Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ndugu Zangu wapenda soka Naombeni Mnijuze Kwanini Huyu Ronaldo wanamwita Goal Machine? Huu si uongo wa wazi wazi kabisa maana ukiangalia Messi ana Scoring Ratio Kubwa Kuliko CR7 Lionel Messi...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa beki katili na makini kama kina Sol Campel,Vidic,Ferdinand,Paulo Maldin,Nesta,Zambrota,Chivu,Puyol,Robert Carlos etc ila bado washambuliaji wa kipindi kile Kina Van Neestrol,Rau,Dwight...
1 Reactions
47 Replies
5K Views
Dar es Salaam. Winga wa Simba, Shiza Kichuya amesema ugumu wa Ligi Kuu Bara, unasaidia wachezaji kujituma na kuwataka washambuliaji wa Kitanzania kuchukua tuzo ya ufungaji bora msimu huu...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Mara nyingi imekuwa ikihubiriwa kwamba Rais mpya wa TFF Ndg. Wallace Karia ni mtu safi na asiye na makandokando, hata mimi binafsi kuna wakati niliamini hivyo na kuona sasa tumepata kiongozi...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Goli alilofunga Shiza Kichuya kwenye mchezo wa VPL kati ya Mbeya City dhidi ya Simba limezua mjada mkubwa kwa wadau wa soka wapo wanaosema kabla Kichuya hajapokea pasi kutoka kwa Jonas Mkude...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Mchezaji wa Simba aliyefunga bao pekee katika mechi ya jana akiifungia timu yake ya Simba dhidi ya wenyeji Mbeya City ametolea ufafanuzi goli alilofunga jana Goli hilo limezua mjadala katika...
10 Reactions
60 Replies
9K Views
Wana jf, Jumapili nilihudhuria mechi ya Simba na Mbeya City hapaa Mbeya. Nilichokiona huko ni tofauti na matarajio yangu, kwa jinsi Simba inavyosifia kwenye vyombo vya habari nilidhani ni bonge...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Yanga mmeumia sana na Ushindi Wa Simba DHIDI ya Mbeya city.Mbona Goli la mkono la AMISI TAMBWE macho ya Simba vs Yanga hamkupiga KELELE? Kateni RUFAA basi. Kubalini Matokeo Simba 1 Mbeya City 0
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Mshambuliaji wa Genk, Mbwana Samatta na nahodha wa Taifa Stars, atakaa nje kwa wiki sita akiuguza majeraha ya goti. Samatta aliumia goti wiki iliyopita wakati akiichezea Genk dhidi ya Lokeren na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Slaven Bilic has been sacked by West Ham after leading the side to only 2 wins in 11 Premier League matches. Source - BBC SPORTS
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Ndugu Zangu wapenda soka Naombeni Mnijuze Kwanini Huyu Ronaldo wanamwita Goal Machine? Huu si uongo wa wazi wazi kabisa maana ukiangalia Messi ana Scoring Ratio Kubwa Kuliko CR7 Lionel Messi...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Klabu ya Simba inayofuraha kutangaza kuwa mchezaji wake Hamis Said Juma (Ndemla) amepata nafasi ya kwenda kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa nchini Sweeden. Ndemla amepata nafasi hiyo...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Yanga wakipakatwa dk zote 90 Habari ndiyo hiyo Mpira umekwisha hapa CCM Namfua Singida FC "ikitoka" kifua mbele kwa kutoa draw na Yanga Ajibu, Shishimbi, Tambwe, Chirwa wooooote walikuwepo...
1 Reactions
57 Replies
10K Views
Nina wasiwasi sana na aina ya upiganaji anayotumia mwanamasumbwi Deontay Wilder ,sidhani kama ataendeleza rekodi yake kwa kipindi kirefu. Leo kwenye mechi yake dhidi ya Bermaine Stiverne nina...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Kwa wapenda soka msikose kutazama leo mechi kali na yenye kusisimua katika bara la America ya kusini,,,Argentina Superliga RIVER PLATE____BOCA JUNIORS Itachezwa saa 06:05 usiku wa leo. RIVER...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Huu ndio ukweli , kila alikopita ( ukiacha bahatisha ndulute ya porto ) anabebwa na kitita cha usajili kinachomuwezesha kununua mchezaji amtakaye . Shortly ni kwamba anabebwa na wachezaji nyota...
4 Reactions
93 Replies
8K Views
VPL.. Ni kama vile jiji la Mbeya limesimama kwa muda na gumzo kubwa ni mbungi itakakayopigwa leo katika uwanja wa CCM Kumbukumbu ya Sokoine kati ya Mbeya City, na Mnyama Simba Sports. Muda...
6 Reactions
105 Replies
22K Views
wadau tujuzane ni app gani nzuri yakustream live match bila usumbufu wa ads na vitu vingine kama kubuffer Mara kwa Mara .karibuni
0 Reactions
3 Replies
931 Views
Back
Top Bottom