Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

17/4 Coastal Union vs Simba SC 20/4 Kagera Sugar vs Simba SC 23/4 Alliance vs Simba SC 26/4 KMC vs Simba SC 28/4 Biashara UTD vs Simba SC 1/5 Prison vs Simba SC 3/5 Mbeya City vs Simba SC...
8 Reactions
87 Replies
12K Views
The 2018/2019 regular season will open Tuesday, Oct. 16 with the Philadelphia 76ers facing the Boston Celtics, before the Golden State Warriors raise their latest championship banner in front of...
1 Reactions
323 Replies
26K Views
Refa aliechezesha mechi ya Simba vs KMC abdalah Kambuzi amefungiwa na kuondolewa kuchezesha mechi za ligi kuu Mechi hiyo iliyoisha kwa Simba kushinda kwa bao 2-1 , ilileta malalamiko mengi...
2 Reactions
75 Replies
11K Views
KAMBUZI NA WASAIDIZI WAKE, 'OUT'. Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limewaondoa kwenye orodha ya waamuzi wa msimu huu, Abdallah Kambuzi, Godfrey Msakila na Consolata Lazaro waliochezesha mchezo...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Jamani ile penalty ya pili hapana aiseee,hata sijashangilia,najua wachezaji wanachoka kwa ratiba iliyobanana ila waongeze umakini kwenye chances wana zo create,maana kama kipindi cha kwanza...
6 Reactions
66 Replies
8K Views
Leo Mechi ya Alliance Vs Simba Sc itakayonguruma Katika uwanja wa CCM-Kirumba majira ya saa kumi jioni, Kwenye mechi hii tutegemee nini? Je Simba SC itatoka na ushindi? Je hawa watoto wa...
2 Reactions
104 Replies
8K Views
Yaliotokea leo Mwanza ni aibu sana Kama mtabeba hizi timu kwa upumbavu wa penati TFF mna kazi sana hayo mashindano makubwa mtayasikia bombani Fundishen haobwapuuzi marefa wanahongwa wanatia aibu...
4 Reactions
53 Replies
6K Views
Kiungo wa zamani wa Klabu ya Bidvest Wits ya Afrika Kusini, Papy Faty amefariki jana Aprili 25 baada ya kuanguka uwanjani wakati wa mchezo kati ya timu yake ya sasa, Malanti Chiefs na Green Mamba...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Ombi Maalumu Sportspesa kama mdhamini wa Yanga jisikie aibu. Ile 100m mliyoiahidi Simba kama ingetinga nusu fainali wapeni hawa ndugu zetu.
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Papaa Mwinyi Zahera.... Hivi ni Rais, Mwenyekiti, kocha, msemaji, katibu au mweka hazina wa Yanga! Sielewi elewi hapa! Nasikia kamfukuza meneja
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Simba kupitia kwa afisa habari wake Haji manara umepanga kumshitaki kocha wa Yanga Zahera Mwinyi. Haji Manara ameandika Ujumbe huu kupitia ukurasa wake wa Instagram Kwa hili Zahera...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa Kamati ya Saidia Taifa Stars Ishinde RC Paul Makonda amesema kamati yake itatoa Sh10m kwa kila mchezaji iwapo timu itafuzu kucheza AFCON
2 Reactions
53 Replies
6K Views
Timu ya Sevilla ya Spain itatua nchini tarehe 21/5/2019 na itacheza mechi moja dhidi ya Simba au Yanga. Kitendawili kilichopo ni namna ya kuipata timu ya Tanzania maana Simba wanagoma kucheza...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Katika hali isiyo ya kawaida Kocha Mkongo Mwinyi Zahera anaonekana kuwa msemaji wa timu badala ya kazi yako ya ualimu. Kocha huyo amekuwa mzito kukiri udhaifu wa kikosi chake pindi wanapopata...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ndugu mwanaJF hiki sio kimbunga cha Kenneth bali ni kimbunga cha ukata. Serikali iingilie kati kutafuta mdhamini hii ni club kubwa ni alama ya nchi Updates Zahera ametoa tamko. Mchezaji...
5 Reactions
31 Replies
4K Views
KOCHA wa Yanga Mwinyi Zahera amesema kuwa yeye ndiye alimtimua meneja wa timu hiyo, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ baada ya kuonekana kwenye ofisi ya Mwekezaji wa Simba, Mohamed Dewji Mo licha ya yeye...
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Tulianza maisha kwa kuzaliwa. Tukajazwa hadith juu Wema wa mungu na uovu wa shetani. Habari wanazotuambia zimechukuliwa katika vitabu vya watu wa kale. Kila mmoja na wakati wake na wengine wakawa...
2 Reactions
33 Replies
4K Views
Habarini wanabodi. Kumekua na jitahada na matumizi ya nguvu kubwa ya kipropaganda inayoenezwa na wasioitakia mema timu yetu ambayo huzua taharuki miongoni mwa wanayanga. Iko wazi kuwa kocha wetu...
0 Reactions
5 Replies
873 Views
Leo kimetangwa kikosi Bora Cha Premier League kimetangazwa huku wachezaji 10 wakitoka kwenye timu 2 za man city na Liverpool Pogba ndo mchezaji pekee alieingia kwenye kikosi hicho katika timi 18...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Back
Top Bottom