Utafiti wa Shirika la Afya Duniani (WHO) umebaini kuwa uchezaji wa michezo ya video (video games) kwa muda mrefu, kunachangia magonjwa ya akili.
WHO imeongeza ugonjwa huo wa kujilevya na michezo...
Nilikuwa nasoma what's up Leo jamaa Fulani walikuwa wanaliaa makampuni feki ya bet yanayoanzishwa
Wazo tu msikimbilie makampuni mapya msijejuta chunguzeni kabla ya kufanya uamuzi
Pale Stand United kuna Mrundi,Mbeya city kuna Mrundi pia,Simba nao kwa sasa kuna Mrundi,Yanga kuna Mzambia Lwandamina sijawataja Mromania wa Azam wala Hans Vans Plujim nimewataja makocha wa Nchi...
WATU bana! Jose Mourinho ameshaonekana kuwa mzigo tu huko Manchester United kutokana na kujaa vizingizio tu kila timu yake inapofanya ovyo kwenye Ligi Kuu England.
Kikosi hicho cha Old Trafford...
Klabu maarufu ya soka duniani yenye maskani yake katika jimbo la Bavaria nchini Ujerumani, FC Bayern München E.V, Leo tarehe 31/12/2017 mnamo mida ya SAA Nane mchana ( kama masaa mawili yaliyopita...
Kitu kitu sijakielewa vizuri kuhusu huyu Kocha wa timu yetu ya Arsenal, huyu mtu wa kwetu Aserne Wenger. Tangu nimemjua huyu Kocha nimeshuhudia akifanya mambo mengi makubwa kuhusu hii timu yetu...
Heloooow,wana michezo na wale wahuzunishwaji wa huyu bwana pep guadiola,anatutesa sana anatunyima amani na tim zetu zinazo chechemea basi hatuna budi kumuombea ili dua la kuku,atuwezi juwa anaweza...
Habari wana jf,
Ni matumaini yangu mu wazima wa afya.
Mchezo wa soka umezidi kuwa maarufu zaidi duniani.Umeendelea kupendwa kwa wingi na watu wa jinsia zote si wanaume si wanawake.Pia huchezwa na...
Nadhani kuna tatizo la Zanzibar ndani ya muungano hata kama ni hairuhusiwi watu kusema hivi.
Sijui tunamsubiri nani aje kututatulia shida hii.
Nilikuwa ninafuatilia mashindano ya CECAFA...
1.Jarida la Yanga sc kila mwezi litakuwa mtaani likiwa limebeba mseto wa habari mbalimbali za club ya yanga.
2.Dismas 10 mkuu wa idara ya mawasiliano wa yanga mafanikio yake mengine...
Yaa tunaweza kusema mwanaume baada ya leo kumkalisha mtu ambaye amesumbua sana vijana na wazee wa pale Uingereza Msumbufu amewatandika bakora karibia wazee na vijana wote pale kwa malkia tena...
Wasalaam wakuu.
Kwa kile kinachoendelea ligi daraja la kwanza, inasikitisha sana na kinatakiwa kupigwa vita kwa kila mpenda soka na maendeleo ya mpira wa miguu hapa nchini.
Jumamosi nimeshuhudia...
Habari wadau
Ninaomba mwenye kujua uwanja wa kuchezea mpira maeneo ya mbezi africana 'ambao upo active' watu wanakipiga kila siku jioni. Mimi ni mgeni huku, na ni mdau wa soka. Nina mpango wa...
Habari wadau
Ninaomba mwenye kujua uwanja wa kuchezea mpira maeneo ya mbezi africana 'ambao upo active' watu wanakipiga kila siku jioni. Mimi ni mgeni huku, na ni mdau wa soka. Nina mpango wa...
Oya wadau kuna swala linanikera ni mkoa wa KILIMANJARO kukosa timu ligi kuu Tanzania bara.
Hivi tatizo ni nini kwa viongozi wetu tunakwama wapi hadi tukose timu ligi kuu?
Mimi tangu niijue ligi...
Sidhani kama tutakusajili tena msimu ujao lazima ufungashe virago, tunashukuru kwa kazi unayoifanya ila hatuwezi kubaki na wewe katika msimu wa 2018/2019
Ni hayo tu
Mara nyingi katika hiki kipindi mechi huwa zinachezwa nyingi kwa siku chache..Pia hali ya hewa huwa inakuwa ya baridi sana..wachezaji huwa wanapata majeraha mno..Wanatumia energy nyingi sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.