Kufuatia striker Machachari wa Simba Mganda Emmanuel Okwi kuwa mbioni kutimukia Kaizer Chiefs ya huko Afrika kusini ni wazi kabisa kijana mdogo Walter Bwalya kutoka Nkana Fc ya Zambia ni mbadala...
Goli la mwisho jana lililopolita kwenye tobo anaonekana hana kiwango,au kahongwa na mahasimu wetu.
Huyu dida afukuzwe kabisa shame on him.
Halafu huyu beki mpya nywele rangi ya pilau naye hamna kitu
habari wadau..
mashabiki wachache wa al ahly wakishangilia baada ya kupangiwa mnyongee simba kwenye kundi lao...
hapo ni mazoezini tu bado kwenye mechi
kwa taarifa tu misimu zaidi ya 20...
Kila siku hawaishiwi maneno mala ushindi wanaoupata yanga kwa sasa ni upepo tu umewatembelea,mara ooh Timu mbovu haina kitu,
Lakini kitu kimoja wanashindwa kukijua ni kwamba yanga Haina pesa...
Cheza na Vitu vyote ila siyo Haja Kubwa na ikija huwa haiangalii Wewe ni Baunsa au nani bali ikija yenyewe inachochujua tu ni kutoka nje kwa kupenya kwa njia ya Kasi ya ajabu kabisa na ukisema...
Haya maisha bhana
Timu tajiri nchini juzi juzi ikicheza na timu ya Nkana waliingia uwanjani na basi la abood baada ya basi lao kupata ajali na kuharibika ambapo mpaka mida hii wameshindwa...
Mwenendo wa Yanga katika ligi kuu Tanzania inawatesa sana mashabiki hasa wa Simba ambao wamekuwa wakiibeza timu yetu,ambayo imekuwa ikiendeshwa kwa asilimia kubwa na michango ya wadau wa Yanga...
Husika na kichwa cha habari hapo juu naamini viongozi wakubwa wa simba wapo humu kwa hyo kama shabiki toa maoni yako kuelekea mchezo huo kuanzia kikosi kianze kipi na wachezaji wapeni ushauri...
The Olympics are finally coming to Africa—at least its youth games.
In 2022, Senegal will host the fourth summer youth Olympic games, the first to take place on the African continent. The...
Ni katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Gent fc
Ssmata akiingia nyavuni katika dakika ya 23 Ya mchezo
Hongera sana Mbwana samata. Sasa hivi kwa goli zake 15 katika ligi amefungana na King Messi wa...
Wadau wasalam
Kijana wetu wa Tz 24yrs anapigana na Wahab kutoka Nigeria (WBF) naona wako na kocha wake Emmanuel Mnondwa tena anafuta kwa kofia yake ya ......ya chama. Dogo mzuri ila inaonesha...
Kipigo cha 3-2 walichokipata Simba toka kwa Mashujaa ya Kigoma kimewatoa na kuwatupa nje kabisa katika mashindano ya FA.
MIKIA buana, kelele nyingi vitendo 0 😁😁😁
#ASFC Timu zilizofuzu kuingia...
Habari wanajukwaa.
Nikiwa kama shabiki wa simba naumia sana na mwendo wa klabu yetu katika mechi muhimu lakini timu inafanya vibaya.
Ligi wakati inaanza tulikuwa tunatoa sareza kijinga na kujikuta...
Viongozi wa Simba wana matatizo gani na sheria? Rage alifungwa, Hans Pope alifungwa, Wambura alifungwa na huyu Aveva naye anaenda kufungwa.
Kwanini hivi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.