Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Miaka ya nyuma mchezo wa soka ulikuwa una utamu wake wakati huo hakuna TV ni radio tu.Hebu tujaribu kutaja majina ya wapiga kabumbu wakati huo tukumbushane timu zao na walipo mimi naanza Gibson...
1 Reactions
44 Replies
9K Views
Leo katika mechi ya ugenini dhidi ya Crystal Palace , kikongwe Arsene Wenger atafikisha mechi ya 810 tangu aanze kuifundisha Arsenal kwenye Ligi kuu ya Uingereza , hii ni rekodi iliyokuwa...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Imefika wakati wa kuwa watetezi na sio wahukumzu lakini kwa hili linalofanywa na klabu ya stand united na acacia(ingawa walivunja mkataba ) litazamwe na Serikali mana (TFF) sijui kama wanaguswa...
2 Reactions
2 Replies
960 Views
Da kwa za hivi wadau Leo nimesoma makala ya mwanaspoti imenisisimua kweli...hebu mwenye makala Kali aweke tuenjoy kispoti.
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Ni siku ya nne sasa nina bet kupitia MBET na kama kawaida uwa nakatwa hela za kulipia gharama ya kununua ticket,lakini cha ajabu kwa siku zote nne hizo sikua kupata msg toka kwa MBET as a...
0 Reactions
28 Replies
48K Views
Mchezo wa mpira wa miguu unatajwa kuwa na mashabiki wengi duniani na huvutia watu wa jinsia na rika zote. Leo millardayo.com inakusogezea list ya maajabu kumi yaliyotokea katika mchezo wa SOKA...
0 Reactions
15 Replies
10K Views
Kauli ya Raisi wa Tff leo ukitaka kuandaa Ndondo cup lazima upitie na upate kibali kutoka kwao.kwa hili hata siku zijazo Somalia watakua juu yetu kisoka kwenye rank za Fifa. Wameona bwana flani...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Tembelea Hapa kwa Habari mbali mbali
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Kenya kulikua na hawa: Kipa Mahamoud Abas/ Washington Muhanji Defenders : John Okello(Zangii), George Omondi(Fundi), JosephatMurila(SupeController), Peter...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
1 Reactions
2 Replies
690 Views
Naungana na Mo Dewji,huyu kocha hawezi kuwa na kipya tena --------- Baada ya SAA kadhaa kupita.. Klabu ya Simba na Kocha wake Mkuu Joseph Omog wameamua kwa pamoja kuvunja mkataba baina yao kwa...
6 Reactions
107 Replies
17K Views
Na kwa jinsi navyowafahamu Bunley sioni uwezekano wa kuwafunga mbili Hii inaweza nifanya nikaacha kushabikia mpira msimu huu mpaka msimu ujao Mou Ni kocha mwenye mbinu za kizamani katika...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Kama unaikumbuka tuzo ya mchezaji bora wa ndani wa Afrika ambayo Mbwana Samatta alishinda usiku wa January 7, 2017 haitakuwepo kwa mwaka huu 2017 kwa mara ya kwanza tangu ilipoanza kutolewa mwaka...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mgosi alitundika daluga mwaka jana na kupewa umeneja wa klabu ya Simba lakini kitendo cha mabosi wa timu hiyo kumhamishia kwenye timu ya vijana ni kama kilimkera na kumfanya arejee uwanjani...
1 Reactions
1 Replies
726 Views
Furaha imewatanda kuondoshwa kwa Omog. Je mmewahi kuwaza ni jinsi gani huyu Kocha msaidizi Masoud Djuma ataweza kuiongoza Klabu yenu mzunguko wa pili unaokuja kuanza ukizingatia Jamaa ni mgeni...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Zawadi inatabia ya kuamsha hamasa ya kuipata. BIKO inatoa zawaidi kwa watu 3 kati ya watu 30, 000,000. wenye uwezo wa kucheza BIKo, ndiyo maana hao watu 3 wakipa wanaoneshwa kila media ili watu...
0 Reactions
1 Replies
647 Views
*BREAKING NEWS:* WACHEZAJI 3 GREEN WORRIERS HAWANA LESENI. Imefahamika kuwa wachezaji watatu (3) miongon mwa wale walioshiriki katika mchezo dhidi ya Simba katika kuwania hatua inayofuata ya...
17 Reactions
32 Replies
5K Views
Haji Manara bila shaka umeona mpira wote na umejionea jinsi simba walivyokuwa wanafanyiwa hujuma na Refa na kuporwa haki yao wazi wazi... Nategemea kesho utaita waandishi wa habari na Flat Screen...
7 Reactions
27 Replies
3K Views
Back
Top Bottom