Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kwa sababu kumekuwa na ongezeko la magonjwa yanayotokana na kunenepeana na ulaji mbovu huku wafanyakazi wakiwa hawana muda wa mazoezi. Sasa iwe lazima:- ○ Kila ofisi iweke programu za michezo...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Tanzania kati ya Azam FC watakaopapatuana na Yanga SC siku ya Jumatatu ya 29, Aprili 2019 kunako Uwanja wa Uhuru. Hii mechi inatarajiwa kuwa ya Vuta Nikuvute kwa...
7 Reactions
104 Replies
9K Views
Nimekaa hapa na mashabiki wa Tasaf fc wanalia kwa uchungu wakidai Aishi manula afungiwe kwa kitendo chake cha kuingia uwanjani kushangilia goal ilihali alikuwa benchi Ninawasihi TFF wakubaliane...
2 Reactions
10 Replies
4K Views
WAKATI Yanga ikiwa katika usingizi wa pono, watani zao Simba wapo mbioni kutengeneza mamilioni ya fedha kupitia mtaji wa mashabiki wao ndani na nje ya nchi. Simba iliyopo katika hatua nzuri ya...
7 Reactions
33 Replies
6K Views
KWA VITUKO VINAVYOENDELEA MBAKI TU MAJUMBANI NA AZAM.KINGAMUZI ELSE MNAWEZA CHEKAA SANAA MKAIBIWA MKAKOSA NAULI KURUDI KWENU
0 Reactions
5 Replies
880 Views
Hongera Mwanariadha wetu wa Tanzania Failuna Matanga kwa kushika nafasi ya 3 Hamberg Marathon (Ujerumani) ukitumia mda wa 2:27:55. Kwa Matokeo haya-amefuzu kucheza Mashindano ya Riadha ya Dunia...
5 Reactions
18 Replies
3K Views
Msimpange kabisa. Hiki ' Kitoto ' ni Kinafiki sana na ndiyo kwani kinacheza ' Kiunazi ' mno kikiwa na ' Mahaba Niue ' yake kwa Timu ya Baba yake Mzazi ya Yanga SC. Na Siku Azam FC huwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Virgil van Dijk has collected the PFA Player of the Year award at a ceremony in London, to mark an incredible first full campaign since joining Liverpool. Van Dijk has transformed the Reds’...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
muamala wa milioni 3 kwenda kwa yule kiungo mfupi wa Azam ambaye baba yake aliwahi kuwa mchezaji wa yanga ,uliopitia kwa wakala Thobias kiwavi toka kwa tajiri flani,hizo tuhuma Takukuru fanyieni...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Baada ya wadau wanaolitakia mema soka la bongo kupiga kelele na kulalamikia marefa wanavyoisadia simba koko ni wazi kabisa kelele zimewafikia wahusika na wameingia upepo... Simba kushusha mziki...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
** Yanga a.k.a tasaf fc watapigwa 6-1 ** Mwinyi zahera atailalamikia simba na Tff kwa kipigo hicho **Yanga wataruka ukuta wakifuata maelekezo ya kilozi ya mwinyi zahera na wataingia uwanjani kwa...
3 Reactions
53 Replies
4K Views
Sasa ni rasmi bingwa wa nchi,mwanarobo fainali CAF Champions, timu tishio Afrika Simba SC atacheza na Sevila tarehe 23 May 2019. Game hii ni kwa hisani ya Sportspesa mdhamini mkuu wa Simba na Yanga
3 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari wadau wa Michezo, Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza ,kuna fursa ya kwenda kufanyiwa majaribiao mwezi wa tano nchini Croatia kwa wachezaji wazuri wenye kipaji cha mpira kwa umri wa...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Nawasikiliza hapa, hujui nani muongeaji mkuu nani mchambuzi. Achianeni nafasi ya kuongea sio kila mmoja anataka aonekane mjuaji. Mnakatishana na kuingiliana, inaboa kwakweli
4 Reactions
9 Replies
3K Views
Naaam Van Djik cup....Last season ilikua Salah cup
0 Reactions
6 Replies
691 Views
Naona kimya kimetanda baada ya Michael Wambura kupewa kesi isiyo na dhamana kwa lengo la kumnyamazisha ili asifukue ushahidi kuhusu mla rushwa mwenye tuhuma nzito ndugu Wallace Karia. Wadau...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru), imewataka wadau wote wa michezo akiwemo Kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera kuwasilisha malalamiko yao licha ya taasisi hiyo kuwatuma...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Kandanda imeanza hapa uwanja wa Uhuru. Timu zote zimetulia na kucheza kwa tahadhari kubwa
0 Reactions
90 Replies
8K Views
Haijawahi kutokea katika ligi yoyote duniani nchi kuwa na mechi za viporo kama ilivyotokea kwa Simba SC ya Tanzania. TFF wanastahili pongezi kwa kutuingiza katika kitabu cha Maajabu ya Dunia...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…