Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Mikeka ya leo ipo tayari, Beti kwa malengo upate ushindi wa uhakika. Tuma msg whatsap number 0658642362
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Hali imeendelea kuwa tete Yanga baada ya kocha wao kutimkia Ufaransa. Pamoja na Yanga kutaka kuwa amekwenda kwenye matibabu,taarifa za ndani zinaonyesha Mwinyi kakimbia njaa. Club ya Yanga...
3 Reactions
24 Replies
8K Views
SIMULIZI;MJI WENYE SHIDA MTUNZI;RAJA SAIDY WHATSAPP;0756920739. SMS;0621047841. SEHEMU YA KWANZA ( 1 ) ANZA NAYO...... Ilikuwa siku ya jumapili,nakumbuka nilikuwa nimejilaza kwenye kijigodoro...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
ukweli kwamba manji harudi ushaoenakana,mwenyewe anapigania business zake,anahamia zambia bado majitu yanakazania ni mwenyekiti wao aendelee kuwaga mipesa hapa wajanja wanasubiri ule mzigo wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
King Messi's goals by body part....Pia goli la mkono👊 wamesahau kuliweka Kama mnakumbuka wiki kadha zimepita, yule babu TAAHIRA mwenye Domo chafu kama jinsi lilivyo lenyewe/Pele... mara nyingi...
2 Reactions
30 Replies
4K Views
Timu yetu ya wachambuzi leo wana mikeka 3 ambayo tunakutumia Bureeee, Weka stake sawa ili hata miwili ikichanika mmoja unarudisha mtaji wako. Asante na karibu sana. Njoo INBOX ni Bureeeeeeee
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nawaona simba kisaikorojia hawajakaa vema mawazo wameweka kwa Nkana ambao pia hawawezi kuwafunga. KMC wameimarika zaidi kwa hyo jiandaeni kufungwa
4 Reactions
170 Replies
11K Views
kila mtanzania mwenye akili timamu anaona jina timu yetu pendwa "taifa staz" inavyoboranga kila nyanja ya "burudani " timu [meli ya danganyika]mashabiki wenye kuchumia matumbo wamepigwa upofu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nahisi kama kuna majuto muda si mrefu Jose Ni mmoja wa managers Best kabisa duniani Nahisi kulihitajika subira kwanza kama waliokua nayo arsenal walivyomvumilia arsene wenger Sidhani kama...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Tanzania Premiere League TPL kuendelea leo : Simba wamepata goli 2 kipindi cha kwanza na sasa Muda wa Mapumziko. Goli la kwanza likifungwa na Adamu Salamba dakika ya 12" Na Goli la pili...
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Mkurugenzi wa Michezo, Yusuph Singo ametaja majina nane ya wanachama ya Yanga wanaodaiwa kuwakwamisha uchaguzi wa Yanga. Singo alisema Waziri Dk Harrison Mwakyembe tayari ameyapata majina nane ya...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Kama jins kichwa cha mada kina jieleza. Mi napata shida sana na uwezo wa kufikiri kwa huyu Kiongozi wetu mkuu wa soka nchini anakosaje kushawishi watu au makampuni ya kudhamini ligi kuu maana...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Kocha wa timu ya Yanga Mwinyi Zahera amemkataa kipa Beno Kakolanya na kwamba ameruhusu aendfe timu nyingine na si Yanga. Akizungumza na Yanga TV Zahera amesema wale waliomwambia aache kufanya...
4 Reactions
59 Replies
9K Views
Haiwezekani mchezaji anayedai haki zake atelekezwe tu hivihivi huku TFF inakodoa macho tu , huu ni zaidi ya uonevu .
1 Reactions
43 Replies
4K Views
Kocha Jose Mourinho ameondelewa katika nafasi yake ya kuinoa klabu ya Manchester United baada ya kuiona klabu hiyo kwa miaka miwili na nusu > Taarifa ya klabu hiyo inasema "Klabu inapenda...
0 Reactions
137 Replies
18K Views
Majina kadhaa yanatajwa wakiwemo Mauricio Pochetino , Laurent Blanc , Michael Carrick na Antonio Conte , Je wewe unadhani ni yupi anafaa kubeba mikoba ya Ukocha wa timu hii kubwa ?
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Nipo na wadau tunabishana hapa, je Hazard, Bale, Neymar, Pogba, na wengineo, Je ni yupi anafaa kuwa watatu kwa ubora kando ya Messi na Ronaldo?
2 Reactions
118 Replies
12K Views
Kombinesheni ipi ya mabeki wa kati ilikuvutia zaidi katika soka kati ya hizi?
1 Reactions
13 Replies
2K Views
1. Wolfsburg win 2. Ac Milan win Fata utabiri wangu wa leo
1 Reactions
4 Replies
789 Views
Jumapili hii kuna mchezo wa ngao ya jamii pale England, kati ya Man City Vs Chelsea katika uwanja wa Wembley. Mechi hiyo ni ishara ya ufunguzi wa msimu mpya wa EPL. Cha kusikitisha ni kwamba...
4 Reactions
35 Replies
6K Views
Back
Top Bottom