NUKUU ZA ZAHERA LEO JIONI.
- Timu yangu imecheza ovyo sana lakini nashukuru tumepata ushindi.
- Jana ilikuwa dirisha dogo la usajili linafungwa ni siku ambayo uongozi wa Yanga umefanya vitu vya...
Niliwahi kuandika humu kwamba Paul Pogba si lolote si chochote, hawezi hata kufanana na Athuman China au Husein Masha, bei ile aliyouzwa mchezaji huyu ilikuwa ya kitapeli kabisa.
Kitendo cha...
Kwanza kabisa GENTAMYCINE nichukue nafasi kuwapa pole Wachezaji wa Simba SC kwa ‘ Kipigo ‘ cha jana kule Kitwe nchini Zambia ila pia niwapongeze kwa kupata goli muhimu sana la ‘ Ugenini ‘ ambalo...
“Huyo aliyempa pesa Kakolanya, aje awape na hawa wengine kwa sababu si yeye tu anayedai, ikitokea hawa waliobaki nao wakagoma kucheza jumapili unadhani itakuwaje, siwezi kumpokea tena, atafute...
On October 7th, Gourav Mukhi became the youngest goalscorer in the history of the Indian League at just 16 years old.
Two months later, the player has been suspended for 6 months for lying about...
Weekend hii jumapili, saa 1 usiku kwa saa za Afrika Mashariki, Liverpool itakuwa nyumbani ikiialika Man Utd katika derby maarufu ya North West Derby.
Man Utd itaingia kama underdogs...
The draw for the last 16 of the Champions League has thrown up some intriguing ties.
The draw for the last 16 of the Champions League is:
The first legs will be played on February 12/13/19/20...
Serengeti Boys imetwaa ubingwa wa mashindano ya Cosafa U-17 baada ya kuifunga kwa penalti 6-5 Angola katika fainali iliyomalizika kwa sare 1-1 katika dakika 90
Basi la klabu ya Simba SC, Wekundu wa Msimbazi, ambalo lililokuwa limewabeba wanachama na mashabiki wa timu hiyo kutoka Tanzania, likielekea mjini Ndola, limepata ajali baada ya kugongana na Lori...
Zaidi ya mara tatu nimekuwa nikiangalia lile yule kijana wa Arusha anataja tarehe alizo shinda ni 27 .12.2018.
Nijuavyo mm hata uwe na miaka 90 huwezi kusahau tarehe uliyoshinda bahati nasibu ya...
Man u ni timu inayoongoza kwa mashabiki duniani hiyo imetokana na soka lake mrua lilio kua linapigwa kipini cha 1999's mpaka 2010 man u ilifanikiwa kusomba mashabiki pande zote duniani
Tokaea...
Kama ni dua ili Liverpool ishuke, umekosea sana. Liverpool kila Mchezaji ni askari na wanajitoa sana. So far they are the only unbeaten team since independence. Their winning spirit signifies that...
Aaaa! Beno hasomi alama za nyakati, kazi yake ya ugolikipa ni kazi takatifu haitaki vitendo kama hivyo alivyofanya. Hii ni sawa na kuitia najisi kazi yake ya ugolikipa.
Hakuna timu makini duniani...
Oh wachezaji wa Yanga Njaa hv kwa shut Kama la Fei Toto kama una njaa unapigaje shut kaliiiii. Hahaaaaa Simba mmewewuka subirini Nkana aje "awamalize Yanga songa mbeleeeeeee mtasubiri sana viporo...
Ligi ya mabingwa Africa round ya Kwanza Leo inatimua vumbi Kati mashetani wekundu kutoka Zambia Nkana Red Devils na wekundu wa msimbazi Simba. Mshindi wa jumla katika michezo 2 watakayocheza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.