Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kiungo wa Klabu ya Simba, Shiza Ramadhan Kichuya anategemewa kuachana na timu hiyo, kisha kujiunga na Waarabu wa Misri muda wowote endapo tuu dau la kushiba litakapowekwa mezani. Tetesi za...
2 Reactions
22 Replies
4K Views
Wanamichozo mambo vipi? Aiseee km tu kichwa kilivyotaja hapo juu. Watu hao maarufu kwa kukimbia mbio fupi ( bolt) na ndefu ( mohamed Farah) wameshindwa kuonesha ubabe wao Leo ktk London marathon...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari wadau wa michezo mbali mbali hususani mchezo wa mpira karibu kwenye uzi huu maalumu wa kubeti michezo mbali mbali lakini naamini mchezo wa soka ndiyo una mashabiki wengi. KARIBUNI SANA...
1 Reactions
1 Replies
996 Views
AGENDA ZA MKUTANO WA SIMBA Kuhakiki idadi ya wanachama wanaohudhulia mkutano, kuthibitisha ajenda, kuthibitisha kumbukumbu za mkutano uliopita, yatokanayo na kumbukumbu za mkutano uliopita...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Prestigious magazine FourFourTwo published a list with the 100 best footballers in history. A compilation which is giving much to talk about. The list is topped by Diego Maradona and Gheorge Hagi...
5 Reactions
152 Replies
22K Views
Salaam wana JF. Tumekuwa na mijadala mingi juu ya uchaguzi wa TFF, tumetazama ahadi zao, mipango, sera na namna watakavyotekeleza. Kila mgombea ametoa ahadi zile zile anazoamini watu wangependa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Arsenal 3-1 Leicester Watford 2-1 Liverpool Chelsea 3-1 Burnley Crystal palace 2-1 Huddersfield Everton 1-0 stoke Southampton 0-0 Swansea West brom 2-1 Bournemouth Brighton 1-4 man city Newcastle...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwa kinachoonekana kuwa mwisho mbaya kwa mkali wa mbio na mtu mwenye kasi zaidi duniani, Usain Bolt leo ameshindwa kuipaisha timu yake katika relay race kwenye michuano ya IAAF London 2017. Mkali...
0 Reactions
2 Replies
941 Views
Kusema kweli kuna asilimia 90 Karia atakuwa rais ajaye wa TFF.Natamani sana Ally ashinde uchaguzi huu sababu nafahamu ana moyo wa dhati wa kuleta mapinduzi ya soka hapa nchini na hata Sera zake...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Hello wazawa, leo vipi matikeo ya timu hizi mbona sijayaona??????? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hawa sio wajumbe wa mkutano mkuu wa TFF, wala si waandishi wa habari, lakin wapo Dodoma kwenye uchaguzi na suti zao. Hapa naona harufu za kurudi kule kule, maana hawa wanaoojiita watu wa mpira...
0 Reactions
2 Replies
886 Views
Wanabodi, Ally Mayai nimemfahamu miaka mingi akiwa mchezaji hadi sasa. Ingawa sijawahi kuwa na ukaribu nae lakini kwa kufatilia uchambuzi wake wa soka, umakini wake na hekima ambayo pia alikuwa...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu zangu, kama mnavyofahamu mimi ni mfuatiliaji mwenye uchungu na mpira wetu wa Bongo na nilionyesha kutoridhishwa kwa kiwango kikubwa na hali ya utawala usio bora kutoka TFF ya Jamal Malinzi...
3 Reactions
18 Replies
4K Views
Aliyekua kocha mkuu wa Taifa Stars mbarazili Maxio Maximo amesema kwamba Frederick Mwakalebela ndio mgombea pekee anayefaa kuchaguliwa kuongoza TFF. Maximo amesema kwamba MWAKALEBELA alifanya...
1 Reactions
29 Replies
6K Views
Dar es Salaam. Bodi ya Wadhamini wa Klabu ya Soka ya Simba imefungua kesi kupinga mkutano mkuu wa klabu hiyo. Mkutano mkuu wa klabu hiyo unatarajiwa kufanyika Jumapili ijayo. Hata hivyo Bodi ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba kwa mwenye kujua usajiri wa timu zote tatu za dar , yaani Azam, Simba na Yanga. Natanguliza shukrani za dhati
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Afisa habar wa shirikisho LA ssoka nchini TFF Anaripotiwa kufukizwa Dodoma kutokana na kukiuka maadili ya uafisa habari wakati Huu wa joto Kali LA uchaguzi
0 Reactions
1 Replies
900 Views
1. Ukabaji Mbovu Wa Hector Bellin Umefanya Holding Aonekane Njia 2. EPL (English Premier League) hakuna Kiungo Kama GRANIT XHAKA 3.GIROUD Ndiye Super sub Epl Nzima 4.Arsenal Wanajua Mpka Kero...
5 Reactions
27 Replies
4K Views
Tusitegemee jipya kwa Ally Mayai kapata kura 9
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom