Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wakuu sometimes mtu unajikuta huna bando la internet na pengine umeweka mkeka wako na unatumia Freebasics huna access na internet.Tutumie huu uzi kufahamishiana matokeo ya mechi na ratiba za mechi...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Shirikisho la Soka Nchini (TFF) limesema uratatibu wa Wachezaji kupeana mikono kabla ya kuanza mechi hautatumika kwa sasa na badala yake watasalimiana kwa ishara tu Utekelezaji huo unaanza leo...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Timu ya mpira ya Etoile de Guinee imepata ajali. Wachezaji nane wamefariki dunia na wengine 17 wamejeruhiwa. Timu hiyo ilikuwa njiani kwenda kucheza mchezo wao wa kwanza wa msimu ==== A bus crash...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Naaaaaaam, Karibuni tena kwenye patashika ya Ligi Kuu Tanzania Vodacom Premier League (VPL), ambapo leo March 1, 2020, mabingwa wa Nchi Simba SC, Mnyama, wanawakaribisha KMC FC kwenye uwanja wa...
6 Reactions
224 Replies
20K Views
Wasafi wameanzisha michuano ya mpira inayohusisha team za mitaani ambayo inaitwa kivumbi cup kwa lengo la kupata vijana wenye uwezo lakini pia ni sehemu ya vijana kujipatia kipato.Mshindi wa...
9 Reactions
63 Replies
6K Views
Heri ya sikukuu ya Noeli wana JF, Hivi kuna watu wengine wanaota hii ndoto mbaya ambapo Jose Mourinho anakaribia kupatwa na maafa kama yaliyomkuta Coach mzoefu Carlo Ancelotti pale Bayern...
6 Reactions
27 Replies
3K Views
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Haji Manara amesema: "Washabiki wa Simba wamenijia ghafla leo ofisini na kunikabidhi shilingi milioni moja ambazo zilichangwa kwa hiyari na Group moja la Watsap...
5 Reactions
72 Replies
6K Views
Nimekusikia jioni hii ukihamasisha watu wajazane uwanjani mechi ya Simba na Yanga ila ukumbuke kuna Corona. Ikiwezekana milangoni muwapime watu joto sio kuwajaza tu uwanjani, likiibuka la kuibuka...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kuna mdau mmoja wa michezo ameomba nimuwekee mawazo yake hapa! Naomba kuwasilisha!
0 Reactions
1 Replies
966 Views
Wapenda mpira siku ya jumapili wiki hii kutakuwa na mtange wa kukata na shoka kati ya Yanga na Simba tar 8 march 2020. Kama kawaida kila upande huaamini timu yao bora. Naanza na uchambuz huu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hili jambo sasa limetamalaki mno kwa Viongozi, pamoja na Graphic Designer wa Yanga, kutoheshimu logo maalum za timu nyingine, jambo ambalo si sahihi kwakweli tukiweka ushabiki pembeni. Wenye...
6 Reactions
169 Replies
21K Views
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba SC, Mohammed Dewji MO, amempongeza kocha Sven Vanderbroeck kwa kazi nzuri ya kukinoa kikosi hicho cha wekundu wa Msimbazi. "Hongera Kocha Sven...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Ifuatayo ni nukuu ya Shabiki wa Yanga FC na Mwandishi Mchambuzi Privaldinho aliyoiandika katika Ukurasa wake wa Instagram hasa baada ya Kuchoshwa na Uwendawazimu wa Mashabiki wengi wa Timu yake ya...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Wanabodi, Katika nchi yetu tumekuwa na mfumo wa kupata viongozi vya kisiasa kupitia mfumo wa vyama vya siasa na katiba yetu hairuhusu wala kutambua mgombea asiye na chama cha siasa...
1 Reactions
5 Replies
755 Views
Umeona kuwa Kesho Yanga SC yako ikicheza na Gwambina FC katika Kombe la ASFC kwa Udhaifu na Uchanga wa Timu hiyo ya Gwambina leo umejifanya Kujitokeza katika Vyombo vya Habari na kusema kuwa Kesho...
3 Reactions
75 Replies
11K Views
Hello Tanzania na Duniani Kote Patashika ya Ligi Kuu Tanzania, Vodacom Premier League (VPL), kuendelea kuvurumishwa leo Jumatano ya March 4, 2020, ambapo Wana Lambalamba Azam FC, wanawakabili...
15 Reactions
202 Replies
19K Views
Majina maarufu ya utani ya baadhi ya wachezaji wa zamani. "Golden Boy" - Zamoyoni Mogella. "Sikinde" - Celestine Mbunga. "Kizota" - Said Mwamba. "Kwasakwasa" - Jobe Ayubu. "Bwalya" - Frank...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Naona watu wengi wanabishana baada ya kutoka kibanda umiza kwamba goli la Everton la dakika ya 90+ ni OFFSIDE. Kwa kifupi ile ni offside ya wazi kabisa kwa wale wanaojua sheria za mpira. Sheria...
3 Reactions
16 Replies
3K Views
Kwa ujumla mechi ilikuwa ya kiwango kizuri na cha kuridhisha kwa mtazamaji kwa vipindi vyote viwili. 1. Simba walitawala sn kipindi cha kwanza na km wangeacha kucheza show game na kucheza...
4 Reactions
35 Replies
4K Views
Who is the challenger???? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
532 Views
Back
Top Bottom