Wakuu hebu mwenye taarifa kamili ya huyu mchezaji wa Ivory coast, Emmanuel Eboue atujuze.
Nasikia kuwa amedhulumiwa mihela yake yoooote na mkewe wa kidhungu sasa anaona heri ajitoe uhai wake kwa...
Habari zenu wadau wa soka humu ndani!
Kuna kitu nafikiria je nyie mnakionaje? Hata kama hakiwezi kuwashawish wahusika,
Barcelona wamekua wakimtaka Philip coutinho wa Liverpool bila mafanikio...
Klabu ya Liverpool imekubali kumuuza kiungo mshambuliaji wake Phipe Coutinho kwa miamba ya soka ya FC Barcelona ya nchini Hispania baada ya kukubaliana dau la £145m.
Uongozi wa Klabu ya Yanga, umekiri kwamba kuna wachezaji wengi wa timu yao bado wanaidai klabu hiyo fedha za usajili akiwemo Mzambia, Obrey Chirwa ambaye hivi sasa yupo kwao.
Imeelezwa kuwa...
MANCHESTER, ENGLAND.
JESSE Lingard???
Ndiyo, Jesse Lingard huyuhuyu unayemjua wewe. Ndiye, mchezaji ambaye yupo kwenye kiwango bora kabisa kuliko mastaa wote unaowafahamu wewe huko Ulaya.
Ni...
Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger ametishia kujinyonga iwapo kikosi chake kingefungwa na Chelsea kwenye mchezo wa Ligi Kuu jana Jumatano.
Mechi hiyo iliisha kwa sare ya mabao 2-2 huku Wenger akisema...
Nimekuwa nikifuatilia kwa makini mashindano ya mapinduzi yanayoendelea sasa kule Zanzibar. Nimegundua kuwa Ligi ya Zanzibar ni bora kuliko ya bara hasa kwenye maandalizi ya wachezaji wa timu ya...
Wenger ambaye mchango wake katika mafanikio ya soka ya Weah unafahamika , amewaambia waandishi wa habari kwamba amealikwa na Goerge Weah mwenyewe kuhudhuria siku ya kuapishwa kwake .
" I have...
Mimi ni mwanamichezo si mshabiki wa team yoyote. Nimekuwa nikifuatilia kwa kina jambo moja ambalo nlishawahi kudokezewa kwa kifupi tu.
Kuwa gazeti la dimba halina mahusiano mazuri na simba jambo...
Sina maneno mengi nauliza tu umesahau kitu gani mpaka uwanie uongozi tena ? Endelea na biashara zako ni muda muafaka wa kuifanyia soko letu tohara .
Jamal Malinzi it's a time now to quit no...
Wakiwa sare mpaka Dakika ya 90 ya mchezo, Mchezaji wa Yanga Hassan kessy anaipatia timu yake ya yanga sports club katika mashindano ya Mapinduzi Cup.
Sasa yanga wanakuwa washindi wa pili katika...
Bila shaka mwana JF upo salama salmini.
Leo sasa hebu tuangalie ni namna gani katika hatua ya makundi (league 1) ikiwa real Madrid itaanza mechi yake kwa mwaka huu 2018 ikicheza na numancia baada...
Nasomaa mtandaoni inasikitisha sana, wapi mnatupeleka TFF?
Ya Geita atujayamaliza mnataka kutuletea ya Dodoma, nini kinaendelea huko TFF?
Mh Karia kama nilivyosoma kiukweli watu walikuwua...
Kwa mujibu wa taarifa ya mtandao wa goal.com
Imetoa list mpya, ya vilabu tajiri duniani, Suprise ikiwa ni Manchester city na arsenal kushika nafasi za juu
Ingia hapa kwa taarifa zaidi
Man City...
si nyie mmeona wenyeweeee bingwa wa sasa katolewa mapemaaa na timu ya daraja la pili sijui gani ile.na pia muziki wanaoupata timu za simba na yanga zikikanyaga Mazoo mwanza.
heri ya mwaka mpya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.