Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Taarifa rasmi itatoka hivi punde Sababu ni kutokana na Bandari na Kariobang sharks kutokuwa katika udhamini wa Sportspesa yaani Sportspesa sio main sponsor wao.
4 Reactions
25 Replies
6K Views
Game ipo tight sana nmeicheck hapa kama Simba ambayo ni Team ya Taifa ya Tanzania haitakaza tunapigwa bao 2 bila. Halafu tunarudi kuja jipanga. Nashauri wachezaji wasiingie vyumba vya...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Amejiunga na Burnley akitokea Stoke City inayocheza Championship katika siku ya mwisho ya usajili wa dirisha dogo
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Kutoka katika ukurasa rasmi wa simba. mchezaji shiza kichuya amesajiliwa Enppi ya nchini Misti na ataanza mazoezi hapo kesho. kujiandaa na mchezo wa ligi kuu ya misri dhidi ya Al ahly hapo siku ya...
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Kama kuna mdau humu,mjuzi wa mambo,naomba atuwekee orodha ya watanzania wanaocheza mpira wa kulipwa nje ya nvhi na makocha wanaofundisha nje ya nchi Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Tukio la kumtoa goalkeeper lilitokana na kuruhusu goal la pili la Yanga muda mfupi Jamp alimtoa goalkeeper huku akionekana akilalamika na hata hakumpa mkono wa kumpongeza hali ilioashiria kuwa yy...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
SIMULIZI:...............................UVUMILIVU BASI. MTUNZI;..............................RAJA SAIDY. WHATSAPP..........................0756920739...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Ndugu zangu jiandaeni tu kisaikologia,maana mnaweza bebeshwa lumbesa la magoli
1 Reactions
35 Replies
4K Views
Kama mshabiki nilioufuatilia mchezo wa leo kwenye luninga, wachezaji wako wanafanya makosa ambayo hayawezi kuvumilika. Mfano lile goli la kwanza yule mchezaji anayeitwa Chikupe anafanya faulo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tunaomba kujua utaratibu wa mapokezi ya timu yetu ya Yanga pamoja na namna ya kutoa michango ya pesa pia wanayanga tujitokeze Mkwakwani siku ya Jumapili yanga daima mbele nyuma mwiko
1 Reactions
1 Replies
1K Views
kwa maslahi mapana ya Simba kocha na wachezaji wasione hii video. hawa ni mashabiki wa Al Ahly wakiwa kwenye uwanja wa mazoezi ila shangwee lake kama fainali ya kombe la dunia, hapo bado...
5 Reactions
27 Replies
5K Views
James (Lakers) amekuwa captain ktk allstars kadhaa akiwa Eastern Conference ambazo amecheza dhidi ya Western Conference. Sasa ameteuliwa kuwa nahodha wa kanda ya Magharibi kwenye NBA All-star 2019...
0 Reactions
1 Replies
964 Views
Mshambuliaji wa Simba na Taifa Stars, Shiza Kichuya amesema wakati wake ukifika atakwenda kucheza soka la kulipwa nje ya nchi kwani kila kitu hupangwa na Mungu. Kichuya alisema bado anaendelea...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
MANCHESTER UNITED NA KILICHOTOKEA MWAKA 1999. Na Tom Thomas Mwaka 1999 unabaki kuwa mwaka bora kwenye historia ya Manchester United. Mafanikio yaliyopatikana yanaufanya kuwa mwaka bora na wa...
4 Reactions
3 Replies
3K Views
Taarifa zinaonyesha kwamba Wanasheria wake tayari wamewasilisha ombi hilo kwa viongozi wa Yanga Binafsi naunga mkono madai yake ======== Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Samwel Lukumayi amesema wapo...
1 Reactions
32 Replies
6K Views
Kama kuna sehemu nitakua nimekosea nirekebisheni, huo ni wa tarehe 30/01/2019
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Simba sports hawana bahati ya kupata makocha wazuri kama ilivyo kwa Yanga. Wamekuwa wakiajiri makocha wabovu hata huyu aliyepo sasa Patrick Aussens. Ni kocha gani ambaye ujio wake haubadilishi...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Habari za uhakika kabisa kutoka kwenye source ya uhakika ndani ya club ya simba kuna mpasuko mkubwaa.. Mpasuko huo ni kati ya wachezaji wa kigeni na wachezaji wazawa,wachezaji wazawa wanadai...
15 Reactions
71 Replies
9K Views
Habari wadau, binafsi ni mshabiki wa yanga miaka mingi. Simba ni watani wangu japo tabia zetu zinafanana ndio maana tunaishia kushindana wenyewe kwa wenyewe mchangani huku Natamani sana kabla...
3 Reactions
16 Replies
4K Views
Naomba kufahamu mechi ya Simba na Bandari ianchezwa saa ngapi....tukapozee machungu !
1 Reactions
383 Replies
27K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…