Kocha mkuu mpya wa Taifa Stars
Born : December 25,1970 ( Nigeria )
Playing Position : Winger
Amechezea timu ya Taifa lake Nigeria 1993-2001.
Baadhi ya vilabu ambavyo alishawahi kuchezea...
MTAZAMO WANGU KATIKA LIGI KUU UINGEREZA MSIMU HUU
Ligi kuu ya uingereza inazidi kua bora kila mwaka. Vilabu vina wekeza pesa nyingi kupata wachezaji wazuri pamoja na benchi la ufundi bora ili...
Yaani simba wamepoteza pesa kwenda uturuki wameishia kufanya mazoezi Gym kwa kuwa uturuki kulikuwa na mvua kubwa sana na wakabahatika kucheza mechi na timu ya umoja wa madereva taksi wenye asili...
Naomba muwe mnaandaa mechi ya mshindi wa Ndondo Cup na Bingwa wa premier au Azam Cup!!!
Hakika kuna mengi ya kunufaika kutokana na hili.
Ahsanteni sana.
Billionea Stan Kroenke mwenye hisa nyingi za umiliki wa klabu ya Arsenal, ametoa ofa ya paundi milioni 600 zaidi ya shilingi trilioni 1.7 kwaajili ya kuinunua Arsenal ambayo anaimiliki kwa...
Ndugu washabiki wa mpira hasahasa wa timu za ulaya, jana tumeshuhudia kiwango bora kabisa cha timu ya Liverpool ikiitafuna man city bao 3 kwa nunge, hebu tuchangie maoni yetu, Liverpool ikikutana...
wana michezo pigeni kura mwenye kura nyingi ndo mshindi Kati ya makocha wafuatao kwenye top six EPL msimu huu kwa maoni yako unahisi nani atakuwa wa Kwanza kutupiwa virago
1. Mourinho (Man Utd)...
Wote walikuja na kupokelewa na ummati ya wana-yanga na wote waliondoka kwa mbwembwe na mizengwe na kujifanya wamesahau yale mapokezi ya kirafiki, upendo na udugu waliyopewa na mashabiki wa Yanga...
Club ya Livante inayokipiga kwenye ligi ya uhispalia (laliga) inaiwinda kwa udi na uvumba signature ya Mbwana Samata. https://t.co/6zUXyw3dP1:"
„Exot“ aus Tansania | Levante...
Mabingwa wa nchi ya Tanzania Simba Sports Club leo Agosti 4, 2018 imechapa bila huruma F.C.E. Ksaifa mabao 3-1 katika mchezo safi wa kirafiki uliofanyika kwenye dimba la Kartepe Green Park.
Simba...
Ongezeni uwazi Kwa kusema kiasi kinachohitajika na mchanganuo wake. Kisha mtoe taarifa za mapato na matumizi kwenye magazeti ya umma. Hii itasaidia kuondoa dhana ya upigaji clabuni.
Naodha wa muda mrefu wa Klabu ya Yanga SC, Nadir Haroub Ali(Cannavaro) amestaafu soka na kuteuliwa kuwa Meneja wa timu akichukua nafasi ya Hafidh Saleh ambaye sasa anakuwa Mratibu wa timu...
Mkuu was Wilaya mpya na ambaye amewahi kuwa msemaji was klabu ya Yanga Jerry Muro, ameiombea timu take msaada was TZS 100,000,000. Je wadau mnaona iko sawa hiyo. JERRY AWAOMBEA YANGA MILIONI 100...
Klabu ya soka ya Coastal Union imetanganza kumsajili Mwanamuziki wa bongo fleva, Ali Saleh Kiba maarufu Ali Kiba kama mchezaji wao mpya kwa mkataba wa mwaka mmoja
Meneja wa timu hiyo, Said Hilary...
Top Kenyan celebrities are known to flaunt their "state of the art cars" whenever the opportunity arises and this time round, Maina Kageni, the popular morning show host was seen spotting a Jaguar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.