Kupitia press conference iliyofanyika makao makuu ya klabu ya yanga leo hii kocha mkuu Mwinyi Zahera, ametoa ofa ya chakula cha mchana kwa waandishi wote wa habari za michezo walio hudhuria...
"kufuatana na nguvu yetu tulionayo(wachezaji)inatubidi tuangalie wapi tutapata faida,tupo na ligi kuu,tupo na Azam federation cup, mapinduzi cup na Sport Pesa inabidi sisi kama yanga tuwe na...
Mara zote niliwapinga sana wale ambao walishangaa timu mbovu ya Yanga inavyoongoza ligi kuu , lakini leo nimeona namna inavyobebwa na ninaamini hii timu huenda imefika hapo ilipo kwa kubebwa ...
KANAKAMFUMO ANALIA NA YANGA KWA MAFANIKIO YA SIMBA KLABU BINGWA.
MCHAMBUZI KANAKAMFUMO UKIFATILIA GAZETI LA MWANASPORT LA LEO UTAONA UCHAMBUZI WAKE KAMA VILE ANAUMIA KWA NINI SIMBA INAFANYA...
KATIKA kuhakikisha Azam TV inakidhi mahitaji na matakwa ya wateja wao, Kampuni ya Azam Media itaanza kurusha matangazo ya mechi za Kombe la FA la England.
Michuano hiyo inatarajiwa kuanza katika...
Kadi nyekundu ya Eric Bailly jana, kadi hiyo imemupa tano beki huyo raia wa Senegal.
Baada ya Maurinio kufurushwa sasa lazima kuweka nidhamu kwenye defence.
Eric Bailly alitoa onyo kali kwa...
Nawapongeza wachezaji wa zamani wa Yanga ambao wanaenda kuongea na kumpongeza kocha mkuu wa timu Yanga kwa kile alichofanya mpaka sasa akiwa katika mazingira magumu. Wasisahau kumdokezea kuhusu...
Habari za jumapili wanajamvi.
Kama swali linavyo jieleza. Najua kuna taasisi zinazosimamia mchezo wa mpira wa miguu bara na visiwani, !
Je kwanini hawana wazo la kuzifanya timu za mpira wa miguu...
Haina ubishi MUNGU katuletea mtu mwenye kutupa furaha msimbazi,yaani kwa uwezo anauonesha uyu jamaa ni Atari kwa afya za magori kipa, kama tungepata mshambuliaji mwenye urafik na nyavu yaani simba...
Hivi wadau hizi timu kaharibu ni kweli zimezidiwa au hua Kuna kamchezo kanaendelea Kati ya wamiliki wa timu na wenye makampun ya Bet tusije kua tunapoteza hela tu Kama kweli watu wanashinda hela...
Binafsi mimi ni shabiki wa Yanga. kitendo alichofanya Kakolanya kwa mtu mwenye busara hakiwezi kuvumiliwa. Kwanza akumbuke kuwa Klabu ya Yanga ndo imempandisha chati badala yake analeta mgomo. Ni...
Manchester United wamemtimua kocha wao Mourinho kwa kufungwa goli 3 kwa 1 na Liverpool.
Lakini Liverpool hao hao wakawafunga Arsenal goli 4 kwa 1 lakini huko Arsenal hakuna mgogoro na wala habari...
Nimekua shabiki wa mziki wa bongo na nje ya bongo kwa muda mrefu ila naona sipati burudan kama wanayoipata mashabiki wa football rasmi nimeamia kwa dhat kwenye football na club zangu nilizochagua...
Baada ya FIFA kuifungia nchi ya Sierra Leone kutokushiriki mashindano yoyote yanayosimamiwa na bodi hiyo ya soka duniania, shirikisho la mpira wa miguu Afrika, CAF limeipiga chini Siera Leone...
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania kuendelea tena leo Disemba 29, 2018 kwa michezo mitatu kupigwa katika viwanja tofauti. Gumzo ni Simba SC kuwakabili Singida United kwenye Dimba la Taifa jijini Dar...
Mbeya City leo wako nyumbani uwanja Sokoine jijini Mbeya kumenyana na vinara wa ligi kuu vijana wa Jangwani Yanga.
Yanga inasaka record kuwa timu ya kwanza katika ligi ya Tanzania kufikisha...
Hatua ya makundi katika ligi ya Mabingwa Africa inatarajiwa kutoka leo na upangaji wa makundi hayo ukifanyika
Simba SC ndio mwakilishi pekee wa ukanda huu wa Africa Mashariki. Je, atapangwa na...
Kama kawaida wa Kimaitaifa leo tumeshapangiwa group letu lenye timu kutoka Uarabuni moja na Congo moja.
Toa ushauri wako tufanyaje tuweze songa mbele katika hatua ya robo fainali na nusu na kisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.