Tunashukuru kwa viongozi kuweza mshawishi Saido kucheza match ya leo dhidi ya Azam. Tena baada ya kumwakikishia kuwa atapangwa kuanzia mwanzo na hatotolewa.
Kocha mpya ameambiwa kuwa asiwe...
Leo kwenye Star TV nimemuona mkurugenzi wa jiji TEMEKE akiongea kwa ukali kuudai kodi Uwanja wa Taifa huku akitishia atasubiri siku ya mechi ya Simba na Yanga aufunge! Sikuamini kama anazijua timu...
Hivi sheria gani ya Soka ambayo FIFA pia wanaitambua isemayo Kona ikiwa inapigwa huku Mabeki Wawili wakiwa katika Milingoti halafu Mchezaji wa Timu Pinzani akatokea mbali na Kuruka hadi Kufunga...
Jf na wanachama wake ni mtandao mkubwa hivyo hatuwezi kufikiria namna ya kuisaidia Tanzania FDL maana imekuwa ligi ya kihuni na kwa kiasi kikubwa inachangia kuzorotesha hata vpl
Maana wachezaji...
Kama mnafanya hivi baada ya kupewa bahasha za khaki nitawasamehe kidogo mana mnajua asilimia kubwa ya wadanganyika ni vilaza basi poa tu ila kama mwandishi na mhariri wa mwanaspoti ni vilaza wa...
Niwakumbushe tu kuwa Mamelodi Sundowns analipwa Rand Million 20 kwa Mwaka ni ni sawa na Rand Million 60 kwa mitatu kutoka Kampuni ya PUMA.
Mamelodi alipomaliza mkataba wake na NIKE hakuongeza...
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania VPL kupigwa leo Aprili 24, 2021 kwenye Dimba la Gwambina Complex ambapo wenyeji Gwambina FC wanacheza na Mnyama Mkali Mwituni Simba SC.
Simba SC ina nafasi ya...
Pasipo na shaka kipindi cha redio cha Sports Arena ya Wasafi FM, ni kipindi cha hovyo kabisa -- makelele mengi, hawa-balance story, na hicho kikundi kinachojiita wachambuzi always ni kutaka...
Angalia video hii iliyorekodiwa kwa simu tuliambiwa kwamba kona ya Chama ilitoka nje ikarudi ndani, oh jesus christ lord have mercy line 2 ni mwana utopolo nini? Au bahasha za khaki zilishafanya...
Wakuu Imekuaje Tena Kemcho akashindwa Kumlipa Asante Kwasi?[emoji849][emoji849]
FIFA imeifungia simba kusajili kwa kipindi kimoja kijacho cha usajili. Nyundo hiyo ya FIFA imekuja kufuatia...
Hii ni baada ya benchi lote la ufundi kutimuliwa.
Ikumbukwe kwamba Mwambusi aliondoka kwenye benchi la ufundi la Yanga kwa sababu zilizotajwa kuwa za kiafya, lakini sasa amerejeshwa kama kocha wa...
Kinda Mtanzania Said Khamis jana amerudi kambani mara tano kitaalam tunaita GLUT (Mabao matano) akiisaidia klabu yake ya Baniyas Sports kuendelea kutamba dhidi ya Zafra FC
Katika hizo bao tano...
Basketball Bet
Ni hiv basketball nayoinabetiwa kama michezo mingine tu inavyobetiwa tu,
Isipokua kwenye basket hatupendelei sanaa kubet ishu za normal et flan ashinde au flani asishinde, kwani...
Sura maarufu sana na iliyozoeleka
Nimeikuta hiyo picha sehemu nikaona itapendeza nikiwaletea na nyie muione japo sina uhakika na usahihi wa sura na hiyo jezi
Naambiwa huyu mwamba kumbe asili...
Habari wanasoka na wapenzi wa Michezo
Kwanza kabisa Nimpongeze kaimu kocha wetu japo Bado Ana mapungufu kwenye kuchagua washanbuliaji sijui Nchimbi Aliwapa Nini mana Jana kafunga na Kaanzisha...
1. Mnaenda kulitia aibu taifa.
2. Mechi mbili tu jezi mpya za nini!!!??(Simba walipoanza mashindano CCL walitengeneza jezi mpya) wakimaanisha simba ikienda Algeria na kurudi ndio mwisho wao.
3...