••••••••••
NB. Mdau unataja maeneo ya huko kwenu kuwa yanafanana na hapo juu, tatizo hautupii na kapicha kwa kumwaminisha Tomaso.
• Usiseme Marangu, Lushoto, Bukoba, Kyera au sijui wapi huko...
Hayati Mzee Benjamin William Mkapa (wa kwanza kushoto) akiwa na marafiki zake, Phillip Magani (mwenye kofia) na John Kambona (wa kwanza kulia) wakati yupo Shule ya Sekondari Ndanda (Kilomita 60...
Hii ni hatari watu Sasa hivi wanafanya upuzi kutafuta sifa za kijinga YouTube na TikTok. Kwenye hii video licha ya kuchekesha ingeleta madhara. Angalia nyundo ingemvunia Taya. Ujinga unaochekesha
Angalia picha hizi unaweza kufikiria kuwa picha hizi zimefanyiwa editing au photoshop si ndio?.
Ikiwa unafikiria kuwa editing basi unakosea, hiyo kitu nyeusi inajulikana kama Vantablack na ndio...
Huu ndio mwili wa firauni ambae umehidhiwa katka nchi ya Misri "Je wajua" firauni ndio mtu pekee ambaye hajaoza hadi leo wala haguswi na mdudu aina yoyote na ndio mtu pekee aliyekuwa anajifanya...
Zinaitwa face me I face you kwakua ukifungua mlango wa chumba chako inatazamana na jirani yako.
Ukipika pilau chakula kinachobaki utakinusa usiku mzima mpaka kesho hamu imekuishia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.