Tuseme ukweli na tuache unafiki Zahera timu imemshinda. Wengi watajivunia kumtoa Township Rollers lakini aina ya mpira tulioucheza ulikuwa mbovu sana ni bahati ilitokea na bahati huwa haijirudii...
Habarini wadau wenzangu na mahaters kwa ujumla :D:D:D:D, sina kinyongo na mtu jamani...Hope nyote wazima kabisa, long time nimepotea ndugu zangu....baada ya timu yangu pendwa na yenye washabiki...
Huu ni kweli mchungu, Manula amekuwa akisemwa ni 'Tanzania one' na maneno kibao, lakini ukweli ni kipa wa kawaida sana na kwa kuwa ni wa kawaida naomba niseme timu ya Taifa na Simba hazitafikia...
Kocha zahera
Kamati ya Bodi ya Ligi Kuu ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi imempiga faini ya Sh 500,000 Zahera kwa kuvaa mavazi yasiyo nadhifu na ya heshima katika mechi ya ufunguzi wa Ligi Kuu...
Mwenyekiti wa Kamati ya Hamasa ya @TaifaStars ambaye pia ni RC wa Dar Es Salaam Paul Makonda leo Sep 9, 2019, amemkabidhi golikipa wa timu ya Taifa ya Tanzania Juma Kaseja, kitita cha Shilingi...
Miaka ambayo mimi nimeshuhudia mpira wa Bongo nimejionea kwamba Tanzania One Goalkeeper wote wanatokea Simba pekee. Nimeshuhudia Mohammed Mwameja,akaja Juma Kaseja na sasa Aishi Manura. Wote hawa...
Swala la Jezi za Mashabiki limekuwa gumu na adimu sana madukani. Na hata hayo maduka jezi zinapopatikana bei hazishikiki,ni Wapenzi,Mashabiki na Wanachama wa Yanga watanunua Jezi kwa shilingi...
Hii nchi viongozi wetu wa serikali wanazani maendeleo ni ujenzi wa vitu vingine tu km SGR na Majengo marefu tu.Maisha ni pamoja burudani hasa mpira wa miguu ambao ndio kipenzi kikubwa cha WTZ...
Itakumbukwa mwaka jana wakati ligi kuu ipo hatua za mwanzo, Simba ilifungwa na Mbao jijini Mwanza na Aussems kocha wa Simba alirushiwa chupa na wapenzi wa Simba waliochukizwa na matokeo, huku...
Imekuwa kawaida kwa kauli au maamuzi ya Mkuu wa Mkoa kuonekana kufeli miongoni mwa Watanzania...lakini ule uamuzi wa kuwazuuia Wachezaji waandamizi wa Taifa Stars Erasto Nyoni na Kevin Yondani...
Huko mwanza hali sio shwari kwa wanajangwani. Sare dhidi pamba sio habari sana maana uwezo wa timu bado tia maji tia maji.
Hapa nazungumzia kuchangisha fedha taslimu tshs milioni 4 na ahadi za...
TANZANIA
Na Xavi Hernandez Alcantara
Tungeweza kuwafunga mapema tu Burundi hata kule kwenye penati tusingefika bila shaka lakini tushukuru kwa ushindi Ambao tumeupata kupitia mikwaju ya penalti...
Leo naona kabisa Taifa stars atashindwa kwenya hatua ya makundi na kwasababu wanaweza kubweteka kutokana na matokeo ya away hapa ndo kutaanzia tatizo lakini pia Burundi individual wanauwezo...
Anaandika Emmanuel M. Makalla mmoja kati ya wanachama wachache wa Yanga wenye akili timamu.
______
Natafuta tusi moja niwatukane viongozi wa Yanga lakini najikuta roho mtakatifu ameficha maneno...
Hivi TFF mnajielewa kweli?? Kwenye mechi inayoendelea Vs Burundi kwanini Jezi ya Mbwana samatta na Jonas Mkude zinatofautiana na wengine??
Jezi ya samatta na Mkude hazina maandishi TAnzania...
Karibuni katika kundi la live streaming na mijadala ya kimichezo, utaweza kuangalia michezo mbalimbali kupitia simu au tablet yako.Gusa link kujoin.
https://chat.whatsapp.com/CMzMtM8W7PKDiPEcxvhYnY