nadharia mbali mbali ambazo bado hazijawekwa wazi sana kuhusu imani katika dini kuanzia historia yake hadi kujibu maswali mbali mbali yahusuyo dini kama...
7 Reactions
75 Replies
6K Views
Nikiwa Nawaza na Kuwazua kuhusu Mambo kadha wa Kadha wazo linanijia Kichwani, wazo lenyewe ni Kuhusu Kitabu hiki tata, kinaitwa The Davinc'i Code! Mawazo yanayonipelekea kukaa nyuma ya Keyboard ya...
19 Reactions
103 Replies
28K Views
"KWA WA CUBA CASTRO ALIKUWA CUBA NA CUBA ILIKUWA CASTRO. Na KINGO SR[emoji736] (Kingoinversion on plyastore & Instagram) "Fidel Alejandro Castro Ruz alifariki usiku wa saa 4:29 siku ya tarehe...
6 Reactions
29 Replies
8K Views
Ipo nadharia ya kusafiri muda (time traveling), maana yake ni kua mtu anaweza kutoka leo au sasa na kwenda past yani jana au siku ama miaka ya nyuma. Yaani kama leo ni 2023, binadamu anaweza...
5 Reactions
16 Replies
1K Views
Kumekuwa na hadithi nyingi sana katika ulimwengu huu tunaoishi kuwa hatupo tu binadamu na wanyama pekee yetu bali pia kuna viumbe wengine wanaishi walio kama sisi maumbo mithili ya kwetu, akili...
13 Reactions
71 Replies
21K Views
Miongoni mwa maswali najiuliza kila uchwao ni kwanini Mungu aliitwa Mungu na sio jina lingine?,Ni nani alimpatia hilo jina? Na kama yupo alikuwa nani? Kwanini Mungu hakummaliza shetani hukohuko...
4 Reactions
132 Replies
8K Views
Umewahi kujiuliza kati ya kuku na yai nini kilitangulia? Hili swali sio geni, ila umewahi kulifikiria na kutafuta jibu lake? Kwanini wenye jibu sahihi hawataki kulitoa? 1. Ni kuku kwanza, halafu...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Hapa duniani kuna Imani nyingi sana. Kila mmoja anavutia kwake kwamba imani yake iko sahihi. Nahakuna hata mmoja anayekuja na maelezo sahihi kuhusu ukweli wa imani yake. Leo rafiki zangu...
23 Reactions
469 Replies
85K Views
Ndugu zangu naleta kwenu hii Nadharia ya Mwisho wa Dunia kwa mujibu wa Mafundisho ya Sauti ya Unabii kutoka kwa Elen G White. Hawa wenzetu wasabato wanaamini kipindi cha Mwisho wa dunia...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
One of the tough nuts humans have struggled to crack is consciousness. that is because it is tough to even define it. However, today I Mr. Mc, would argue that the best definition of...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
WISH FULFILL WITHIN AN HOUR Je ulishawahi kutamani jambo litokee kwa haraka na urahisi zaidi na likashindikana? Hii hapa njia rahisi ya kutimiziwajamb unalotaka kwa muda mfupi. Jinsi ya...
15 Reactions
491 Replies
107K Views
Mfano nchi ya China 90%, North Korea 99% hawajui Quran wala Biblia. Pia huku Africa miaka ya 1900 kurudi nyuma dini zilikuwa bado hazijafika, nchi kama North Korea ni strictly prohibited...
21 Reactions
3K Replies
161K Views
Salute! P.S: Awali ya yote niseme tu wazi, sikuanzisha uzi huu ili mtu ajaribu kuiba pesa bank, nia yangu ni kuwapa uhalisia wa usalama wa pesa zako ziwapo benki na pia kuAlert mabenki waendelee...
124 Reactions
275 Replies
82K Views
Habari wana JF. Hivi ni kweli Masons, wanatumia kitabu cha The 66 Law of Illuminati. Secrets of Success? Kwamba ndio kinawafanya wanapata maendeleo? Nimejaribu kusoma juu kwa juu. Ila kwa wale...
8 Reactions
31 Replies
9K Views
"OPERATION SINAI EAGLE" ILIZIMA DEMOKRASIA NCHINI MISRI, NA IMEKATISHA MAISHA YA Dr MOHAMMAD MORSI. Na.Comred Mbwana Allyamtu Wednsday-19/6/2019 Moshi, Kilimanjaro - Tanzania. Demokrasia...
8 Reactions
53 Replies
7K Views
𝐖𝐚𝐤𝐮𝐮 𝐡𝐚𝐛𝐚𝐫𝐢𝐧𝐢 𝐳𝐚 𝐰𝐚𝐤𝐚𝐭𝐢 𝐦𝐰𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐭𝐞𝐧𝐚. 𝐊𝐰𝐚𝐧𝐳𝐚 𝐤𝐚𝐛𝐢𝐬𝐚 𝐧𝐢𝐰𝐚𝐬𝐡𝐮𝐤𝐮𝐫𝐮 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚 𝐉𝐅, 𝐤𝐰𝐚 𝐬𝐚𝐛𝐚𝐛𝐮 𝐧𝐢𝐦𝐞𝐤𝐮𝐣𝐚 𝐤𝐮𝐠𝐮𝐧𝐝𝐮𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚 𝐡𝐚𝐩𝐚 𝐧𝐢 𝐦𝐨𝐣𝐚𝐰𝐚𝐩𝐨 𝐲𝐚 𝐯𝐲𝐚𝐧𝐳𝐨 𝐯𝐢𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐯𝐲𝐚 𝐦𝐚𝐚𝐫𝐢𝐟𝐚, 𝐞𝐥𝐢𝐦𝐮, 𝐩𝐚𝐦𝐨𝐣𝐚 𝐧𝐚 𝐮𝐣𝐢𝐧𝐠𝐚 𝐩𝐢𝐚...
15 Reactions
48 Replies
5K Views
Ukiangalia kwa unfdani utaona kuwa dini nyingi ni matokeo ya maisha magumu. Kisaikolojia mtu akiwa frustrated na ugumu wa maisha huanza kuota ndoto za mchana na kufantasize maisha yasiyo na taabu...
8 Reactions
131 Replies
5K Views
1. Siku zote kumbuka kuwa hakuna mtu duniani ambaye hana matatizo. Hivyo si wewe pekee mwenye matatizo. 2. Changamoto ni sehemu ya maisha. Ni mtu aliyekufa tu ambaye hana changamoto. 3. Hakuna...
26 Reactions
41 Replies
4K Views
Back
Top Bottom