Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ndugu wa JamiiForums naomba kujua msimu ujao zitachezwa mechj ngapi kwenye ligi kuu Tanzania bara?
0 Reactions
1 Replies
607 Views
Juventus wametangaza tickets za msimu ujao zote zimenunuliwa (SOLD OUT) kufuatia kutua kwa Cristiano ronaldo klabuni hapo licha ya bei za tickets kupanda kwa asilimia 37% lakini zimemalizika ndani...
4 Reactions
29 Replies
5K Views
Over the Weekend,timu ya soka ya ufaransa imetrend kwa kuchukuwa kombe la dunia baada ya miaka 20 kupita,walivyofanya hivyo mnamo mwaka 1998.. Waafrika wengi wamekuwa mstari wa mbele kuiaminisha...
7 Reactions
66 Replies
5K Views
habari wanayanga wote. huu ujumbe nitashukuru sana tukiutoa kwa pamoja kwa kuweka maoni yetu kwa timu yetu pendwa.. najua wengi tunaona yanayotokea kwa timu yetu.. mishahara ya wachezaji...
3 Reactions
8 Replies
4K Views
Makamu Mwenyekiti wa klabu ya soka ya Yanga Clement Sanga, hatimaye amejiuzulu nafasi yake baada ya baadhi ya wanachama na mashabiki kuhamasishana kwa nia ya kutaka kwenda nyumbani kwake na...
1 Reactions
25 Replies
6K Views
Giấc mơ con đèo và những con số Những giấc mơ thấy con đường thường phản ánh lên vận mệnh công việc của chính chủ nhân nó. Là một trong những loại giấc mơ mang hàm nghĩa sâu xa, để hiểu rõ bản...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
wakuu habari za wikiendi, hongeren na polen kwa harakati za maisha hapa na pale. yeyote anayejua utaratibu wa kujisajiri, zawadi kwa washindi na lolote kuhusu kuhusu bagamoyo marathon. naomba...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
RAIS wa shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia, ameitaka klabu ya simba kufanya uchaguzi wao ndani ya siku 75. Akizungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya...
0 Reactions
1 Replies
895 Views
Ni timu yangu, lakini kama litatembezwa bakuli siwezi kuchangia, Labda kama ni kumchangia Tshishimbi pekee ambaye alionesha moyo wa Kupambana. Kwa yeyote aliyefuatilia pambano lile atakubaliana na...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kylian Mbappe ni kijana mwenye umri wa miaka 19 ambaye ameweza kuibeba Ufaransa mpaka kushinda kombe la dunia ambapo aliweza kufunga magoli 4. Mbappe aliweza kuisaidia timu yake hiyo kwa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wachezaji wa Yanga wamegomea mazoezi ya leo Ijumaa, huku benchi la Ufundi wakibaki na mshangao kwenye Uwanja wa Polisi Kurasini jijini Dar es Salaam. Akizungumza na MCL Digital, Meneja wa Yanga...
0 Reactions
35 Replies
7K Views
Mfanyabiashara maarufu Tanzania, Mohammed Dewji 'MO' ameguswa na hali ya sintofahamu inayoendelea kwenye klabu ya Yanga na kuwaombea waweze kupita katika kipindi hicho kigumu kwao huku akiwataka...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Huyu jamaa unaambiwa kuna hata baadhi ya viongozi wa fifa wapo mfukoni, Madrid walishapewa ofa wakubali ule uwanja uhamishwe pale katikati ya mji wajengewe viwanja viwili vya hadhi ya juu akagoma...
2 Reactions
42 Replies
5K Views
Viongozi wa Yanga chini ya Kaimu Mwenyekiti Clement Sanga leo (July 22, 2018) unakutana na wachezaji (makao makuu ya Yanga) kwa ajili ya mazungumzo juu ya madai ya baadhi ya wachezaji kabla ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Afrika iliishindia Ufaransa kombe la Dunia, na Ulaya inafaa kusitisha ubaguzi dhidi ya wahamiaji kulingana na rais wa Venezuela Nicolas Maduro. Akizungumza katika mji mkuu wa Caracas, chombo cha...
3 Reactions
36 Replies
5K Views
UHISPANIA: Klabu ya Real Madrid yathibitisha kumuuza Cristiano Ronaldo kwenda Juventus ya nchini Italia kwa dau la €105 Milioni
2 Reactions
111 Replies
14K Views
FIFA World Cup 2018 Special Logo The 2018 FIFA World Cup will be the 21st FIFA World Cup, a quadrennial international football tournament contested by the men's national teams of the member...
15 Reactions
6K Replies
301K Views
Kuna taarifa kamati ya uchaguzi ya tff inakutana na wandishi Wa habari vipi jamani mwenye taarifa kamili atujuze yaliojadiliwa!
0 Reactions
0 Replies
827 Views
Shirikisho la Soka nchini Tanzania (TFF) limemteua beki wa zamani wa kimataifa wa Tanzania Boniface Pawasa kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya soka la ufukweni ambapo kibarua chake cha kwanza...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
  • Closed
Afisa habari wa klabu ya Yanga, Dismas Ten naye ameamua kujiuzulu nafasi yake ndani ya Yanga, Ten ameandika barua kwenda kwa Makamu Mwenyekiti wa klabu hiyo akidai kwamba ameamua kujiuzulu...
0 Reactions
47 Replies
6K Views
Back
Top Bottom