Ushindi wa goli 1-0 wa Barcelona dhidi ya Real Madrid ukiwa ni ushindi wa pili ndani ya siku 3, unaifanya Barcelona kuwa timu ya kwanza katika Historia ya Ligi Kuu nchi Uhispania kushinda mechi...
Huwa nachukia sana Viongozi wa Timu za Ligi Kuu ambazo huwa zinacheza na Yanga SC. Kabla ya Mechi zao na Yanga SC utawasikia wanajitapa na kutamba kabisa hadi kutupa Moyo Sisi tusiowapenda Yanga...
Ukisangaa ya Musa utaona ya Farauni. Leo j5 pana mechi kali dunia nzima wanaiona katl ya Real Madrid ya Barcelona kombe la mfalme. J1 hii timu hizi zinakutana tena kwenye La liga. Wapangaji wetu...
Habari za asubuhi wakuu
Natumani ni wazima wa afya niko hapa kuona mawazo yenu juu ya ninachokiwaza kuhusu hawa wana masumbwi bora kabisa kwa sasa ulimwengu lakini katika uzito tofauti mmoja...
Kwanza kabisa niseme mimi ni mtazamaji mzuri wa mipira ya uwanjani (Na hata leo niko uwanjani kwa mechi ya Alliance na Yanga) . Kitokana na kuhudhuria huko nimebaini kuwa timu mwenyeji za Mwanza...
1.Mwanasoka mkongwe wa brazil Pele, alijipatia jina hilo la utani lenye maana katika lugha ya kibrazil na kireno “ miguu sita” (six feet),kutokana na kuwa na vidole sita katika kila mguu...
Yanga fc leo wanashuka dimbani katika uwanja wa majaliwa, lindi kikipiga na namungo fc katika mchezo wa kombe la FA,
_______________
Kipindi cha kwanza kimeisha kwa dakika 46 uwanjani hakuna...
1.Arsenal wanashikilia rekodi ya kuwa timu pekee kucheza mechi ya UEFA ikiwa na wachezaji 11 wa mataifa 11 tofauti. Yaani kila mchezaji alikuwa na taifa lake!
2.Real Madrid inashikilia rekodi ya...
Ushabiki mwingine sio kabisa yani mashabiki wa Yanga kila match ya Simba hata kabla haijaanza wanasema match imeuzwa.
Yani team itoke kufungwa match mbili mfululizo kwa idadi kubwa ya magoli...
Ligi Kuu ya Tanzania kwa mzunguko huu wa lala salama, hakuna Klabu ya mpira yenye uwezo wa kuifunga Simba SC kutokana ubora wa kikosi.
••Watafanya Nini Sasa Uwezo Hamna
Simba SC imekuwa...
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Soka Tanzania Bara Simba SC, leo Februari 26, 2019 wanashuka dimbani wakiwa ni wageni kumenyana na Lipuli FC katika mchezo wa marudiano wa raundi ya pili msimu huu...
Hali ya simanzi imeikumba Yanga jioni ya leo baada ya makundi ya kombe la Kagame kutoka jioni ya leo.
Yanga imepangwa kundi moja na timu tishio Africa mashariki na kati Simba SC. Kundi C lina...
Hapa inaonekana wachezaji wa Mbeya City wakiwa 11 uwanjani ingawa mmoja wao alipewa kadi nyekundu.
Update toka gazeti la Mwananchi:
WAKATI macho na masikio ya mashabiki wa Yanga yameelekezwa...
Hivi kwanini TFF wanatutajiaga mapato ya uwanja wa Taifa tu? Hasa mechi za Simba vs Yanga
Huko mikoani watazamaji wanaingiaga buuureee?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna habari inazunguka mitandaoni kwamba Kocha wa Yanga ( Ambaye pia ndio Mganga wa timu hiyo kutokana na kuwahi kufanya shughuli za uganga kwao Congo ) , Ndugu Zahera Mwinyi ana mpango wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.