Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wadau wa soka naamini mmeona mgawanyo wa mapato katika Mechi ya Simba na Yanga. Binafsi naiona TFF inavinyonya Vilabu kwani kuna mapato yanaitwa 1.TFF 2.TPLB 3.GHARAMA ZA MECHI Binafsi naona...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Mkuu wa kitengo cha habari wa Klabu ya Simba, Haji Manara amemvisha jezi ya Simba, mkuu wa wilaya ya Arumeru ambaye shabiki wa Yanga na aliyewahi kuwa Msemaji kunako timu hiyo Jerry Muro, katika...
3 Reactions
28 Replies
5K Views
Moja kati ya mashabiki feki na waajabu kutokea ulimwenguni ni mashabiki wa Yanga, Wakati timu yao ikiwa kwenye kipindi kigumu cha kutembeza bakuli la michango ya kuendesha timu wao kama kawaida...
5 Reactions
19 Replies
4K Views
Baada ya mechi ya mtani wikiendi, Simba Leo yuko jijini Arusha kuendele na safari ya ligi kuu kwa kukwaana na African Lyon. Simba inayokabiliwa na mechi nyingine dhidi ya Azam Ijumaa inaingia...
1 Reactions
37 Replies
8K Views
Nimeota kama tunahitaji ushindi mechi na Uganda mgeni rasmi aje rais Mstaafu Ali hassan Mwinyi hakika naona AFCON EAC Ikumbukwe; Uganda wamepita Kenya wamepita Tanzania? Cc: Hon Karia Cc: Hon...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Katika dokezo lililotolewa juzi la makundi ya timu kuwania kushiriki AFcon 2019 Tanzania ina fursa ya kuingia. Je watanzania tufanye yapi ili timu yetu nayo iweze kushiriki na ikiwezekana ichukue...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
.....Kwa maono Ya MO naona Simba inakuja kupasuka na kusukwa Upya.... Kuna wachezaji wengi watapotea Pale... Baada ya LEAGUE kuisha. But Kuna Mwanga Unakuja mbele. Hongereni Sana Sent using...
0 Reactions
0 Replies
762 Views
Kweli "Nyani haoni kundule" Klabu ya Yanga Na mashabiki wake wamekuwa wanahubiri Washabiki wa Simba kung'oa Viti Uwanja wa Taifa.Napenda kuwa kumbusha Mashabiki wa Yanga wawe Na Kumbukumbu Mechi...
0 Reactions
19 Replies
9K Views
Kesho kutakuwa na mechi kali kati ya watani wa jadi yaani Yanga na Simba. Kwa ushauri wangu nakuomba upange timu mahiri yenye kuzuia akina Okwi, Kagere, Bocco, Chuma n.k. Kamwe siku ya kesho...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Jarida la soccer nchini Brazil (placar) limemtaja Neymar kama mchezaji bora zaidi kuwahi kutokea katika historia ya soccer la Brazil baada ya nguli Pele .Aidha mourinho amelipinga jarida hilo...
2 Reactions
32 Replies
2K Views
Kocha wa klabu ya Yanga, Mwinyi Zahera amekisifu kikosi cha klabu ya Simba na kusema Wachezaji wa Yanga walikosa ubunifu ndio maana wamepoteza mchezo wa jana Zahera amesema ushindi wa jana wa...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Nan ataenda kukutana na Man city ni #CHEL au #MANU [emoji780][emoji780][emoji780] Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
627 Views
Goli kama lile alilofungwa Kabwili huwezi kumfunga Kakolanya , huo ndio ukweli Binafsi nimefurahishwa na ushindi wa Timu yangu ya Simba lakini ni wazi kabisa kwamba kutokuwepo kwa Kakolanya...
1 Reactions
38 Replies
4K Views
Kimya kimetawala Yanga haina mwenyekiti na uchaguzi uko kimya. Hii inamaanisha nini, Manji karudi au TFF na BMT walitishia nyau kutangaza uchaguzi wa mwenyekiti na wajumbe wengine? Manji ni mtu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Raisi wa Russia Vladmir Putin mwenye umri wa miaka 66, jana alijiunga na wacheza judo na kupiga zoezi kwa saa moja bila kupumzika. Putin mmoja wa viongozi huyu wenye nguvu duniani alijiung ana...
5 Reactions
41 Replies
10K Views
Nilichokiona kama taifa tuna safari ndefu sana kimichezo kama tutakuwa na aina hii ya viongozi katika ngazi ya vilabu, yani Mh Rais aache kufanya kazi za maana aingilie vitu vya kijinga kijinga
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Kuelekea pambano la kukata na shoka Jumamosi Februari 16, 2019 la watani wa Jadi (Kariakoo Derby) katika mfululizo wa Ligi Kuu ya Tanzania 'TPL' Simba SC Mnyama, Wekundu wa Msimbazi dhidi ya Yanga...
10 Reactions
244 Replies
30K Views
Sijui ni nini ushabiki unakua mkubwa mitaani kuliko kiwango tunachokuja kuonyeshwa uwanjani....hizi timu kwa Mimi naona in kama zimezeeka sasa so kama ilivyokuaga miaka ya nyuma...nilitegemea...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Hellow, ndugu wanajukwaa naombeni mwenye group lolote la michezo anajoin au kama hakuna tunaweza tukaanzisha group letu wenyewe mwenye Link Atuwekee Sote Wapenda Soka Nawasilisha Sent using...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom