Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Sasa itakuwaje?! Familia imesema haiutambui mkataba wa uwekezaji wa Bil 20 zile kwani yale yalikuwa makubaliano binafsi baina ya Mo na Simba. Sasa najiuliza Manara ROPO atakuja na ipi gia?!
0 Reactions
11 Replies
3K Views
...Ilikuwa ni mechi ya kusherekea uhuru Disemba 14 mwaka 1975 dar Kati ya Tanzania na Sudan , kituko cha kwanza ni pale jezi zilivyofanana na za timu ya Sudani, Refa akaagiza timu mwenyeji avue...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Pamoja na wapingaji kuwa Epl si bora lakin ni waz ligi hii ni bora kwa utafit Wangu hapa kitaa wengi wanaona jmosi na jpili zimekuwa ndefu sna kipindi hiki Cha mapumnziko vipi hali kwenu.....
1 Reactions
8 Replies
907 Views
Simba's Committee chair Hanspope nabbed at Dar Airport
0 Reactions
13 Replies
3K Views
14/10/2018 katika nchi ya Guinea-Bissau, kulikua na mechi ya kuwania kufuzu AFCON, ambapo wenyeji waliwakaribisha 'miamba ya soka' Zambia na matokeo ni wenyeji walishinda 2-1. Jambo la kushangaza...
4 Reactions
14 Replies
3K Views
Uganda 3 Lesotho 0 Kenya 3 Ethiopia 0 Tanzania 0 Cape Verde 3 Kazi ipo hakyanani na tunachoweza / tunachomudu ni ' Kutekana ' tu tena Saa 11 za Alfajiri! Nawasilisha.
10 Reactions
37 Replies
3K Views
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Dkt. Stephen Kebwe Stephen azindua rasmi michezo ya Bandari. Katika picha ni matukio mbalimbali kuhusiana na uzinduzi rasmi wa michezo ya Bandari 2018 uliofanyika...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Maradona amenukuliwa akisema kuwa , Messi ni mchezaji mzur sana. Lakini si kiongozi kwa maana ya kwamba hawezi ongoza wenzie. Anasema ni vigumu kumfanya kiongozi mtu ambaye kabla ya mechi anaenda...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Bado sijafahamu ni kwanini wachezaji wa Taifa Stars wamekata tamaa baada ya Taarifa za kutekwa MO kuwafikia rasmi kwenye kambi yao , lakini ukweli unaofahamika ni kwamba kambi imedorora na imejaa...
5 Reactions
65 Replies
7K Views
Kiungo wa Simba James Kotei na Beki wa Yanga Andrew Vicent wamefungiwa mechi tatu kwa kosa la kumpiga Gadiel Michael na Mohamed Hussein, wote wamepigwa faini ya tshs Milioni moja.
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Amunike panga list ileile iliyotoka sare na Uganda kwao, Acha kumhangaika na majina.
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Time will tell. Huyu jamaa sijui TFF imemuokota wapi. Sioni kama Taifa stars itafanya vizuri chini ya huyu kocha. Ameshawatenga wachezaji. Ana chuki na inaonekana haufaham mpira wa tanzania...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
8th President Eden Michael Hazard alizaliwa tarehe 07-January 1991,ni mchezaji wa Chelsea Fc na timu ya taifa ya Ubelgiji. Uwezo wa Hazard kukokota mpira,Ubunifu & kasi vimemfanya kufananishwa na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mwomba rufani, Dr. Devota John Marwa, (Mrufani) ni msomi mbobezi katika taaluma ya michezo, akiwa ni mhadhiri katika kitengo kinachojihusisha na taaluma ya michezo katika Chuo Kikuu cha Dar es...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu mechi kati ya Taifa Stars na Cape Verde itachezwa saa ngapi kwa saa zetu? Tv station gani itaonyesha? Asante.
3 Reactions
28 Replies
8K Views
Mkekabet sasa wameweka miguu sawa. Mmenifurahisha kwa ofa hii..... Bonus kama yote. Ujanja ni huu: bonyeza link hapa: bit.ly/2yaFODE ukiweka 2000 wanakupa 2000 zaidi, ukiweka 10000 unapata...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kiukweli ni aibu Sana kufungwa na vibonde Cape Verde.. yaani ukizingatia tulikuwa kwenye nafasi nzuri.. haya ndo yaliyotucost... 1.ukosefu wa holding middfield.. team ilikosa umiliki wa mpira...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Timu ya Taifa ya Uganda 'The Cranes' imejiimarisha kileleni kwenye kundi L katika michuano ya kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON 2019, nchi Cameroon baada ya kuichapa Lesotho mabao...
3 Reactions
37 Replies
5K Views
  • Poll Poll
Ni mashabiki 48,466 tu waliojitokeza katika dimba la Santiago Bernabeu kushuhudia mechi ya kwanza ya msimu wa La liga kwa upande Madrid. Mara ya mwisho kupata mahudhurio hafifu ilikuwa ni miaka...
2 Reactions
97 Replies
10K Views
Bondia Anthony Joshua amefanikiwa kutetea mataji yake ya ubingwa wa dunia WBO,WBA na IBF (world heavyweight titles) kwa kumtwanga bondia aliyeshindikana Mrusi Alexander Povetkin kwa Technical...
3 Reactions
35 Replies
6K Views
Back
Top Bottom