Nilikuwa huko mjini Twitter nikakutana na hizi picha kutoka kwa ndugu zetu wa pembe ya Afrika. Nimestaajabishwa na hayo mapesa.
Je shida ni sarafu kukosa nguvu au shida ni gani wadau?.
This is the absolute truth...
This country.... Is not getting better at all...
Few bastards' stomachs are getting bigger by the day.
People are more impoverished by the day.
But this...
Agosti 25, wanariadha wanafanya maonesho ya kusafiri mtoni kwa mashua ya mwanzi mmoja kwenye Michezo ya 10 ya Watu wa Makabila Madogo ya Mkoa wa Guizhou, iliyofanyika katika wilaya ya Rongjiang.
Iyo picha ya kwanza hapo chini inaonekana aliangalia movie ya Godfather iliyo hit 1950s huko Hollywood Marekani.
Na picha ya pili inaonekana kamuiga Joe Biden rais wa Marekani