Team yetu ilikuwa nzuri msimu uliopita.umewagaia yanga wachezaji wetu wakali Sasa hivi team imekuwa mbovu.hatukomi kukuzomea.hakuna support yoyote zaid umeharibu tu soka la singida.
Sent using...
Wakati wapenzi wa Yanga wakisubiri kuona combination kali ya Fei Toto na Mo Banka kama ilivyokuwa katika Senior Challenge Cup Kenya mwaka jana, habari mpya ni kwamba Yanga wamelishwa matango pori...
KUMPA MARIANO DIAZ JEZY NAMBA SABA(7) MADRID NI DHARAU.
DHARAU ni kitu kibaya sana. Mashabiki wa Real Madrid wamemkasirikia rais wao, Florentino Perez wakimwambia amewadharau sana.
Unajua...
Mpeni Timu ya Taifa Jamhuri Kihwelo na Fred Minziro na hakikisheni kuna ' motisha ' ya kutosha Taifa Stars tutashiriki AFCON na hata Kombe la Dunia bila matatizo wala shida yoyote. Nimemchunguza...
'We are judged for the titles we get now, especially if you have won titles as it can work,’ the Manchester City boss said.
‘There is no doubt about his quality (Jose Mourinho) – I have never...
Droo ya Michuano ya EUROPA League hatua ya makundi kwa msimu wa mwaka 2018/19 inachezeshwa leo Agosti 31 majira ya saa 13:00CET(Majira ya saa 8 mchana, saa za Kitanzania). Itafanyika Grimaldi...
Mkimbiaji kutoka Kenya Conseslus Kipruto ashinda mbio za Mita 3000 kwa kiatu kimoja. Kipruto alivukwa na kiatu ikiwa ni baada ya kumaliza mzunguko wa kwanza wa mbio hizo lakini hakukata tamaa na...
Wakubwa habari zenu.
Wapendwa mm napenda sana mpira wa kikapu ingawaje sikuwahi bahatika kujifunza, hivyo nahitaji kuwa na sehemu ya kufanya mzaoezi kidogo hapa home.kwa mwenye uzoefu au anaejua...
Nimehamisha 95000 kutoka wallet yangu ya premier bet toka leo usiku mda wa saa tisa lakin hadi sasa hela yangu haijafika kwenye account yangu ya m-pesa. Nikahamisha tena 5000 naenyewe bado...
Bifu zito linazidi kupambana moto kati ya Simba na Tff ya Kidau na karia.
Kuondolewa kwa wachezaji wa Simba kwenye kikosi cha timu ya taifa kinyume na sheria ndio sababu ya Bifu hilo, baada ya...
Ile mechi ya kirafiki kati ya Jeshi la Polisi Kiteto na Magereza, mshindi kuibuka na mbuzi Mnyama, timu ya Polisi imeibuka kidedea.
Mpira ulikuwa patashika nguo kuchanika, baada ya mbuzi huyo...
Droo ya Michuano ya Klabu Bingwa Ulaya hatua ya makundi kwa msimu wa mwaka 2018/19 inachezeshwa leo Agosti 30 majira ya saa 18:00CET(Majira ya saa 1 usiku, saa za Kitanzania). Itafanyika Grimaldi...
klabu ya Simba na TFF zimeelewana kuwarudisha wachezaji 6 wa Simba waliondolewa kwenye Timu ya Taifa baada ya kuchelewa kuripoti kambini..kesho watafanya press release ya pamoja.
Juzi kocha wa Taifa Stars, Emanuel Amunike raia wa Nigeria aliamua kuwafuta wachezaji takribani wa tano wa timu ya Simba ambao ni Dilunga, Bocco, Mkude, kichuya, Nyoni kwa kile kinachodaiwa ni...
Wachezaji, wakufunzi na wafanyakazi wengine wa Manchester United wanaamini Jose Mourinho atafutwa kazi iwapo atashindwa mechi nyingine moja. (Daily Mail)
Maafisa wakuu wa klabu hiyo hata hivyo...